binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Ingekua inawezekana mvua ya namna hiyo kunyesha kwenye nyumba za wahalifu na kuwaacha waadilifu ingekua safi sana lkn kwa bahati mbaya haiko hivyo.
Na asingeweza kubaki hata mmoja kwasababu kila mtu ana uhalifu wa aina yake, hata yule unayemfikiria ni mchungaji safi wa kanisani naye anaiba sadaka! ! Haahaa kwa sisi wakristo huwa tunasema tunaishi kwa Neema za Mungu tu.
Btw mtoa mada WISE BOY acha uongo si Tanzania pekee ambapo watu wenye albinism wanauawa fanya uchunguzi tena kabla hujauvua uraia wako. 😂😂😂😂😂
kikubwa wa Tz tuache ushirikina jamani, Ushirikina ni options tu, kama issue ni kutumia ushirikina ili ufanikiwe unaweza ku opt another way na bado ukafanikiwa.
Last edited by a moderator: