Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?

Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?

Kisifanyike chochote juzi kuna Wabunge wameomba hilo swala lijadiliwe bungeni kuna wanawake jenista mhagama na mwenzie bila hata aibu wanasema ni uchochezi!
Yakasikika makofi ya Wabunge wa ccm waaaa...waaaa....waaaa....
Acha tuendelee hivi hivi
Na bado ,kila cku nawaambia uvumilivu wa binadamu yeyote huwa na mwisho....nilikuwa najiuliza siku nyingi hivi MTU unawezaje kuwa gaidi na kujitoa muhanga ???? Haki kwanza ndiyo amani hufuata ,not vice versa!!!!
 
Wanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?.

Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?,

Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.

Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?.

Hili kuwaweka polisi wetu kwenye risk na kuwa an easy target, kwa majambazi wanaotumia silaha, niliwahi kulizungumza hapa kwa kirefuhttps://www.jamiiforums.com/threads/hili-la-polisi-kuruhusiwa-kuwanyanganya-silaha-majambazi-na-kupandishwa-vyeo-limekaaje.1071133/page-5

Kwa tukio kama la jana,jee mnadhani huu sasa ni wakati muafaka wa kuzibadili sheria zetu za jeshi la polisi ili kuwalinda polisi wetu wawe licenced to kill officially na serikali itangaze rasmi kuwa ujambazi wa kutumia silaha adhabu yake ni kifo cha papo kwa papo, no prosecution no kesi, bali ni hukumu ya kifo there and then ili kuwaogofya kabisa majambazi wote wanaotumia silaha wasithubutu?!.




Kama ni ugaidi au retaliation, tufanye nini?.

Natoa pole kwa rais wetu wa JMT, waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na familia za askari hao!

RIP Askari Wetu.
Nini Kifanyike? .
Ijumaa Kuu Chungu!.
Paskali

Paskali;

Nimekuwa nafuatilia thread zako. Na nilitaka nijue ni mtu wa aina gani. Wewe ni mwanahabari wa siku nyingi na baadhi ya vipindi ulivyokuwa unaendesha kama "KITI MOTO" ndani ya Channel Ten enzi hizo nilikuwa mfuatiliagi wako sana, na baadae TBC na baadae sijui unafanya nini sasa.

Ila kwa thread yako ya leo na kua attach thread ya nyuma; ambayo kimsingi haina uhusiano kabisa. Inawezekana uelewa wako ni mdogo. Kule kibiti kabla ya Jana; waliuliwa wenyeviti wa vitongoji. Hakuna wanachochukua-kwa hiyo kuhusisha jambo lini na ujambazi ni jambo la kipa unyuma kwa sasa.

Maeneo ya Kibiti na Mkuranga yanaelezwa ni maeneo ya biashara haramu. Kule Nyamizati maeneo ya baharini wanaishi watu ambao wanasemekana sio asili ya Tanzania na wanafanya biashara haramu. Manakuja na majahazi. Kuna uwezekano mifumo yetu iliwalea hawa watu kwa maslahi ya watu wachache; wakiwemo hao wenyeviti.

Ya Mkuranga yanashabihiana sana na ya Tanga; Lengo la hawa ni kuteta Mtafaruku (Terror) kwa malengo mengine. Na wanachofanya ni kunyamazisha mifumo ya utoaji taarifa kutoka ngazi ya chini. Tuangalie kwa mapana mambo yanayotokea Uganda (Senior Police killings), kule Kenya n.k.

Kwa hiyo Paskali; approach hapa siyo ya kutongoza wahalifu-Usipokula ubongo wao watakula wako.

Hii thread imekosa uzalendo na ni ya kichonganishi pia. Nasema hivi kwa sababu hujaja na solution; na pia ukirudia thread ulio attach .

Kama wewe ni Serikali ungefanyaje-ungeenda kuwatongoza wahalifu; najaribu kuwaza tu. Ungewambia jamani hatuta wanyang'anya silaha tena haraka haraka hata kama mkienda kuvunja benki- chukueni tu ila msiuwe mtu jamani!

Nangojea na haki za binadamu waje waseme tunalaani mauwaji ya polisi, kwa sababu walilaani mauwaji ya majambazi-What a shame

Ila kwa serikali kwa wakati huu inatakiwakupandisha security level to yellow kwa maeneo yote ya ukanda wa pwani; ingawa hii sii mara ya kwanza kutokea.

Niwape familia pole na watu wote walioadhirika kwa namna moja au nyingine.
 
Nachokiona ni hali ya kulipiza kisasi kati ya wananchi na jeshi la polisi,Kutatua hilo tatizo jeshi la polisi lianze kutenda haki,wasinyanyase raia,makirikiri wanavyoteka watu na kuua wanachi wanaamini wote ni jeshi la polisi na wao na wanaanza kuua askari.

JESHI LA POLISI JISAHIHISHENI,TENDENI HAKI,MSINYANYASE RAIA,KUWAONEA RAIA KUNAONGEZA CHUKI SANA NA KUTENGENEZA VISASI.
 
Jambazi wa porini anayeua polisi ili aibe SMG

Jambazi wa mbagala anayeua polisi ili aibe SMG
Jambazi wa kongowe anayeua polisi ili aibe SMG

Feels like something fishy
 
Hapo ndipo mwisho wako wa kifikiri. Unauwa mtuhumiwa kahusika?. Kumbuka ktk kutia nguvuni kunakukamata waliomo na wasiomo, namna pekee ya kuwatambua ni mahakamani kipitia ushahidi. Ni kweli inaumiza sana kupoteza askari wetu, lkn huyo /hao wahisika nashindwa kuwaita majambazi moja kwa moja. lbd magaidi au chuki. Jambazi hulenga kupora, sasa hawa walitaka kupora nini gari la polisi?
 
Awali ya yote natoa pole kwa Familia ambazo zimepoteza Ndugu,jamaa, na hata Marafiki. Tukio hili limenishtua sana kila mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi hii atakuwa ameguswa kwa namna moja au nyingine japo kuna watu vichwa vibovu kiukweli wanasikitisha na kushangaza kabisa namna wanavyocomment,! Hawa Polisi ni Ndugu zetu,Majirani zetu na hata Rafiki zetu. Jeshi la Polisi sasa liache kucheka na majambazi, wafuate maelekezo ya Mkuu nategemea kusikia vifo vingi vya Majambazi kuanzia sasa, Majambazi si Wa kupeleka mahakamani maana kule tunajua, watu hutishiwa kutoa ushahidi kwa kuhofia maisha yao matokeo yake yanarudi mtaani yakidunda.,, hapa kikubwa ni kuyaua tu ikiwezekana hata hadharani .. Hapa hautosikia haki za binadamu wakijitokeza kusemea hili la Jana.

Jambazi hastahili kuishi anastahili kufa......
Nawe kesho utauawa, you will be mistaken, kuna mtu atakupigia mwizi utauawa, acha kuongea kama hujaenda shule. You will be mistaken for a jambazi and you have it! Waingereza hizi taratibu waliziweka after a long time of experience and public chekability............. then they created those concepts and went on to teach them formally and informally!
 
Mauaji ya polisi? That's the right price to pay when you are a Cop in this country. Polisi wajitathini kwa Yale mabaya wanayowatendea wananchi especially the lower social class
 
Hivi ni majambazi au magaidi?
Mimi nimesoma wanadai aliyewauwa ni mmoja.
Na nimeachwa na maswali yafuatayo;
1) kama asikari waliuwawa wote no nani aliyeyeripoti ya kwamba aliyewaua maaskari wetu ni mmoja?
2) hivi ni jambazi au Gaidi?
3)Ni nani aliyeanza mashambulizi kati ya polisi na mharifu? Pia kama ni jambazi kwa nn awaue na achukue silaha ? Maana kwa ufahama wangu jambzi huwa analenga sana kitu kitakacho mwingizia pesa .
 
Hafu kitu kingine walikuwa wanatoka shift au ndo walikuwa wakimfuatilia huyu mharifu?
 
Nionavyo mimi ni makundi ya maharifu yanakusanya silaha.

Halfu kitu kingine kule yanakotokea haya ni kule kule kwenye pwani isiyokuwa na ulinzii. Ulinzi uimarishwe katika njia chocho za bahari.

Ninaomba JWTZ wafanye operation maalumu katika misitu iliyokatika maeneo hayo. Kunaweza kuwa na kambi maalumu ya uahrifu.

Tatu viongozi wa dini ya kiisilam, wale wanaowaza mema, wakae na wajadili namna ya kukomesha mitazazmo mibovu ya baadhi ya watu walio nao juu ya maisha. Bila shaka wanafahamu haya ni kwa nini yanatokea kwa kuwa eneo yanakotokea haya ni kule kwenye wingi wa wafuasi wao ambao wameshindwa maisha. Wanatakiwa wawape elimu sahihi namna wataboresha maisha yao badala ya kutafuta njia za kiharamia au kutaka kuharibu nchi ili wakose wote. Hii ni roho ya shetani yule mwenye wivu.

Nne jeshi la polisi lirudi katika misingi ya kutenda haki. Waacha uharamia wa kudhulumu na kuonea raia. Polisi waache unyanganyi wa mali na haki za raia ili jamii iwaone kuwa ni sehemu yake na iwape ushirikiano. Polisi wamejitenga na wananchi ki malengo na ndiyo sababu wananchi wako kimya hata wanapoona mipango miovu inatokea. Ninasema hivi kwa sababu, bila shaka hata katika tukio hili kulikuwa na watu karibu. Hao jambazi hakutoka hewani na hakuyeyeyuka baada ya ushetani wake. Watu walimwona akiingia na alikoelelkea wanajua. Jeshi la polisi linahitaji kuhamasisha umoja kati yake na raia ili raia walisaidie kuzuia matukio ya kishetani kama haya.

Tano serikali iache kuwatumia polisi vibaya. Inawajengea chuki dhidi ya wananchi. Wanachi wanaoan polisi ni watesi wao na si wasaidizi n ahivyo kujitenga nao mbali. Viongozi wa ccm na serikali wawekeane mikakati ya kudhibiti matumizi ya jeshi la polisi yasiyo halali. Yanalidhalilisha jeshi letu na kuliweka katika wakati mgumu sana wa kutengwa na umma.

Serikali itambue kwamba hii ni karne nyingine. Budget za serikali ziangalie suala la technolojia ya ulinzi na usalama ndani na nje ya mipaka ya nchi yetu. Ikiwa tetemeko lilitokea Bukoba na hapakuwa na hata kipimo cha kutambua kabla hatua stahiki zikachukuliwa, na bado serikali ikasema haikuleta tetemeko, niina mashaka na uwepo wa technolojia ya ulizini wa mipaka yetu hasa katika bahari na sehemu zisizokaliwa na watu. Kuliko kutumia nguvu kubwa kudhibiti wapinzani, ninaomba serikali iwekeze kweney technolojia surveillance ndani na nje ya mipaka yetu. Polisi wanaoonyesha uharamia kama kunyang'anya mali za mahabusu kwa nguvu, kutetea uharlfu ndani ya jeshi, kuonea na kusingizia raia, wanatakiwa kuondolewa kwenye kikosi hivi kwa sababu hawa ini hatari kwa jeshi lenyewe. Wanaweza kuuza taarifa hata mipango ya dani ya jeshi kwa maslahi ya 1000,000. Ondoeni maharamia kati ya polisi, sukeni jeshi letu upya, kisha liwezeshwe kwa technolojia inayoona na kutoa taarifa ya matukio hasa katika maeneo yenye wasialam wengi kama huko pwani na mkuranga.

Watanzania ninaomba sana tuendelee kuishauri serikali japo inakataa kushauriwa. Hii la kukataa ushauri wa wanaoongozwa tulichukue kama tatizo linalohitaji tiba kama maradhi lakini hatwezi kujenga taifa pasipo kushauriana na kusikilizana. Ccm ninyi ndio wenye viburi, ninaomba muwe wa kwanza kujirekebisha. Tambueni bila taifa lenye amani ccm haipo.

Viongozi acheni kujenga matabaka miongoni mwa wananchi. Acheni kuwadharau watanzania na kuwabagua, huku mkifanya kebehi za wazi kwa viburi. Migawanyikio mnayoijenga ndiyo inayoondoka mishkikamano na mioyo ya uzalendo . Bila kuwa na umoja na uzalendo, hakuna suluhu rahisi ya matatkzo yanayoinuka.

NINAOMBA NISIITWE MCHOCHEZI MAANA SERIKALI INADHANI IKIWAUNGA WATU VINYWA NDIYO INASHINDA, KUMBE INAJENGA ROHO MBAYA ZA KIKATILI NA MTAWANYIKO UANOANZA KULIGHARIMU TAIFA KWA KASI HII YA AJBU.

Dini ya kiislam hapo imeingiaje? Badala ya kujadili hoja unaleta vilivyomo kichwani mwako!! Labda una nyepesi aliyeua ni muislam
 
Sidhani kuna raia gani mwema akiharasiwa na polisi anakimbilia kupora silaha polisi na kuua. Basi ni bora aue tujue moja. Lakini uporaji wa silaha...! Hapana huyo ni jambazi au GAIDI. Lakini sio raia. (Ukipanda Mbeki shambani kwako au nyumbani kwako elewa jambo moja tu, kama Honda make hutalila wewe basi atakula mwanao au mjukuu Wako. Too maneno ya chuki dhidi ya serikali yanayopandikizwa na upinzani, mazao yake yataliwa na haohao wapinzani nyakati hizo nchi haikaliki wala haitawaliki) PASAKA NJEMA.
Jambazi Mwenye silaha aende kuua tu polisi tu bila visasi? Jambazi si angeenda kuiba bank na kwa matajiri?
 
Nionavyo mimi ni makundi ya maharifu yanakusanya silaha.

Halfu kitu kingine kule yanakotokea haya ni kule kule kwenye pwani isiyokuwa na ulinzii. Ulinzi uimarishwe katika njia chocho za bahari.

Ninaomba JWTZ wafanye operation maalumu katika misitu iliyokatika maeneo hayo. Kunaweza kuwa na kambi maalumu ya uahrifu.

Tatu viongozi wa dini ya kiisilam, wale wanaowaza mema, wakae na wajadili namna ya kukomesha mitazazmo mibovu ya baadhi ya watu walio nao juu ya maisha. Bila shaka wanafahamu haya ni kwa nini yanatokea kwa kuwa eneo yanakotokea haya ni kule kwenye wingi wa wafuasi wao ambao wameshindwa maisha. Wanatakiwa wawape elimu sahihi namna wataboresha maisha yao badala ya kutafuta njia za kiharamia au kutaka kuharibu nchi ili wakose wote. Hii ni roho ya shetani yule mwenye wivu.

Nne jeshi la polisi lirudi katika misingi ya kutenda haki. Waacha uharamia wa kudhulumu na kuonea raia. Polisi waache unyanganyi wa mali na haki za raia ili jamii iwaone kuwa ni sehemu yake na iwape ushirikiano. Polisi wamejitenga na wananchi ki malengo na ndiyo sababu wananchi wako kimya hata wanapoona mipango miovu inatokea. Ninasema hivi kwa sababu, bila shaka hata katika tukio hili kulikuwa na watu karibu. Hao jambazi hakutoka hewani na hakuyeyeyuka baada ya ushetani wake. Watu walimwona akiingia na alikoelelkea wanajua. Jeshi la polisi linahitaji kuhamasisha umoja kati yake na raia ili raia walisaidie kuzuia matukio ya kishetani kama haya.

Tano serikali iache kuwatumia polisi vibaya. Inawajengea chuki dhidi ya wananchi. Wanachi wanaoan polisi ni watesi wao na si wasaidizi n ahivyo kujitenga nao mbali. Viongozi wa ccm na serikali wawekeane mikakati ya kudhibiti matumizi ya jeshi la polisi yasiyo halali. Yanalidhalilisha jeshi letu na kuliweka katika wakati mgumu sana wa kutengwa na umma.

Serikali itambue kwamba hii ni karne nyingine. Budget za serikali ziangalie suala la technolojia ya ulinzi na usalama ndani na nje ya mipaka ya nchi yetu. Ikiwa tetemeko lilitokea Bukoba na hapakuwa na hata kipimo cha kutambua kabla hatua stahiki zikachukuliwa, na bado serikali ikasema haikuleta tetemeko, niina mashaka na uwepo wa technolojia ya ulizini wa mipaka yetu hasa katika bahari na sehemu zisizokaliwa na watu. Kuliko kutumia nguvu kubwa kudhibiti wapinzani, ninaomba serikali iwekeze kweney technolojia surveillance ndani na nje ya mipaka yetu. Polisi wanaoonyesha uharamia kama kunyang'anya mali za mahabusu kwa nguvu, kutetea uharlfu ndani ya jeshi, kuonea na kusingizia raia, wanatakiwa kuondolewa kwenye kikosi hivi kwa sababu hawa ini hatari kwa jeshi lenyewe. Wanaweza kuuza taarifa hata mipango ya dani ya jeshi kwa maslahi ya 1000,000. Ondoeni maharamia kati ya polisi, sukeni jeshi letu upya, kisha liwezeshwe kwa technolojia inayoona na kutoa taarifa ya matukio hasa katika maeneo yenye wasialam wengi kama huko pwani na mkuranga.

Watanzania ninaomba sana tuendelee kuishauri serikali japo inakataa kushauriwa. Hii la kukataa ushauri wa wanaoongozwa tulichukue kama tatizo linalohitaji tiba kama maradhi lakini hatwezi kujenga taifa pasipo kushauriana na kusikilizana. Ccm ninyi ndio wenye viburi, ninaomba muwe wa kwanza kujirekebisha. Tambueni bila taifa lenye amani ccm haipo.

Viongozi acheni kujenga matabaka miongoni mwa wananchi. Acheni kuwadharau watanzania na kuwabagua, huku mkifanya kebehi za wazi kwa viburi. Migawanyikio mnayoijenga ndiyo inayoondoka mishkikamano na mioyo ya uzalendo . Bila kuwa na umoja na uzalendo, hakuna suluhu rahisi ya matatkzo yanayoinuka.

NINAOMBA NISIITWE MCHOCHEZI MAANA SERIKALI INADHANI IKIWAUNGA WATU VINYWA NDIYO INASHINDA, KUMBE INAJENGA ROHO MBAYA ZA KIKATILI NA MTAWANYIKO UANOANZA KULIGHARIMU TAIFA KWA KASI HII YA AJBU.
Umeongea vizuri sana ila kosa lako ni kuihusanisha uislam na uharifu au ugaidi.uislam ni dini inayohubiri amani.ukome kuhihusisha ugaid na uislam.
 
Paskali;

Nimekuwa nafuatilia thread zako. Na nilitaka nijue ni mtu wa aina gani. Wewe ni mwanahabari wa siku nyingi na baadhi ya vipindi ulivyokuwa unaendesha kama "KITI MOTO" ndani ya Channel Ten enzi hizo nilikuwa mfuatiliagi wako sana, na baadae TBC na baadae sijui unafanya nini sasa.

Ila kwa thread yako ya leo na kua attach thread ya nyuma; ambayo kimsingi haina uhusiano kabisa. Inawezekana uelewa wako ni mdogo. Kule kibiti kabla ya Jana; waliuliwa wenyeviti wa vitongoji. Hakuna wanachochukua-kwa hiyo kuhusisha jambo lini na ujambazi ni jambo la kipa unyuma kwa sasa.

Maeneo ya Kibiti na Mkuranga yanaelezwa ni maeneo ya biashara haramu. Kule Nyamizati maeneo ya baharini wanaishi watu ambao wanasemekana sio asili ya Tanzania na wanafanya biashara haramu. Manakuja na majahazi. Kuna uwezekano mifumo yetu iliwalea hawa watu kwa maslahi ya watu wachache; wakiwemo hao wenyeviti.

Ya Mkuranga yanashabihiana sana na ya Tanga; Lengo la hawa ni kuteta Mtafaruku (Terror) kwa malengo mengine. Na wanachofanya ni kunyamazisha mifumo ya utoaji taarifa kutoka ngazi ya chini. Tuangalie kwa mapana mambo yanayotokea Uganda (Senior Police killings), kule Kenya n.k.

Kwa hiyo Paskali; approach hapa siyo ya kutongoza wahalifu-Usipokula ubongo wao watakula wako.

Hii thread imekosa uzalendo na ni ya kichonganishi pia. Nasema hivi kwa sababu hujaja na solution; na pia ukirudia thread ulio attach .

Kama wewe ni Serikali ungefanyaje-ungeenda kuwatongoza wahalifu; najaribu kuwaza tu. Ungewambia jamani hatuta wanyang'anya silaha tena haraka haraka hata kama mkienda kuvunja benki- chukueni tu ila msiuwe mtu jamani!

Nangojea na haki za binadamu waje waseme tunalaani mauwaji ya polisi, kwa sababu walilaani mauwaji ya majambazi-What a shame

Ila kwa serikali kwa wakati huu inatakiwakupandisha security level to yellow kwa maeneo yote ya ukanda wa pwani; ingawa hii sii mara ya kwanza kutokea.

Niwape familia pole na watu wote walioadhirika kwa namna moja au nyingine.
 
Umeongea vizuri sana ila kosa lako ni kuihusanisha uislam na uharifu au ugaidi.uislam ni dini inayohubiri amani.ukome kuhihusisha ugaid na uislam.

Hadi pale Waislam watakapoacha kutetea magaidi, kuyasifu na kuyapa hifadhi. Hadi pale waislam watakapoanza kukemea ugaidi kwenye mihadhara na kila sehemu. Hadi pale waislam watakapoanzisha kampeni ya kuwakana magaidi kutoka katika miongoni mwao. Hadi pale magaidi watakapokoma kuwa sehemu ya waislam. Hadi pale Magnidi watakapokomeshwa kujibainisha kwamba wanafanya ugaidi kwa jina la allah.

Kinyume cha pale sahau!
 
Paskali;

Nimekuwa nafuatilia thread zako. Na nilitaka nijue ni mtu wa aina gani. Wewe ni mwanahabari wa siku nyingi na baadhi ya vipindi ulivyokuwa unaendesha kama "KITI MOTO" ndani ya Channel Ten enzi hizo nilikuwa mfuatiliagi wako sana, na baadae TBC na baadae sijui unafanya nini sasa.

Ila kwa thread yako ya leo na kua attach thread ya nyuma; ambayo kimsingi haina uhusiano kabisa. Inawezekana uelewa wako ni mdogo. Kule kibiti kabla ya Jana; waliuliwa wenyeviti wa vitongoji. Hakuna wanachochukua-kwa hiyo kuhusisha jambo lini na ujambazi ni jambo la kipa unyuma kwa sasa.

Maeneo ya Kibiti na Mkuranga yanaelezwa ni maeneo ya biashara haramu. Kule Nyamizati maeneo ya baharini wanaishi watu ambao wanasemekana sio asili ya Tanzania na wanafanya biashara haramu. Manakuja na majahazi. Kuna uwezekano mifumo yetu iliwalea hawa watu kwa maslahi ya watu wachache; wakiwemo hao wenyeviti.

Ya Mkuranga yanashabihiana sana na ya Tanga; Lengo la hawa ni kuteta Mtafaruku (Terror) kwa malengo mengine. Na wanachofanya ni kunyamazisha mifumo ya utoaji taarifa kutoka ngazi ya chini. Tuangalie kwa mapana mambo yanayotokea Uganda (Senior Police killings), kule Kenya n.k.

Kwa hiyo Paskali; approach hapa siyo ya kutongoza wahalifu-Usipokula ubongo wao watakula wako.

Hii thread imekosa uzalendo na ni ya kichonganishi pia. Nasema hivi kwa sababu hujaja na solution; na pia ukirudia thread ulio attach .

Kama wewe ni Serikali ungefanyaje-ungeenda kuwatongoza wahalifu; najaribu kuwaza tu. Ungewambia jamani hatuta wanyang'anya silaha tena haraka haraka hata kama mkienda kuvunja benki- chukueni tu ila msiuwe mtu jamani!

Nangojea na haki za binadamu waje waseme tunalaani mauwaji ya polisi, kwa sababu walilaani mauwaji ya majambazi-What a shame

Ila kwa serikali kwa wakati huu inatakiwakupandisha security level to yellow kwa maeneo yote ya ukanda wa pwani; ingawa hii sii mara ya kwanza kutokea.

Niwape familia pole na watu wote walioadhirika kwa namna moja au nyingine.
Mkuu Panzi Mchanga, kwanza asante kuchangia uzi huu. Pili asante kunifuatilia tangu enzi za Kiti Moto.

Huu uzi ni uzi wa swali, hivyo solutions inatokana na michango ya wachangiaji.

Hiyo link umeifungua na kuisoma uone nilisema nini lini na leo kimetokea nini? .

Hii thread ni ya kichonganishi kumchonganisha nani na nani? .

Paskali
 
Dini ya kiislam hapo imeingiaje? Badala ya kujadili hoja unaleta vilivyomo kichwani mwako!! Labda una nyepesi aliyeua ni muislam

Unafiki kwangu mwiko. Tunahitaji kuliadress hili suala kwa mapana yake bila kuficha wala kusingizia. Makundi yanayofanya ugaidi kwa sasa hiiv yanajibainisha kufanya hivyo kwa jina la allah. Wasilam wasiomjua huyu allah anayekunywa damu, wako kimya. Silence means consent. Wngine wawaze nini?

Maeneo yanayokithiri kwa vitendo vya ugaidi ni yale ambyo yanakaliwa na waislam wengi. Pwani na hasa huko Mkuranga, asilimia kubwa ya watu kule ni waislam. Hao magaidi hawatoki wala hawaishi baharini ni binadamu wanatokea kwenye nyumba. FAmliia na jamii zinawajua. Kama siyo dini, au kama dini haikubali, wajitenge nao. Wawa expose na kuwakataa. Kinyume cha pale wanawapa support.

Magaidi wameingie kuchinja watu msikitini mwanza. Hawakuwa watu wasio na dini wale. Walikuwa ni waislam wa Tanzania hapa hapa.

Chimbuko kubwa na ugaidi ni uislam na hasa kwa waislam wasiokubaliana na hayo kukosa uajsiri wa kukemea na kuwatenga hao wafanyayo haya. Kwa hili anayetaikiwa kuthibitisha kwamba ugaidi si uilslam ni waislam wenyewe. Si kwa kuwakataiza watu kusema hili bali kwa kukomesha ugaidi katika makusanyiko, fmilia na mafundisho yao!

Hatuhitaji kufanay siasa katika hili zaidi ya kuambizna ukweli. Aksariwetu wasio na hatia wanapukutika. Kwa nin tulembe? Waislam hao hao ndio hawako tayari kukubali kosa lolote likifanywa na mtu anayesema ni muislam. ndiyo sababu leo hii wanamtetea Amini wa Uganda kwmba alikuwa musialm safi na mauaji yote yale. Wanatetea ufiraji na ufirauni wa gadafi kwa kuw tu alikuwa muislam. WAnatetea matendo yanayofnyika uarabuni dhidi ya hadi za binadamu kwa kuw atu waarabu ni waislam. Ajabu hata pale wanapochinja ndugu zao, kw fahamu zao bado ahwakulbai kuwa wanaosea badala ayke wanalaumu America eti inatengeneze silaha!

Ni lazima sasa usialmu ujibainishe kwamba siyo mzigo wala shetani kwa maisha ya viumbe hai vingine. Na mtu sahihi wa kufanya haya ni waislam wenyewe kufanay transformation within their societies, their teachings, attitudes and mindsets towards the value of life, human rights and relationships.

Vingienvyo, haiwezekani.
 
Back
Top Bottom