taffu69
JF-Expert Member
- Feb 26, 2007
- 2,094
- 540
Jana 27/11/2012,BBC wameonyesha,kuhusu maalbino tanzania,inasikitisha sana,that dunia ya leo haya mambo yapo-watanzania this really shows how backwards we are-sijui tumemkosea nini mungu tu deserve such barbarism-tears flowed as i was brought back crushing to earth by events in the land of my birth-GOD HELP US
Jambo la kusikitisha na pengine kuleta hasira na chuki kwa viongozi na serikali kwa ujumla ni namna amabavyo serikali imeamua kwa makusudi kutoweka nia ya dhati ya kumaliza/kukomesha madhila yanayowapata hawa wenzetu wenye ulemavu wa ngozi hususan mauaji na kukatwa viungo vya miili yao.
Hili jambo limekuwa likipigiwa kelele mara nyingi na taasisi ambazo sio za kiserikali na mashirika ya nje na hata watu binafsi na wengine kuamua kufanya uchunguzi binafsi na taarifa kutolewa lakini mamlka husika zimeshindwa kuchukua hatua stahili ikiwemo kuwakamata wahusika.
Ifike mahali serikali na watawala waone aibu kwa kuendelea kupokea taarifa za matukio mabaya na ya kutia aibu yanayotokea ndani ya nchi kwa kuhakikisha yanakomeshwa vinginevyo sisi wananchi tutaendelea kuamini kuwa wahusika wa mauaji ya albino ni viongozi walioko ndani ya serikali na kwa msingi huo serikali itkuwa inahusika moja kwa moja kwenye hayo mauaji.
Persecuted Tanzanian albinos push for respect[/CENTER][/B]
People with albinism under threat of deadly attacks lead community-education drive to gain acceptance.
People suffering from albinism have long been persecuted in East Africa and Tanzania in particular.
It is estimated that more than 150,000 albinos live there, and at least 70 of them have been murdered in the past six years, often for superstitious reasons.
Al Jazeera's Peter Greste travelled to Dar es Salaam, the capital of Tanzania, for the first part of our "Global Beliefs Versus the Law" series, where an education campaign has begun.
Persecuted Tanzanian albinos push for respect - Africa - Al Jazeera English