Mauaji ya Kimbari hayaepukiki kujirudia, Kwa ukabila huu wa kundi dogo kuitawala Rwanda huku wakilitenga kundi kubwa si ajabu yakajirudia ya 1994

Mauaji ya Kimbari hayaepukiki kujirudia, Kwa ukabila huu wa kundi dogo kuitawala Rwanda huku wakilitenga kundi kubwa si ajabu yakajirudia ya 1994

Hata katika Marashi Mushi ni watusi pekee wa Hutu wanasema hayawahusu ila amini pat akuna kuwaka tena hapo Rwanda
 
Rwanda irudi kuwa Kingdom kwasababu ilikuwa mfumo huo kwa miaka mingi na hakukua na mauaji ya kimbari lakini Wabeleji ndio waluikuja kuleta fitina na kufunza ubaguzi.
Huo mfumo Wahutu waliuchoka wakaungana na kuuongoa, hawataki kabisa kuusikia
 
Huo mfumo Wahutu waliuchoka wakaungana na kuuongoa, hawataki kabisa kuusikia
Hawakuuchoka ni Wakoloni wa Kibelgiji ndio walitengeneza majungu Wanyarwanda wote Watutsi kwa Wahutu walikuwa wakimpenda Mwami wao.

Wakoloni walijenga Falme zao na kubomoa za Kiafrika ikiwamo kumuua Mangi wa Kibosho na kuchukua Fuvu kwenda kumuonyesha Mfalme Keisar.

Hata huko Ethiopia hakutaweza kutulia mpaka watakapo urejesha Ufalme wa Negus, Negus ndie aliyekuwa akitumika kama kiunganishi cha Makabila ya Wahabeshi.

Wafalme wa Rwanda wametawala kwa miaka na miaka na hakukuwa na Mauaji ya kimbari Rwanda alikuwa akitumika kuunganisha Makabila ya Rwanda.
 
Hawakuuchoka ni Wakoloni wa Kibelgiji ndio walitengeneza majungu Wanyarwanda wote Watutsi kwa Wahutu walikuwa wakimpenda Mwami wao.

Wakoloni walijenga Falme zao na kubomoa za Kiafrika ikiwamo kumuua Mangi wa Kibosho na kuchukua Fuvu kwenda kumuonyesha Mfalme Keisar.

Hata huko Ethiopia hakutaweza kutulia mpaka watakapo urejesha Ufalme wa Negus, Negus ndie aliyekuwa akitumika kama kiunganishi cha Makabila ya Wahabeshi.

Wafalme wa Rwanda wametawala kwa miaka na miaka na hakukuwa na Mauaji ya kimbari Rwanda alikuwa akitumika kuunganisha Makabila ya Rwanda.
Kwa kifupi kwa sasa wahutu na watutsi hawaivani, wahutu wanaona live wananyanyaswa na watutsi.

maji yakishamwagika hayazoleki.
 
Kwa kifupi kwa sasa wahutu na watutsi hawaivani, wahutu wanaona live wananyanyaswa na watutsi.

maji yakishamwagika hayazoleki.
Matatizo ya Ukabila Rwanda na Ethiopia yataondolewa kwa kurejesha Ufalme.

Lakini hii style ya Winner takes all hii migogoro haitaisha na kusema kuwa Watutsi wa Rwanda watafanyiwa mauaji ya Kimbari sio rahisi Wahutu wamejifunza mambo mengi kama kuishi ukimbizini au kuliwa na Mamba wakati wakivuka mito ya Kongo na kuliwa na Simba Benaco.
 
Tanzania, Botswana, Ghana, Zambia, Malawi, n.k. ni nchi chache saana ambazo ukabila haupewi uzito, tunaishi kwa undugu
Kama hakuna Ukabila basi kuna Nepotism unakuta Koo za akina Mwinyi nk.
 
vitambulisho vinweza visioneshe kabila lakini majina yanatosha kujua, Kwa Rwnda hata urefu wa mtu huchangia kujua kabila lake, Watutsi wengi ni warefu.

Hivi ni vyeo vya juu vya jeshi la Rwanda, majenderali wote ni watutsi



Wakuu wote wa vyombo vya ulinzi polisi, usalama wa taifa, magereza, jeshi la Rwanda, n.k. ni watutsi
Sio kweli ..Wahutu kutoka northern Rwanda niwarefu kuzidi hata watutsi..Wahutu kutoka Western part of Rwanda wana pua ndefu na sura nzuri hata zaidi ya watutsi . RDF ilisha ongozwa na mhutu zaidi ya mara Moja,jeshi la polisi lisha ongozwa na mhutu zaidi ya mara Moja..
Jeshi la magereza mpaka Leo linaongozwa na mhutu..angalia cabinet utakuta Wahutu ndio majority.
Waziri mkuu, mkuu wa senate ni Wahutu..what are you talking about..
Hizo ni facts mengine ni stories unazotoa mitandaoni the same stories kila mwaka.
 
Sio kweli ..Wahutu kutoka northern Rwanda niwarefu kuzidi hata watutsi..Wahutu kutoka Western part of Rwanda wana pua ndefu na sura nzuri hata zaidi ya watutsi . RDF ilisha ongozwa na mhutu zaidi ya mara Moja,jeshi la polisi lisha ongozwa na mhutu zaidi ya mara Moja..
Jeshi la magereza mpaka Leo linaongozwa na mhutu..angalia cabinet utakuta Wahutu ndio majority.
Waziri mkuu, mkuu wa senate ni Wahutu..what are you talking about..
Hizo ni facts mengine ni stories unazotoa mitandaoni the same stories kila mwaka.
Hao wahutu most likely ni puppets wa Tutsis
 
Mambo haya ukiyafuatulia utaumia kichwa kwa kweli ,hiyo ndio dunia tuishi ...Kitu nafurahi sana kuishi Tanzania makabila kibao wengi wanaozaliwa mjini hawana time na ukabila washazoea kuishi na kila mtu , fresh tu...


Ukabila ni bomu kubwa sana.
Hili ni zao la Nyerere, yule mzee alijua kabisa, tukiendekeza ukabila, tumekwisha..
 
Hao wahutu most likely ni puppets wa Tutsis
acha chokochoko ww kichaa. ya nchi yako yanakushinda. Rwanda, Kagame kamaliza ukabila, kwa taarifa yako wahutu ni wengi wana vyeo ktk serikal ya PK jinga kweli. na majina mengi yanatumika na tutsi na hutu. unajua kisa cha mpaka kutunguliwa Hyabirimana? Habirimana alianza kuleta ukengeufu hapo.
huwa una mada za kifalafala. mara uwanange waislam mada zako za kichokochoko kama shoga
 
acha chokochoko ww kichaa. ya nchi yako yanakushinda. Rwanda, Kagame kamaliza ukabila, kwa taarifa yako wahutu ni wengi wana vyeo ktk serikal ya PK jinga kweli. na majina mengi yanatumika na tutsi na hutu. unajua kisa cha mpaka kutunguliwa Hyabirimana? Habirimana alianza kuleta ukengeufu hapo.
huwa una mada za kifalafala. mara uwanange waislam mada zako za kichokochoko kama shoga
huna hoja, unachoweza ni kuandika tu matusi ya vijiweni

Mi naweka evidence wewe unaleta story
 
vitambulisho vinweza visioneshe kabila lakini majina yanatosha kujua, Kwa Rwnda hata urefu wa mtu huchangia kujua kabila lake, Watutsi wengi ni warefu.

Hivi ni vyeo vya juu vya jeshi la Rwanda, majenderali wote ni watutsi



Wakuu wote wa vyombo vya ulinzi polisi, usalama wa taifa, magereza, jeshi la Rwanda, n.k. ni watutsi
Utakuwa muhutu tuu ukimbizini, rudi kwenu mkajenge nchi, ile Rwanda ya baba zako wauaji haipo tena, Kagame kaweka mambo sawa na hakuna tena muhutu au mtusi ndani ya Rwanda, pumbaf sana
 
Ila kuna ukabila wa chini chini bado hasa kwenye nafasi za ajira, kuwekana kikabila.

Nae raisi aliepita kwa mbali alianza hizi itikadi, haikuleta picha nzur
tupe mfano nani aliyepata cheo Kwa ukabila lkn hakustahili,tianzie hapo.
 
Kama hakuna Ukabila basi kuna Nepotism unakuta Koo za akina Mwinyi nk.

kunaweza kuwa na nafasi 10 za ajira, Shortlisted candidates wenye sifa zote ni 100 lakini 10 ni wa kabila la manager, akichagua hao 10 wote wa kabila lake,je wengine hawana sifa ?
Unataka watu wa kazi na hao kumi unaona watafaa unawaacha Kwa sababu ya kabila huo ndio ukabila wenyewe. na ndio maana MAGU alikuwa na serikali Bora kabisa ambayo haijashuhudiwa hapa Kwa muda mrefu.
 
Idadi / Population ya Rwanda kuna makundi matatu,

Wahutu 85 %
Watutsi 14 %
Watwa 1%.


Kwa hisoria fupi, mauaji ya Kimbari 1994 yalianza baada ya waasi wa kitutsi wakiongozwa na Kagame kulipua ndege aliyokuwemo Rais wa Rwanda mhutu (pia akiwemo rais wa Burundi mhutu), ndipo Wahutu wa Rwanda wakaamua kulipa kisasi kwa kuanza kuwaua watutsi, Waasi wa kitutsi waliingia vItani na hatimae wakashinda.

Baada ya mapinduzi mpaka sasa ni kama wahutu wametengwa licha ya wao kuwa wengi, Vyeo vingi vya Serikalini, Jeshini, Taasisi, n.k. wanajazana watutsi.


View attachment 2962823

View attachment 2962821

View attachment 2962814

View attachment 2962815


View attachment 2962816

View attachment 2962817

View attachment 2962818

View attachment 2962819

View attachment 2962820



View attachment 2962822
🙄🤔⚔️☠️⏳🕯️
 
Back
Top Bottom