Mauaji Mbeya: Afisa Ustawi wa Jamii adaiwa kunyongwa hadi kufa

Hii familia naifahamu,mama ya marehemu ni mtu poa sana mlokole wa watu,hata watoto wake wote including marehemu na wengine ni watu poa sana
 
Yale yaleeee! Inatisha sana.
 
Madaraka yalianza kwa kutoa kafara lazima sadaka iendelee ili kusastain.
 
Tz nchi ya kijinga Sana yaan mtu akiuawa huwa inachukuliwa Kama kafa mbuzi na uchunguzi wake huwa na makengeza mengi
 
Kama alikua single mother,wachunguze vizuri,hasa wapenzi wake mbalimbali kama akikua nao.
 
Mimi nilikuwa nawaza kama wewe, nikafikiria sana mwisho nikaona hivi haya yote yanayotokea huenda ni kwa sababu ya huu uhuru wa vyombo vya habari na vyanzo mbali mbali kama mitandao ya kijamii vimechagiza haya yote tunayoyashuhudia leo na jana yaonekane na yafahamike?
Nikaenda mbali zaidi na kusema haya yalitokea hata hapo nyuma sema watu walishindwa kupeana taarifa kwa kuhofia usalama wao,kukamatwa na kushitakiwa na hii ni baada ya mitandao ya kijamii hapo awali kuminywa...
 
Ni mwendo wa kunyongana wadada wenye $$$ nunueni vibastora vitawasaidia
 
Watu wengine Ni wamevurugwa vibaya...

Hawajui lolote washakimbilia u-single mother... ..

Kwa maisha ya sasa ukaue kisa wivu Ni unyambi wa mwisho.. ..

Mapenzi yamewashinda kina Shakhrouq Khan ..mtaweza ..wakulungwa?!
 
Kwamba hapo sirro anahusika vipi? Au ndio siasa zenu!
 
Fuatilia basi tujue kilicho msibu mtoto mrembo
Hii familia naifahamu,mama ya marehemu ni mtu poa sana mlokole wa watu,hata watoto wake wote including marehemu na wengine ni watu poa sana
 
Hivi kweli unamnyonga single mother mwenye watoto3, daaa watu tuna tofautiana
 
Kwanini siku hizi mauaji yameongezeka sana Tanzania???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…