Mauaji ya Kimbari hayaepukiki kujirudia, Kwa ukabila huu wa kundi dogo kuitawala Rwanda huku wakilitenga kundi kubwa si ajabu yakajirudia ya 1994

Mauaji ya Kimbari hayaepukiki kujirudia, Kwa ukabila huu wa kundi dogo kuitawala Rwanda huku wakilitenga kundi kubwa si ajabu yakajirudia ya 1994

Kwasababu walikuwa ni Matajiri wa Mifugo na kwasababu kipindi hicho kulikuwa hakuna Pesa Watutsi waliweza kutawala Makabila mengine kutokana na utajiri wao.
😂😂😂😂mkuu excuse me😂😂😂
uko serious!!
unaeza toka hapa unde na uko wakoo mkawatawale masai kisa tu una utajiri??
Haileti sense !!
akamq hujui jifunze mkuu usiwe muoga kuachilia kitu ulichokishika kimakosa
 
😂😂😂😂mkuu excuse me😂😂😂
uko serious!!
unaeza toka hapa unde na uko wakoo mkawatawale masai kisa tu una utajiri??
Haileti sense !!
akamq hujui jifunze mkuu usiwe muoga kuachilia kitu ulichokishika kimakosa
Mtutsi ndio Mtu wa kwanza kuingia na Ng'ombe kwenye eneo hilo Imagine Makabila mengine yalikuwa hayajawahi kuona Ng'ombe katika maisha yao.

Ndio maana hadi leo hizo Ng'ombe zinaitwa Ankole Tutsi.
 
Watu mnapaswa kufurahia usalama ndani ya Rwanda kuliko kuomba yale ya 1994 kujirudia.Rwanda kwa sasa haina mambo ya wahutu,watutsi wala Watwa.

Hizi jamii zimeingiliana sana na uzuri wa Kagame ukileta habari za uhutu,ututsi na utwa,tambua kwamba hakuachi salama na hii imesaidia sana.
 
N
Idadi / population ya warwanda
Wahutu 85 %
Watutsi 14 %
Watwa 1%.


Kwa hisoria fupi, mauaji ya Kimbari 1994 yalianza baada ya waasi wa kitutsi wakiongozwa na Kagame kulipua ndege aliyokuwemo Rais wa Rwanda mhutu (pia akiwemo rais wa Burundi mhutu), ndipo Wahutu wa Rwanda wakaamua kulipa kisasi kwa kuanza kuwaua watutsi, Waasi wa kitutsi waliingia vItani na hatimae wakashinda.

Baada ya mapinduzi mpaka sasa ni kama wahutu wametengwa licha ya wao kuwa wengi, Vyeo vingi vya Serikalini, Jeshini, Taasisi, n.k. wanajazana watutsi.


View attachment 2962823

View attachment 2962821

View attachment 2962814

View attachment 2962815


View attachment 2962816

View attachment 2962817

View attachment 2962818

View attachment 2962819

View attachment 2962820



View attachment 2962822
Nyie wanahabari ndio mnachochea hayo mambo mbona wenyewe wanaishi vizur na wamerizika
 
Rwanda irudi kuwa Kingdom kwasababu ilikuwa mfumo huo kwa miaka mingi na hakukua na mauaji ya kimbari lakini Wabeleji ndio waluikuja kuleta fitina na kufunza ubaguzi.
Sio waarabu kweli maana wale ni shida kila walipo sindio
 
Back
Top Bottom