Mauaji Mara, Maandamano ya pande zote yavumiliwe

Mchawi jambazi mganga hawq awatakiwi kabisa kuishi hawa ndio chanzo cha matatizo yote kwenye Jamii. Zikiwemo vurugu zote chanzo ni hawq wapumbavu watatu.
 
Je kuna maandamano huko Mara? Kama ni kweli basi shida iko

Kabisa mkuu I am suspecting something fishing here.
Mbona majambazi yanauliwa Mara nyingi sehemu mbalimbali hapa Tanzania lakini sijawahi kuona wananchi wakiandamana kupongeza.
Hao polisi wanaficha kitu haiwezekania mamlaka za Juu zichunguze suala hili Kwa kina.
Bado Yale yaliyofanywa na Zombe hayajasahaulika
 
Tofautisha "mchawi, jambazi, mganga" na "mshukiwa mchawi, jambazi, mganga" kama ulivyoorodhesha.

Kwenye fungu la pili hata wewe unaweza kuwamo.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Ikithibitika chakula chako ni chuma Ili iwe fundisho.
Kama jambazi anaenda fungwa haimfundishi aliye nje atafanya uhalifu then ataenda jela atatoka.
hizo nchi zinazowaua wahalifu ni baada ya kustudy kwamba sheria haina uwezo wa kumfunza mwanadamu wapo watu wamezaliwa always ni criminal hata uwape shilingi bilioni moja Katu awaaji ujambazi, hawa dawa ni kuwatenga na jamii na sio kumuweka jela anakula bure kodi zetu.
 
Kuna time Huwa nawaza viongozi tuliowapa uongozi wanatuona kama sie ni watoto wadogo tutambaao...
 

Ikithibitika. Nani anathibitisha? Goodluck, Mahita, Jumanne, yule mwenzao au wewe?
 
Kuna time Huwa nawaza viongozi tuliowapa uongozi wanatuona kama sie ni watoto wadogo tutambaao...

Inawezekana ni sisi ndiyo tunaowakubalia kuwa sie tu watoto wadogo ...

Si unaliona genge la kina Kalunya, RNA & Co Ltd?
 
Inawezekana ni sisi ndiyo tunaowakubalia kuwa sie tu watoto wadogo ...
Si Kweli, minyororo itakatikatika soon, mateka watakuwa huru kwenda ktk njia Yao.

Tusichoke, tusiogope. Ameeen
 
Kuna ndugu yeyote ametoa tamko kwamba ndugu yako kauwawa na sio jambazi?
Kama hakuna basi polisi imefanya kazi nzuri. Jambazi hana huruma
 
Kuna ndugu yeyote ametoa tamko kwamba ndugu yako kauwawa na sio jambazi?
Kama hakuna basi polisi imefanya kazi nzuri. Jambazi hana huruma

Tarime ndugu wametoa matamko kama ilivyokuwa mtwara, Ifakara na sehemu nyingi tu.

Kwa nadharia uliyoweka hapo basi ni sahihi kuwa polisi Ina jambo zito la kujibu.

Tofauti ya mtuhumiwa wa ujambazi na jambazi ni muhimu kuzingatiwa achilia mbali sheria.
 
Sawa wameua majambazi, lakini je kazi ya polisi ni kuua au kukamata na kupeleka mbele ya Mahakama Ambao ndio wakata mashauri?
 
Kuna ujambazi wa kalamu mnene na mingi saana, lakini masikio yetu hayasikii chochote kutoka kwa Hao Hao wanaokimbilia kunyoosha silaha kwa "majambazi" wachovu tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…