Maua Sama atachanganyikiwa sana kwa jambo hili

Wapi nandy?
hahaa eti maua sama anauwezo wa kawaida duuh", una roho mbaya sana"... sasa kwa shilole Napo utasemaje !!?


lady jayde
mwasiti
vanesa
ruby
maua sama ",
Ray c

hao ni born talented..s bab
 
mkuu wewe ni me au ke?
 
Roho mbaya tuu.. kwa hiyo iokote kumpa Ulaji imekuuma sana eeh..
Unamtabiria we nani..

NA UTAPATA TABU SANA!!!

Ramli zako tafuta pa kuzipeleka
Niachie Maua sama wangu Usimtie Nuksi bureee!!!
 
hahaa eti maua sama anauwezo wa kawaida duuh", una roho mbaya sana"... sasa kwa shilole Napo utasemaje !!?


lady jayde
mwasiti
vanesa
ruby
maua sama ",
Ray c

hao ni born talented..s bab
Vannesa ni born talented????
 

Mbona Kioo cha hiyo Simu yake aliyoishika hapo mkono wake wa Kulia kimeweka ' Ufa ' kwa chini? Bila shaka atanunua mpya, nzuri na ya Kisasa zaidi baada ya Kupata Pesa za Kutosha hasa kwa huu Wimbo wake mzuri ambao Mimi binafsi huwa napenda Kuusikiliza hasa pale nikiwa nafanya Mapenzi na Mpenzi wangu na kila nikiwa nasikia pale wanasema ' Kiokote ' basi ndiyo huwa ' naushindilia ' vilivyo ' Mkuyenge ' wangu kunako ' Mbunye ' hadi raha utamu.
 
Jina Lako Linaakisi Na Kilichomo Kichwani Mwako
 

Wivu wa kike tu! Ndio nini kumuombea njaa mototo wa mwanaume mwenzio? Haujui muziki , haujui soko la muziki linahitaji nini!
 
Pole sana, nimeanza kumjua huyo maua tangu yupo tht.
Tangu yupo THT inaonyesha wewe ni mtu wa karibu nae na hizi sio kama ni fitina ,na kama unaona hajui kuimba kwanini unamfuatilia kiasi hichi na sio lazima mpaka kuja kumchafua huku na kuaminishia umma kuwa yupo chini ya kiwango
 
Ndo kitu pekee wabongo tunachokiweza,kukatishana tamaa
Go f**k yourself
 
Acha umama binti anajitahidi sweet reggae zake ziko poa kama ana kasoro zinarekebishika
 
We habari zako ni kama mchawi hivi mbna tunakufaam
 
Mwenyekiti wa kamati ya roho mbaya.

Tutiane moyo watanzania na sio kuombea mabaya.

Haya akishuka akapatwa na msongo wewe unanufaikaje?
 
sio kweli unachokisema Maua Sama nyimbo zake zote zipo pouwah na huwa habebwi,huo ni mtazamo wako binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…