Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

Serikali ya tanzania Ndiyo wana sta hili lawama maana hawawajali malbino,
Nimeona vichekesho kweli albino anazikwa eti anapewa u lini mkali sana mbona wakiwa hao hawapewi ulinzi. ...huo ni unafki tu
 
Hiyo ndo dawa yao.....hiyo adhabu ni stahiki kabisa!!na huo mzoga waupeleke porini ukaliwe na ndege!
 
Tusubiri pinda alie tena!Big up wanazengo hao ndio dawa yao tu.
 
Usalama wa taifa naona munapeena ajira kwa ajili yakupeena hela, lakini hamna kazi yoyote munayoifanya.

katika swala la kufichua wahusika na mauaji ya walemavu wa ngozi(albno) ni swala ndogo sana.

nikutumia akili ya kawaida sana pamoja na mda wa kawaida tu.

kwa sababu wahusika wanajulikana wazi kabsa.
njia nitakazoweza kutumia nikujifanya kama mgaga wa kienyeji kwa sababu nina uzoefu na madawa ya kichawi. , kama inashidakana nitajifanya kama mtu ninayetafuta utajiri kwa wagaga hawa.
nikishidikana hiyo nitajifanya mfanyakazi wa wagaga wa kienyeji ninayekusanya madawa., naamini kabsa baada ya mda mchache nitakuwa nimepata jibu, na kila ninapopata data nitakuwa nawasiliana na nyinyi.

mimi ni mtu niliyekulia katika familia za wagaga wa kienyeji kwa hiyo taaratibu zote nazijua.

siombi nafasi kwenu kwa ajiri yakujipitia ajira au pesa, mimi nina kazi zangu za ufungaji na ukilima zinanitosha kunilisha, lengo langu ni kukomesha ukatili huu.
 
Anza sasa kisha mwaga data hapa JF wanapita wote unaowajua na usiowajua. Usisuburi ruksa kutoka kwao.
 
kwani mpaka upewe kazi na usalama wa taifa? we haujuwi maana ya polisi jamii?
 
hasira hasara. Wamepoteza ushahidi.

ushahidi wa nini? Kwa nchi hii hata mtu amchinje albino mahakamani mbele ya hakimu, prosecutor na watu kibao bado hawezi kupatikana na hatia....ili kuwaokoa ndugu zetu hawa dawa ni hiyo tu.
 
Unajua maana ya itelejesia, mimi nataka nipate mawasiliano na usalama wa taifa nifanye nao kazi.

mkuu wazo lako zuri na moyo wako ni wa upendo

je kama kuna maelekezo toka juu kuwa hao wanaowaua alibino wasiguswe hao usalama wa taifa watakusaidieje?

au kwenye upelelezi wako ukafuatilia ukagundua kuna kiongozi mkubwa tu kwenye chama na serekali anafanya huo uharamia kama wa kwenye sembe mkuu
Shyland utafanyaje?
 
Last edited by a moderator:
Nimetoa ushauri siasa tuweke kando tuchukue hatua

Siasa Zenu Za Kipuuzi Ndo Zinadhulumu Roho Za Masikin Hawa Nyie Mnasema Tutoe Siasa Hii Nchi Ni Ya Kipuuzi Sana Na Hata Nyie Wapinzani Pia Wapuuzi Tu Mna Upinzani Gan Mmemtetea Nani Zaidi Ya Kunung'unika Tu Hamuitish Maandamano Thidi Ya Mauji Haya Ya Kipuuzi Kabisa Mnaitisha Maandamano Ya Kuteswa Ulimboka Mara Mwangosi Mara Bom La Soweto Mara Prof. Kapigwa Virungu Sasa Kama Haya Mauaji Yanafanywa Na Wanasiasa Tukitoa Siasa Tutawezaje Kuyakomesha

Mwalimu Ambaye Labda Ni Mjomba Wako #Yeriko Alifundisha Kuwa Hakuna Maendeleo Bila Siasa Lakini Akasisitiza Siasa Safi Zitazoleta Uongozi Bora

Sasa Nyie Wapinza Na Vijisiasa Vyenu Vya Chuki Na Kuwatia Watu Wenu Hasira Vinayatisha Maccm Na Inabidi Watumie Mbinu Mbadala Hatimaye Masikini Wenetu Wanakatwa Vipande Wakiwa Wanatembea

Mi Binafsi Mtoto Wa Kaka Yangu Ni Alibino Alikuwa Musoma Bro Akahisi Hatakuwa Salama Ikabidi Kushikana Mashati Tukamlipia Shule Nairobi.
 
CCM ndio wahusika wa biashara ya viungo vya albino.
 
watu wana hasira kali,we jifanye mganga watu wakija wanakupiga kiberiti fasta unachomwa moto hakuna ata muda wa kujitetea,kuna mmoja ashachomwa tayari
 
Back
Top Bottom