Tanzania, Botswana, Ghana, Zambia, Malawi, n.k. ni nchi chache saana ambazo ukabila haupewi uzito, tunaishi kwa unduguMambo haya ukiyafuatulia utaumia kichwa kwa kweli ,hiyo ndio dunia tuishi ...Kitu nafurahi sana kuishi Tanzania makabila kibao wengi wanaozaliwa mjini hawana time na ukabila washazoea kuishi na kila mtu , fresh tu...
Ukabila ni bomu kubwa sana.
Tanzania ni bomba sana naikubaliTanzania, Botswana, Ghana, Zambia, Malawi, n.k. ni nchi chache saana ambazo ukabila haupewi uzito, tunaishi kwa undugu
Ila kuna ukabila wa chini chini bado upo japo ni makabila machache hasa kwenye kuwekana nafasi za ajira,Tanzania ni bomba sana naikubali
Huwezi jua hii bahati kama huna exposure.Tuna matatizo mengi lakini hayajafikia hatua ya kutugawa kwa misingi ya ukabira kama inavyofanyika kwa baadhi ya nchi ,hata hapo kenya tuuuTanzania ni bomba sana naikubali
Una uhakika na unacho kiongea? Una statistics?Idadi / Population ya Rwanda, imejengwa zaidi na wahutu na watutsi, baina yao (ukiachana Wa Twa ambao ni wachache sana huishi maporini kama wahadzabe) wahutu ni 90% na watutsi ni 10%...
vitambulisho vinweza visioneshe kabila lakini majina yanatosha kujua, Kwa Rwnda hata urefu wa mtu huchangia kujua kabila lake, Watutsi wengi ni warefu.Una uhakika na unacho kiongea? Una statistics?
Hivi unatofautishaje makabila ya Rwanda..
Unajua jinalsi system ya uongozi wa Rwanda ilivyo.
Mambo ya ukabila yameisha yaliletwa na Baba zenu lakini Kagame ameyamaliza..
Utamtofautishaje mhutu na mtutsi wakati hata kwenye ID hakuna kabila imeandikwa..
Sasa inatuhusu nini sisi watanganyika?Idadi / Population ya Rwanda, imejengwa zaidi na wahutu na watutsi, baina yao (ukiachana Wa Twa ambao ni wachache sana huishi maporini kama wahadzabe) wahutu ni 90% na watutsi ni 10%
Baada ya mapinduzi mpaka sasa ni kama wahutu wametengwa licha ya wao kuwa wengi, Vteo vingi vya Serikalini, Jeshini, Taasisi, n.k. wanajazana watutsi, hata misaada ya kiserikali imelenga zaidi kuwasaidia watutsi.
Kagame wala mtutsi mwengine hawezi kuja kupata madaraka kwa kura kwasababu watutsi wahutu walio 90% wanalalamika kuwekwa pembeni, hata madaraka aliyoyapata Kagame ni kwa kupindua serikali baada ya vita iliyoanza kwa mauaji dhidi ya watututsi pale wahutu walipopata hasira ndege za marais wawili (Rwabda na Burundi) waliokuwa wahutu zilipolipuliwa na waasi wa kitutsi wakiongozwa na Kagame.
Wahutu wanatengwa kwa maksudi kabisa licha ya wao kuwa almost 90 %
Sasa umeingia kufanya nini humu kwenye jukwaa la kimataifa ?Sasa inatuhusu nini sisi watanganyika?
Bora TZ sasaHii nchi ya hovyo sana
Kwa statistic hizi, naliona tatizo kubwa kuja kutokea mbelenivitambulisho vinweza visioneshe kabila lakini majina yanatosha kujua, Kwa Rwnda hata urefu wa mtu huchangia kujua kabila lake, Watutsi wengi ni warefu.
Hivi ni vyeo vya juu vya jeshi la Rwanda, majenderali wote ni watutsi
Wakuu wote wa vyombo vya ulinzi polisi, usalama wa taifa, magereza, jeshi la Rwanda, n.k. ni watutsi
Hayo mambo yatachochea ukabila zaidiRwanda ilikuwa ni Kingdom na ni vizuri nafasi ya Mwami irudishwe halafu iwe ni constutional ambae ndiye awe head of State halafu nafasi ya Waziri Mkuu iwe ya kugombania kwa kura na Chama kinacholeta Ukabila kinafutwa.
Rwanda irudi kuwa Kingdom kwasababu ilikuwa mfumo huo kwa miaka mingi na hakukua na mauaji ya kimbari lakini Wabeleji ndio waluikuja kuleta fitina na kufunza ubaguzi.Hayo mambo yatachochea ukabila zaidi
Wahutu kuna kipindi uvumilivu utawashinda na kuweka uoga pembeni, hio siku ikifika watutsi watamlaani Kagame kwa haya anayofanya, kitachovunwa ni hizi mbegu za kikabila zinazopandwa na KagameKwa statistic hizi, naliona tatizo kubwa kuja kutokea mbeleni