Mauaji ya Ally Mohamed Kibao hayajafanywa na taasisi zenye weledi, ni genge la watu tu ambao ni wahuni

Mauaji ya Ally Mohamed Kibao hayajafanywa na taasisi zenye weledi, ni genge la watu tu ambao ni wahuni

Weka na yule wa Mtama
20240906_180311.jpg
 
Uprofeshno utokee wapi kazi zenyewe wanapeana mtoto wa muomba na shangazi, wengine vilaza unategemea nini.
Kuna vyombo vyetu vinatumia nguvu kuliko akili..
Tizama hata wale wa mavazi ya kaki, ni nguvu kulukundu tu, hakuna uchunguzi wa maana, wao wanajua kutesa tu.
 
Unyama unaoendelea sasa ni zaidi ya ule uliofanywa na Idd Amin.
Mungu atunusuru waja wake.
 
Nina imani kama ingekuwa ni proffessional assassins wa kazi hizo, wala wasingeacha alama yoyote ile, wangetembea ndani ya mfumo wa maisha yake na angeondoka bila kuacha kelele. Kwenye basi humo humo proffessional wangempulizia sumu, au anakolala, akajiendea taratibu.

Nadhani ni kagenge ka wahuni tu ambako hakana accountability, na kanajifanya kako embedded kwa state.

Sisi tunatoa laana zote kwa genge hilo, lisakwe mpaka lipatikane

Professional assassiners hawajui Watu kwa interest za machawa. .
Professional assassiners hawafanyi kazi za kuwalazimisha watu wajiunge na CCM.

Mauaji mengi yanafanywa UVCCM wanaojifanya ni TISS.
Mara nyingi hata sio polisi .
Machawa wasaka vyeo na madaraka ndani ya serikali za mafisadi ndio wanafadhili machawa kufanya mauaji ya kihuni na hata ya halaiki.
Haya ni mauaji yanayotokana na hisia na ubinafsi wa Watu tu. Hayana interest yoyote kwa taifa zaidi ya kulinda maslahi hasa pesa zilizomwagwa na waarabu kuuza nchi. Watamwambia nini Mwarabu endapo CCM itashindwa uchaguzi .
 
Yale yale siwezi kushangaa.

Hata mama alisema hayo hayo kwenye issue ya Lissu. Kwamba wale hawakosi shabaha.

Vitendo vyote kummwagia tindikali ni kuficha na ama kuhadaa wananchi ionekane kwamba ni wahuni tu wamefanya vitendo hivyo.

Dola iko kazini.
Sio lazima iwe dola, issue ya Chacha Wangwe unaikumbuka?
 
Siku inzi akiacha upuuzi anaweza kutengeza asali. Jeshi la polisi libadilishiwe majukumu,wapewe majembe walime mapori badala ya bunduki wanazotumia kuulia raia wema!
 
Bibi mbona umekuja kiwepesi sana asubuhi hii ?!! [emoji1787]

Hujawahi kusikia watu wana sare za majeshi ya dola na kuwa na silaha na kupatikana hivyo ?!!

Aagh Bibi wee wa Ashdod [emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hao unaowasema wewe wako Somalia huko wanateka meli kwa maslahi fulani hawawezi kutumia hayo masilaha na nguo kumteka raia tu wa kawaida ili wapate nini?
 
Back
Top Bottom