Usalama wa taifa naona munapeena ajira kwa ajili yakupeena hela, lakini hamna kazi yoyote munayoifanya.
katika swala la kufichua wahusika na mauaji ya walemavu wa ngozi(albno) ni swala ndogo sana.
nikutumia akili ya kawaida sana pamoja na mda wa kawaida tu.
kwa sababu wahusika wanajulikana wazi kabsa.
njia nitakazoweza kutumia nikujifanya kama mgaga wa kienyeji kwa sababu nina uzoefu na madawa ya kichawi. , kama inashidakana nitajifanya kama mtu ninayetafuta utajiri kwa wagaga hawa.
nikishidikana hiyo nitajifanya mfanyakazi wa wagaga wa kienyeji ninayekusanya madawa., naamini kabsa baada ya mda mchache nitakuwa nimepata jibu, na kila ninapopata data nitakuwa nawasiliana na nyinyi.
mimi ni mtu niliyekulia katika familia za wagaga wa kienyeji kwa hiyo taaratibu zote nazijua.
siombi nafasi kwenu kwa ajiri yakujipitia ajira au pesa, mimi nina kazi zangu za ufungaji na ukilima zinanitosha kunilisha, lengo langu ni kukomesha ukatili huu.