Mauaji ya Kimbari hayaepukiki kujirudia, Kwa ukabila huu wa kundi dogo kuitawala Rwanda huku wakilitenga kundi kubwa si ajabu yakajirudia ya 1994

Turekekebishe kwetu kwanza kabla ya kujadili ya Rwanda,tuache udini.
 
Acha longolongo....siku hazigandi...chukueni ushauri....
 
Weka majina na hao wahutu warefu kuzidi watusi ndyo nimesikia leo , ila ukweli rwand nafasi zote nyeti ni watutsi wanahodhi mfano jeshini wahutu wasio na vyeo ndyo wanapelekwa drc kusaidia m23 yaani wanaswagwa kufa huku wanaona kua wanakwenda kufa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rwanda ukabila umeisha kwenye makaratasi, lkn mioyoni kwa wahutu kuna fukuta.haiwezekani kabira dogo kutawala nyanza zoote za kiuchumi na kiutawala nchi nzima.
 
Sio kweli hata kidogo, hii doc. imetengenezwa ku suit agenda ambayo hata mleta maada anaihamasisha kwenye post zake nyingi. Zaidi ya 65% ya hizi picha wameandika Tutsi but it is not and am very sure of what am saying. Kwa yale majina ya maaskari sifahamu chochote lakini kwa hizi picha zingine naweza kukutajia Hutus ni wengi kushinda Tutsi, na kwa sababu hiyo sioni kama kuna ukweli kwenye majiana ya hawa ma General.
 
Mzee punguza hasira jamaa kaongea ukweli. Nikuulize swali mkuu?
 
Rwanda ilikuwa ni Kingdom na ni vizuri nafasi ya Mwami irudishwe halafu iwe ni constutional ambae ndiye awe head of State
Huyo Mwami mwenyewe ni mkimbizi na kaomba sana kurudi kaambiwa usikanyage huku.
Rudi uone,na ni mtutsi.
 
Mkuu umeisoma historia ya Rwanda vizuri, mauaji ya Kimbari ya 1994 ni ya pili, ya kwanza ya lifanyika mwaka 1959 zaidi ya watutsi laki moja waliuawa na wahutu kutokana na mfumo huo wa kibaguzi wa kifalme.

Hizo ni takwimu rasmi!
Wakoloni wa Kibeleji ndio wakikuwa nyuma ya Mauaji hayo ili Waafrika tuuane lakini kabla ya ujio wa Mzungu Rwanda kulikuwa hakuna Mauwaji na Wanyarwanda walimpenda Mwami wao.
 
Mambo haya ukiyafuatulia utaumia kichwa kwa kweli ,hiyo ndio dunia tuishi ...Kitu nafurahi sana kuishi Tanzania makabila kibao wengi wanaozaliwa mjini hawana time na ukabila washazoea kuishi na kila mtu , fresh tu...


Ukabila ni bomu kubwa sana.
Tujitahidi kuwa makini na kwenye suala la dini maana na huko pia ni bomu.
 
Rwanda irudi kuwa Kingdom kwasababu ilikuwa mfumo huo kwa miaka mingi na hakukua na mauaji ya kimbari lakini Wabeleji ndio waluikuja kuleta fitina na kufunza ubaguzi.
Huo ndio ulikua unawakandamiza makabila mengine
 
Makabila mengine hayajawahi kusema yanakanfamizwa na Rwanda kulikuwa na Amani sana enzi za Mwami.
mkuu nikama unajitekenya unacheka mwenyewe!!

Hayajawai kusema wapi??
uliyauliza? yakasema hayakandamizwi??
Kulikua na vyombo vya habar kama sasa??
Uhuru tu ndio ulionyesha maumivu ya muda mrefu baada ya kumfukuza huyo mwami akakimbia na wakachagua mhutu mwenzao
 
Hayajawai kusema wapi??
uliyauliza? yakasema hayakandamizwi??
Kulikua na vyombo vya habar kama sasa??
Uhuru tu ndio ulionyesha maumivu ya muda mrefu baada ya kumfukuza huyo mwami akakimbia na wakachagua mhutu mwenzao
Hakuna Historia ya mauaji ya Kimbari dhidi ya Wahutu ni mpaka Mzungu alipotia timu na kuanza siasa zake za kuwachonganisha ili atawale.
 
Hakuna Historia ya mauaji ya Kimbari dhidi ya Wahutu ni mpaka Mzungu alipotia timu na kuanza siasa zake za kuwachonganisha ili atawale.
unajua watusi waliwezaje kuchukua umwami wakati wao walikua minority??
Fatilia historia
we unajua kuanzia ukoloni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…