Hivi huo mkutano ulikuwa kwa mualiko au kila mtu alikuwa huru kuhudhuria? Maana katika kundi kubwa hivyo unafikiaje hitimisho la uwepo wa vibaka na kuwa ndio waliosababisha mauwaji? RC anacheza chini ya kiwango.......angekaa kimya tu awaachie polisi.
Wangewajibika vibaka wa Loliondo!!Hapo Mwamposa hana kesi ya kujibu
Kwa mfano kwa Babu wa Loliondo watu wangekanyagana nani angewajibishwa?
Ulitaka adanganye?!
Kwani kosa la Mchungaji ni lipi? Kiherehere chako ndo kinakupeleka kwa hao Wachungaji fekiTume ya polisi imeleta ripoti kamili ya tukio hili? Au ndiyo tunakubali mambo yaendelee kama hakuna kilichotokea? Kama tutaendelea kuambiwa tukakanyage mafuta najitangaza mimi siyo raia wa nchi hii. Hii nchi na serikali yake msinihesabu kama raia wenu. Nyie endeleeni tu na ujinga mliouamini kuwa utawakomboa.
Hebu soma habari nzima pia.....hii sentensi umeiona bwashee?:Amesema " inawezekana ni vibaka".......uwe unaelewa bwashee!
Mtaleta visingizio vyote ila sababu hasa ni laana, watu wa huko wana chuki sana!
Ni ujinga mtupu, hamna loloteimani ni suala mtambuka..,
Tume ya polisi imeleta ripoti kamili ya tukio hili? Au ndiyo tunakubali mambo yaendelee kama hakuna kilichotokea? Kama tutaendelea kuambiwa tukakanyage mafuta najitangaza mimi siyo raia wa nchi hii. Hii nchi na serikali yake msinihesabu kama raia wenu. Nyie endeleeni tu na ujinga mliouamini kuwa utawakomboa.
Kuna health and safety laws and regulations zimewekwa maalumu kwa public places zinazofanya events za mass kubwa kama hizi ikiwemo risk assessment. Suala la kuwepo vibaka kama intruders ni suala la wazi kabisa katika risk assessment kama ingekuwa imefanywa. Jee hizo sheria zilifatwa?Ukipitia maelezo ya victim wa ushenzi huu, utabaini kwamba kuna kundi la watu waovu walio kuwa wamejipanga kuzua taharuki kwenye kongamano la Mwamposa, ili watu wakanyagane, waibiwe vitu vyao na wengine wapoteze maisha - lengo hasa ni kutaka kukasirisha Dola na wananchi ili mwisho wa siku Kanisa la Mwamposa lilazimike kufungwa na yeye kufuguliwa mashtaka.
Mambo ya aibu kabisa.Aisee...