Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuwez jadili upuuz ka huo kwan walio kufa si sawa na walio kufa mto ruvu? Tujadili mambo makubwa ya nchi kama kuipiga mkwara korea kaskazin, kua taifa kubwa kuzid UsA, kufika mwezin na mambo mengine makubwa tu, hayo madogo tuwaachie wanawake tu.hao wamekufa kama wengine tu ndo walipangiwa kama wale wa mto ruvu kua siku imefika .labda kuwaombea tu waumzike salama. Kwana huja wah fiwa ww? Mwangos kwan yy hakufa na akazikwa na tuka sahau?,nikitu cha kawaida tu. Hata iweje tutakufa tu ikifika siku.Kisifanyike chochote juzi kuna Wabunge wameomba hilo swala lijadiliwe bungeni kuna wanawake jenista mhagama na mwenzie bila hata aibu wanasema ni uchochezi!
Yakasikika makofi ya Wabunge wa ccm waaaa...waaaa....waaaa....
Acha tuendelee hivi hivi
Tatizo linaazia juu. Watunga sheria wakivunja sheria huku chini linakuwa somo.Kuna ile alisema majambazi walazwe chini badala ya kusema wakamatwe na kufikishwa kwenye vyombo husika.
Sasa naona majambazi wameamua ku-retaliate..ndo wanawalaza askari chini sasa. Inabidi kwa kweli kiongozi wa nchi apime kauli zake maana........
juzi wabunge wa CCM wamewekwa kitimoto kukatazwa kuongelea Ugaidi na utekaji matokeo yake ndiyo hayo na huenda Bashite akatumia nafasi hiyo kuwakamata watu wengi kwa maksudi ya kuwakomoa kisha watawabbikia kesi kibao feki, ni mda wa Bashite kuwakomoa Wapinzani sasa.Lessons to be learnt, kwa muda mrefu utulivu wa watanzania umechukuliwa for granted.
Simpaka uwaone kaka, hawa jamaa wanaishi na raia kitaa kama watu wengine tu. Wananetwork hatari sana. Serikali ikae na wenyeji wa maeneo hayo wawaambie shida iko wapi?Awali ya yote natoa pole kwa Familia ambazo zimepoteza Ndugu,jamaa, na hata Marafiki. Tukio hili limenishtua sana kila mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi hii atakuwa ameguswa kwa namna moja au nyingine japo kuna watu vichwa vibovu kiukweli wanasikitisha na kushangaza kabisa namna wanavyocomment,! Hawa Polisi ni Ndugu zetu,Majirani zetu na hata Rafiki zetu. Jeshi la Polisi sasa liache kucheka na majambazi, wafuate maelekezo ya Mkuu nategemea kusikia vifo vingi vya Majambazi kuanzia sasa, Majambazi si Wa kupeleka mahakamani maana kule tunajua, watu hutishiwa kutoa ushahidi kwa kuhofia maisha yao matokeo yake yanarudi mtaani yakidunda.,, hapa kikubwa ni kuyaua tu ikiwezekana hata hadharani .. Hapa hautosikia haki za binadamu wakijitokeza kusemea hili la Jana.
Jambazi hastahili kuishi anastahili kufa......
Wanabodi,
Taifa bado liko kwenye shock ya nini haswa kilichotokea kwa askari wetu?.
Mauaji haya ya Polisi Wetu ni Ujambazi tuu, ni Ugaidi au Retaliation?. Wakati vyombo vya uchunguzi vikiendelea na kazi yake, Sisi Watanzania kama taifa lazima tujiulize, Nini Kifanyike Kukomesha Hali Hii?,
Kwanza nikiri nimesikitishwa na vifo hivi vya vijana wetu askari polisi kushambuliwa na kuuwawa na majambazi wenye silaha.
Swali ni jee huu ni ujambazi tuu wa kawaida, uvamizi kwa lengo la kuiba silaha, ni ugaidi, ambush au nini haswa?.
Hili kuwaweka polisi wetu kwenye risk na kuwa an easy target, kwa majambazi wanaotumia silaha, niliwahi kulizungumza hapa kwa kirefu Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
Kwa tukio kama la jana,jee mnadhani huu sasa ni wakati muafaka wa kuzibadili sheria zetu za jeshi la polisi ili kuwalinda polisi wetu wawe licenced to kill officially na serikali itangaze rasmi kuwa ujambazi wa kutumia silaha adhabu yake ni kifo cha papo kwa papo, no prosecution no kesi, bali ni hukumu ya kifo there and then ili kuwaogofya kabisa majambazi wote wanaotumia silaha wasithubutu?!.
Kama ni ugaidi au retaliation, tufanye nini?.
Natoa pole kwa rais wetu wa JMT, waziri wa Mambo ya Ndani, IGP na familia za askari hao!
RIP Askari Wetu.
Nini Kifanyike? .
Ijumaa Kuu Chungu!.
Paskali
Update 1.
Thanks very objective.
Paskali
Update 2 ya michango very objective
Thanks kwa mchango huu, very objective
Paskali
Update 3.
Huu ni mchango very objective
Thanks for this.
Paskali
Wakazi wa huko wanafai Polisi wamekuwa wakiwatesa sana, wanawadhalilisha kwa kuwabambikia kesi, kuwapekua pekua bila sachi warant, kuna uonevu mwingi sana upo kimya kimya ndiyo maana wamechoka wakaamua kuwaonyesha kuwa na wao wana uwezo mkubwa wa kuwakabili na hiyo ni msg japo kuna tetesi kuwa Bashite kapitishia kafara lake humo humoukiwa maeneo ya jaribu ,kibiti,ikwiriri wao wanadai hawa jamaa wanadai kuna wenzao wamekatwa na wanateseka gerezani,ifike wakati serikali ikae nao mezani .Mbona mkuu aliyepita alimshauri Kagame akae na wale wa rwanda ,ni wakati muafaka wa kumshauri Dereva wa roli akaei pembeni na kuwasikiliza abiria kwani wanataka kuchimba dawa.
Hahhahahaha, haya bwana kamateni basi hao waislamu. Mauwaji yataendelea au yatakoma. Ukiitenga jamii moja na kuikandamiza ukidhani ndio sulihisho unakosea sana.Hadi pale Waislam watakapoacha kutetea magaidi, kuyasifu na kuyapa hifadhi. Hadi pale waislam watakapoanza kukemea ugaidi kwenye mihadhara na kila sehemu. Hadi pale waislam watakapoanzisha kampeni ya kuwakana magaidi kutoka katika miongoni mwao. Hadi pale magaidi watakapokoma kuwa sehemu ya waislam. Hadi pale Magnidi watakapokomeshwa kujibainisha kwamba wanafanya ugaidi kwa jina la allah.
Kinyume cha pale sahau!
Endeleza kampeni za wamarekani, kikiwaka ataumia Mtanzania si mmarekaniKwanza wewe angalia weakness yako kabla hujaona ya mwingine hiyo spelling yako Gaid ipo sahihi ?
Oparation tafuta watu kwa fujo huja na majanga mengine kwani wanajeshi wataenda kuwavuruga watu wasio na hatia maana wauaji pengine Bashite aliwatoa Burundi au Rwanda na Uganda na wameshakimbia huko, endapo wataenda kuwavuruga wananchi wasio na hatua watazidisha chuki zaidi, ni bora uchunguzi wa kisayansi kwa kushirikiana na wakazi wa huko ufanyike taratibu ndipo watabaini Ukweli wote.Hapo mh, atume Jeshi Kwa hili
Nionavyo mimi ni makundi ya maharifu yanakusanya silaha.
Tatu viongozi wa dini ya kiisilam, wale wanaowaza mema, wakae na wajadili namna ya kukomesha mitazazmo mibovu ya baadhi ya watu walio nao juu ya maisha. Bila shaka wanafahamu haya ni kwa nini yanatokea kwa kuwa eneo yanakotokea haya ni kule kwenye wingi wa wafuasi wao ambao wameshindwa maisha. Wanatakiwa wawape elimu sahihi namna wataboresha maisha yao badala ya kutafuta njia za kiharamia au kutaka kuharibu nchi ili wakose wote. Hii ni roho ya shetani yule mwenye wivu.
.
Haitasaidia. Hata atoke marine