Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

Heheheheeerr poleeee yako kila saa unawaza ubuyu tu,nilihisi....nikauliza, kuna ubaya gani?
Ulivyosema kua nimekosea lilikua jibu tosha, vinginevyo unaonesha ni jinsi gani ulivyo empty kichwani.

Ha ha haya bavicha
 
MUNGU amemwekea moto mwingine huko aendako...... lakini siku nyingine kabla hajauawa angetoa siri zote na kuwataja wale wanaomtuma na madhumuni hasa ya kuua binadamu wenzetu wapendwa albino
 
Mhe. Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ametoa tamko kali la kulaani mauaji ya Albino na amesema atawachukulia hatua kali sana hao Wauaji wa ALBINO.

SOURCE: ITV Habari saa 2 usiku, Tarehe 21 Februari, 2015
 
Kama ana wafahamu muda wote alikuwa wapi kuwachukulia wauaji hatua kali?
 
Aanze na wanasiasa maana kila kipindi karibu na uchaguzi ndo mauaji haya yanapamba moto.
 
Muda wote alikuwa wapi? na kwa taarifa yako uwezo huo hana.
 
Sasa huu ni utani kauli hii inatakiwa atoe rais au waziri mkuu than police na mahakama wanze kazi na mnyongaji huko isanga atayarishwe.
 
Hopeless man ever.. ni heri hiyo kauli angeitoa Makonda.
 
Huyo hata hajulikanag kama ni makam wa Rais yukogo kimya sn, walishindwa wakat mauaji yanaanza now Albino weng wameuawa sasa ndo wanatoa matamko ya kinafki, nauliza walikuwa wap mwanzon? Usipojenga ufa utajenga ukuta ndo haya yanayoendelea nchi hii mauaji yalianza zaman sn na hukukuwa na hatua kal weng wamekufa.
 
wakiuawa mawakala wawili tena hio biashara ya kuua albino itakwisha.

Wanakijiji hao wamemifurahisha sana
Unadhani watakuwa huru tena na ujinga huo?wanapunguza kasi wangekamata wengine watatu kingeeleweka
Kill them all pumbav
 
...ahakikishe asisahau na mkasi kwenye kisahani
 
Kabla ya kumuua wangempiga picha na kuisambaza mtandaoni,hii ingetusaidia kuwatambua wale marafiki zake ambao walikuwa wakila bata pamoja bar baada ya kufanikisha dili ili nao wakione cha Mtema kuni.Imeniuma sana kumuua bila kufanya hivyo,

Baa au kilabuni huko vijijini
Kinachowasumbua hawa ni ujinga na umaskini
 
Back
Top Bottom