Mauaji Salenda: Wahusika wote, Waziri na Sirro Wawajibishwe

polosi sijui wamepatwa na nini wanafanya watakavyo saivi rushwa ndo usiseme dhuluma kumbambikia kesi.

mama sijui anakwama wapi jeshi LA polisi lilipofikia sio sehemu nzuri.

kuna hitaji mabadiliko.

Ajabu ni kuwa jana kawaomba eti wapunguze kidogo kipigo kana kwamba Wana ruhusa ya kumpiga mtu
 
hamowasanya?
 
Polisi ni waonevu na ni matapeli, acheni kabisa. Raia waliowahi kukutana na kadhia ya kutapeliwa, kuonewa, kupigwa, kubambikizwa kesi, kufilisiwa mali zote, rushwa, kunyanyaswa na askari polisi wanajua uchungu wake. Askari ni wazee wa michongo nchi hii.

Ni muda mrefu sana sasa raia wamefikia hatua ya kuwachukia sana polisi. Na haya ndio madhara ya chuki hizo watu wanaamua kujitoa ufahamu na kulipiza kisasi.

Ref: Matukio ambayo askari wamefanya kuanzia 2015, kupiga wapinzani, kubambikiza kesi, kuua, kuteka watu, kutumika kisiasa, kuvamia, kubambikiza makosa ya barabarani.

Yote tisa, huyu mshikaji kama ni kweli alidhulumiwa na kutapeliwa na askari polisi basi amekufa kiume kweli kweli.
 
Ukiangalia Mbowe wa chadema ana kesi ya ugaidi halafu huu uzi nao mh!....ngoja niishie hapo kwanza.
 

Mwenye kupinga hoja hii ni:

1. Sehemu ya utawala kwenye utawala uliopo
2. Polisi Dhulumati
3. Mwenye maslahi #2 na #1
4. Mbumbumbu asiyejua lolote
5. Ambaye hajaguswa na hivyo kujiona hahusiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…