hahaa eti maua sama anauwezo wa kawaida duuh", una roho mbaya sana"... sasa kwa shilole Napo utasemaje !!?
lady jayde
mwasiti
vanesa
ruby
maua sama ",
Ray c
hao ni born talented..s bab
mkuu wewe ni me au ke?Niseme tu ukweli, huyu msichana uwezo wake wa kuimba ni wa kawaida sana japo kuna baadhi ya watu wachache wanampa sifa asizistahili.
Na ashukuru Mungu hii ngoma ya iokote imempa ulaji kwa kiasi fulani lakini hatoweza kudumu sokoni kwa muda mrefu na atapata msongo wa mawazo sana na iokote yake ,kwanza imeshaanza kuchuja.
Ninatabiri hatofika mbali kimuziki, huu ni upepo wa muda mchache.
View attachment 910838
Vannesa ni born talented????hahaa eti maua sama anauwezo wa kawaida duuh", una roho mbaya sana"... sasa kwa shilole Napo utasemaje !!?
lady jayde
mwasiti
vanesa
ruby
maua sama ",
Ray c
hao ni born talented..s bab
Niseme tu ukweli, huyu msichana uwezo wake wa kuimba ni wa kawaida sana japo kuna baadhi ya watu wachache wanampa sifa asizistahili.
Na ashukuru Mungu hii ngoma ya iokote imempa ulaji kwa kiasi fulani lakini hatoweza kudumu sokoni kwa muda mrefu na atapata msongo wa mawazo sana na iokote yake ,kwanza imeshaanza kuchuja.
Ninatabiri hatofika mbali kimuziki, huu ni upepo wa muda mchache.
View attachment 910838
Jina Lako Linaakisi Na Kilichomo Kichwani MwakoNiseme tu ukweli, huyu msichana uwezo wake wa kuimba ni wa kawaida sana japo kuna baadhi ya watu wachache wanampa sifa asizistahili.
Na ashukuru Mungu hii ngoma ya iokote imempa ulaji kwa kiasi fulani lakini hatoweza kudumu sokoni kwa muda mrefu na atapata msongo wa mawazo sana na iokote yake ,kwanza imeshaanza kuchuja.
Ninatabiri hatofika mbali kimuziki, huu ni upepo wa muda mchache.
View attachment 910838
Hata madam hero aka misa matunguli?[emoji12] [emoji12]Tatizo la Maua Sama ni nyota tu ila kiuwezo wa kuimba HAMNA msanii wa kike hapa Tz anayemkaribia.
Niseme tu ukweli, huyu msichana uwezo wake wa kuimba ni wa kawaida sana japo kuna baadhi ya watu wachache wanampa sifa asizistahili.
Na ashukuru Mungu hii ngoma ya iokote imempa ulaji kwa kiasi fulani lakini hatoweza kudumu sokoni kwa muda mrefu na atapata msongo wa mawazo sana na iokote yake ,kwanza imeshaanza kuchuja.
Ninatabiri hatofika mbali kimuziki, huu ni upepo wa muda mchache.
View attachment 910838
acheni chuki xizo faaa jamani ndo maana hatuendeleiiiiiiii wa tanzaniaaaaaaaaaaUmeona bandiko lako linavyojichanganya?
Tangu yupo THT inaonyesha wewe ni mtu wa karibu nae na hizi sio kama ni fitina ,na kama unaona hajui kuimba kwanini unamfuatilia kiasi hichi na sio lazima mpaka kuja kumchafua huku na kuaminishia umma kuwa yupo chini ya kiwangoPole sana, nimeanza kumjua huyo maua tangu yupo tht.
Acha umama binti anajitahidi sweet reggae zake ziko poa kama ana kasoro zinarekebishikaNiseme tu ukweli, huyu msichana uwezo wake wa kuimba ni wa kawaida sana japo kuna baadhi ya watu wachache wanampa sifa asizistahili.
Na ashukuru Mungu hii ngoma ya iokote imempa ulaji kwa kiasi fulani lakini hatoweza kudumu sokoni kwa muda mrefu na atapata msongo wa mawazo sana na iokote yake ,kwanza imeshaanza kuchuja.
Ninatabiri hatofika mbali kimuziki, huu ni upepo wa muda mchache.
View attachment 910838
We habari zako ni kama mchawi hivi mbna tunakufaamNiseme tu ukweli, huyu msichana uwezo wake wa kuimba ni wa kawaida sana japo kuna baadhi ya watu wachache wanampa sifa asizistahili.
Na ashukuru Mungu hii ngoma ya iokote imempa ulaji kwa kiasi fulani lakini hatoweza kudumu sokoni kwa muda mrefu na atapata msongo wa mawazo sana na iokote yake ,kwanza imeshaanza kuchuja.
Ninatabiri hatofika mbali kimuziki, huu ni upepo wa muda mchache.
View attachment 910838
Mwanaume wa Dar wa kwanza ambae hajui mziki ni wewe hapo,huyu dada yuko vizuri sana ila ana kasoro chache kwenye utunzi wa mashairi!
Mwenyekiti wa kamati ya roho mbaya.Niseme tu ukweli, huyu msichana uwezo wake wa kuimba ni wa kawaida sana japo kuna baadhi ya watu wachache wanampa sifa asizistahili.
Na ashukuru Mungu hii ngoma ya iokote imempa ulaji kwa kiasi fulani lakini hatoweza kudumu sokoni kwa muda mrefu na atapata msongo wa mawazo sana na iokote yake ,kwanza imeshaanza kuchuja.
Ninatabiri hatofika mbali kimuziki, huu ni upepo wa muda mchache.
View attachment 910838
sio kweli unachokisema Maua Sama nyimbo zake zote zipo pouwah na huwa habebwi,huo ni mtazamo wako binafsi.Niseme tu ukweli, huyu msichana uwezo wake wa kuimba ni wa kawaida sana japo kuna baadhi ya watu wachache wanampa sifa asizistahili.
Na ashukuru Mungu hii ngoma ya iokote imempa ulaji kwa kiasi fulani lakini hatoweza kudumu sokoni kwa muda mrefu na atapata msongo wa mawazo sana na iokote yake ,kwanza imeshaanza kuchuja.
Ninatabiri hatofika mbali kimuziki, huu ni upepo wa muda mchache.
View attachment 910838