Karume aliuwawa na mabaki ya sultani (waZenj wenye asili ya kiarabu) wakilipiza kisasi cha mapinduzi na kujaribu kumpindua...lakini kitu walichokwama ni kwamba jeshi lote la Tanzania lilikuwa chini ya Nyerere,,nadhani mnaelewa nini kingewakuta wangeendeleza chokochoko....pia muelewe awa mabaki ya sultani wamejaribu mara nyingi kumpindua Karume ila hawakufanikiwa...kwa sasa ndio wanaubiri mamlaka kamili ili watekeleze kiapo chao cha kuirudisha Znz chini ya mwarabu.
Black widow FaizaFoxyNaona huna hoja maana sasa unaleta viroja. Umetumwa?
Achana na mimi, jibu maswali yangu kama una majibu, kama huna majibu nisome tu usepe, uwawache wenye uwezo wa kujenga hoja wanijibu.
Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!
Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.
Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!
Fafanua kidogo hapo mkuu
ulimi una tabia ya kuponza kichwa wewe keybody itaponza kichwa.............
nawe acha ukilaza usiokuwa na msingi. wewe umeambiwa 2+2=4 lakini hutaki kuelewa untaka, unataka jibu gani zaidi ya hilo? basi tunga jibu unalojua na ukae kimya uache kuropoka! umepewa material usome halafu husomi unataka uwekewe kwenye youtube usikilize? acha uvivu wa wa kusoma na kufikiri.
Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!
Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.
Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!
Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!
Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.
Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!
By Jason bourne
Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!
Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.
Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!
Wapi na wapi?kuna mdau katujuza kuwa muuaji wa Mzee karume alikuwa ni mlipizaji wa kisasi wa kifo cha Baba yake [Hoja hii kama ni kweli Mzee Karume alishurutisha mtoto Mtu kumua Baba yake pasipo hiari yake hata kama ilikuwa ni SIRI KUU hapo ilikuwa ni dhambi ambayo mmalipo yake lazima yangerudi] . Yani wenzetu wanasema what goes around comes around.Hoja ya kulipa kisasi asilmia kubwa ina mashiko kwangu kwa kuwa na utamaduni wa watu wa kimazingira siasa za Zanzibar zimezungukwa na visasi kwa hilo naafiki kuna uwezekano.
Haya mdau Jason wewe unakuja na hoja ya Mwalimu kumua Mzee Karume ambae kwa jukumu alilokuwa nalo tena kwa hiari yake mwenyewe alimfuata Mwalimu ili auende Muungano na si Mwalimu aliyemfuata kuunda Muungano.Hiyo imeakaaje aliayetaka Muungano ndie awe mvunja muungano huo huo?Naomba ufafanuzi ukiziangati hiyo taarifa ya mdau kuhusu ujumbe hapo juu.
kuna three type of secrety, cofidential ,normal ,top secrety.....but these are top secrety zmzeealimundoa karume kwa sababu ya muungano. na mzee pia alimuondoa sokoine coz alivuta mipaka ya utawala, rais wa nchi anaruhusiwa kuua in case of national interest na wala si dhambi..rais anaweza akaua km akiridhika na security detail anazopewa na tiss