Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!

Mauaji ya Mzee Karume: Acha sasa tuhoji yasiyohojika!

Karume aliuwawa na mabaki ya sultani (waZenj wenye asili ya kiarabu) wakilipiza kisasi cha mapinduzi na kujaribu kumpindua...lakini kitu walichokwama ni kwamba jeshi lote la Tanzania lilikuwa chini ya Nyerere,,nadhani mnaelewa nini kingewakuta wangeendeleza chokochoko....pia muelewe awa mabaki ya sultani wamejaribu mara nyingi kumpindua Karume ila hawakufanikiwa...kwa sasa ndio wanaubiri mamlaka kamili ili watekeleze kiapo chao cha kuirudisha Znz chini ya mwarabu.
 
Karume aliuwawa na mabaki ya sultani (waZenj wenye asili ya kiarabu) wakilipiza kisasi cha mapinduzi na kujaribu kumpindua...lakini kitu walichokwama ni kwamba jeshi lote la Tanzania lilikuwa chini ya Nyerere,,nadhani mnaelewa nini kingewakuta wangeendeleza chokochoko....pia muelewe awa mabaki ya sultani wamejaribu mara nyingi kumpindua Karume ila hawakufanikiwa...kwa sasa ndio wanaubiri mamlaka kamili ili watekeleze kiapo chao cha kuirudisha Znz chini ya mwarabu.

Siamin km wafuas wa surtan walimpiga risasi ila ni selikal yetu ndio ilifanya hivyo embu jiulize kifo cha wazir wa mkuu zaman Sokoine je kifo chak kilikuaje? Mm ninavyo isi nackia kua mze Karume alitaka kuvunja muungano ndio wakammaliza. Km ni mabaki ya sultan mbn chuki ziliamia kwa mke wake na watoto wk? Achakudanganya watu.
 
Naona huna hoja maana sasa unaleta viroja. Umetumwa?
Black widow FaizaFoxy
===>Nakusaidia mama mjane usije ukafikiria yale machungu ya viboko then ukaja uajilipua hapa JF,utaharibu Server za watu bure,maaana hamuaniki hata chembe wewe.
 
Last edited by a moderator:
Achana na mimi, jibu maswali yangu kama una majibu, kama huna majibu nisome tu usepe, uwawache wenye uwezo wa kujenga hoja wanijibu.

nawe acha ukilaza usiokuwa na msingi. wewe umeambiwa 2+2=4 lakini hutaki kuelewa untaka, unataka jibu gani zaidi ya hilo? basi tunga jibu unalojua na ukae kimya uache kuropoka! umepewa material usome halafu husomi unataka uwekewe kwenye youtube usikilize? acha uvivu wa wa kusoma na kufikiri.
 
Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!
Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.

Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!

ulimi una tabia ya kuponza kichwa wewe keybody itaponza kichwa.............
 
ulimi una tabia ya kuponza kichwa wewe keybody itaponza kichwa.............

Acha uoga! Tabia ya kuficha ukweli ndio unaigharimu hii nchi,sababu madudu mengi yanafichwa. Hili lipo wazi sana,hata kama si Yericko basi litakuja semwa na vizazi vijavyo.
 
Kwa wenye akili wamefahamu ila kwa walokuwa akili zao ni nzito kupambanua itakuwa bado hawajafahamu wanataka ufafanuzi zaidi ya hapo ili wafahamu zaidi.
 
nawe acha ukilaza usiokuwa na msingi. wewe umeambiwa 2+2=4 lakini hutaki kuelewa untaka, unataka jibu gani zaidi ya hilo? basi tunga jibu unalojua na ukae kimya uache kuropoka! umepewa material usome halafu husomi unataka uwekewe kwenye youtube usikilize? acha uvivu wa wa kusoma na kufikiri.

Wewe itakuwa umekunywa gongo mchana jua kali bila kula na una hasira za Chalinze.
 
Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!
Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.

Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!

Kwi kwi kwi kwi teh teh teh
Ritz njoo huku, naona kama mtu kaiba password ya Yericko Nyerere.
 
Maajabu ya JF:

Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!
Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.

Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!



quote_icon.png
By Jason bourne

Acheni kutafuna maneno! Aliyemuua Karume ni JULIUS K NYERERE rais wa kwanza wa Tanganyika na chama chake cha TANU-CCM!
Si huyo tu ambaye kauawa na serikali ya ccm, orodha ni ndefu sana.

Tunasubiri 2015 watakapokuwa chama cha upinzani ndipo tutafungua kesi za mauaji hayo maana ushahidi upoo!!
 
Wapi na wapi?kuna mdau katujuza kuwa muuaji wa Mzee karume alikuwa ni mlipizaji wa kisasi wa kifo cha Baba yake [Hoja hii kama ni kweli Mzee Karume alishurutisha mtoto Mtu kumua Baba yake pasipo hiari yake hata kama ilikuwa ni SIRI KUU hapo ilikuwa ni dhambi ambayo mmalipo yake lazima yangerudi] . Yani wenzetu wanasema what goes around comes around.Hoja ya kulipa kisasi asilmia kubwa ina mashiko kwangu kwa kuwa na utamaduni wa watu wa kimazingira siasa za Zanzibar zimezungukwa na visasi kwa hilo naafiki kuna uwezekano.

Haya mdau Jason wewe unakuja na hoja ya Mwalimu kumua Mzee Karume ambae kwa jukumu alilokuwa nalo tena kwa hiari yake mwenyewe alimfuata Mwalimu ili auende Muungano na si Mwalimu aliyemfuata kuunda Muungano.Hiyo imeakaaje aliayetaka Muungano ndie awe mvunja muungano huo huo?Naomba ufafanuzi ukiziangati hiyo taarifa ya mdau kuhusu ujumbe hapo juu.

Asante,tungependa wachangiaji waje na hoja ya kweli au inayokaribia,na sio chuki binafsi dhidi ya mtu,au muundo.Kwa wale wasio jua hapa ni pa kujikifunza!Endeleeni kutuelewesha.......
 
kuna three type of secrety, cofidential ,normal ,top secrety.....but these are top secrety zmzeealimundoa karume kwa sababu ya muungano. na mzee pia alimuondoa sokoine coz alivuta mipaka ya utawala, rais wa nchi anaruhusiwa kuua in case of national interest na wala si dhambi..rais anaweza akaua km akiridhika na security detail anazopewa na tiss

C.R.A.P from coffee joints.
Kuna ugumu gani kwa Rais wakati huo kumfukuza waziri mkuu, eti mpaka afanye mauaji!?!?
Mzee karume aliuwawa na wazanzibar ambao hawakupendezwa na mambo ya mapinduzi.
Na sokoine alikufa kwa ajali. Na kama ajali ilkuwa na mkono wa mtu/watu, basi mtu/ hao sio Nyerere.
 
Jamani yasemwe mengi lakini ya ukweli na kufikrika. Acheni hadithi za uongo.:flypig:
 
Hivi Ben Disraeli alikuja waziri mkuu wa Uingereza 1967 kweli?
 
Sio kweli kua Mzee karume indie alomfata nyerere waungane azimio lote la mkataba Wa muungano yeye nyerere indie aloandaa na akamtuma kambona kuja Zen kwa Mzee karume kufikisha wazo la muungano huo mengi tumeyasikia yakiasemwa Luna ghila na hadaa katika makubaliano hayo sasa wakati umefika wakujua ukweli huo nikutolewa mkataba sahihi Wa muunguno kinacho ogopwa nini tutajua km ni karume au nyerere alomfata mwenzake sahihi zao zitasema

Wanojua zaid nadhani watatuelimisha
 
Jaman nyerere aliwaua kina habiryimana? Tusilete habari msizo na uhakika nazo
 
Back
Top Bottom