Mauaji Mara, Maandamano ya pande zote yavumiliwe

Mauaji Mara, Maandamano ya pande zote yavumiliwe

Tarime ndugu wametoa matamko kama ilivyokuwa mtwara, Ifakara na sehemu nyingi tu.

Kwa nadharia uliyoweka hapo basi ni sahihi kuwa polisi Ina jambo zito la kujibu.

Tofauti ya mtuhumiwa wa ujambazi na jambazi ni muhimu kuzingatiwa achilia mbali sheria.
Kama ni hivyo basi wana jambo zito la kujibu. Bahati mbaya serikali imejiingiza kwenye ujinga wa kiasi hiki.
 
Sawa wameua majambazi, lakini je kazi ya polisi ni kuua au kukamata na kupeleka mbele ya Mahakama Ambao ndio wakata mashauri?

Tuliwachekea hawa Polisi wataendelea kufanya huu upumbavu wao
Kazi ya Polisi ni kuzuia uhalifu na kukamata wahalifu wote na kuwafikisha Mahakamani na sio kuuwa wahalifu.
Polisi wamegeuka kuwa genge la wahalifu
 
Tuliwachekea hawa Polisi wataendelea kufanya huu upumbavu wao
Kazi ya Polisi ni kuzuia uhalifu na kukamata wahalifu wote na kuwafikisha Mahakamani na sio kuuwa wahalifu.
Polisi wamegeuka kuwa genge la wahalifu

Ni wapumbavu pekee wasioweza kuuona na kuzingatia ukweli huu. Hao hakuna hata haja ya kuwaelimisha. Hicho ni kipaji.

IMG_20220916_233133_436.jpg
 
Mara mna haki ya kuandamana kupiga uendawazimu na ushetani wa mapolisi!
Jambo la kikatili kabisa hili na ambalo wenye kumcha Mungu wanatakiwa kulilaani kwa nguvu zote!
 
Mara mna haki ya kuandamana kupiga uendawazimu na ushetani wa mapolisi!
Jambo la kikatili kabisa hili na ambalo wenye kumcha Mungu wanatakiwa kulilaani kwa nguvu zote!

Yaani hata mimi nimeshangaa sana,
Hao watakuwa sio wakurya , ni watu baki flani hivi waliopewa fedha kufanya huo upumbavu wa kuwasifia Polisi
 
Ukweli upo wazi kwa wanandugu....nasikia Hadi postmortem Polisi wamechukua. Mwenyekiti alieleza vizuri kuwa jamaa siyo mwizi.
IMG-20220930-WA0008.jpg
 
Back
Top Bottom