PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
#HABARI Jeshi la polisi mkoani Kagera linawahoji watu 3 akiwemo baba mzazi wa mtoto Asimwe Novart (2) kwa tuhuma za kuhusika na kuibwa kwa mtoto huyo Mei 30 nyumbani kwao katika Kitongoji cha Mbale wilayani Muleba.
Mtoto huyo mwenye ulemavu wa ngozi aliibwa baada ya mama yake mzazi kulaghaiwa na watu waliomhadaa kwa kuomba msaada.
Itakumbukwa kuwa wiki chache zilizopita polisi mkoani Songwe lilimkamata mama mzazi wa mtoto aliyetekwa na kisha baba wa mtoto huyo kutakiwa kulipa shilingi milioni 20 kwa ajili ya kumkomboa mtoto wake.
Kwanini haya mauaji yameanza kujitokeza tena kipindi hiki cha uchaguzi? Haya ni mauaji ya pili yanatokea katika mikoa hiyo ya kanda ya ziwa
Mtoto huyo mwenye ulemavu wa ngozi aliibwa baada ya mama yake mzazi kulaghaiwa na watu waliomhadaa kwa kuomba msaada.
Itakumbukwa kuwa wiki chache zilizopita polisi mkoani Songwe lilimkamata mama mzazi wa mtoto aliyetekwa na kisha baba wa mtoto huyo kutakiwa kulipa shilingi milioni 20 kwa ajili ya kumkomboa mtoto wake.
Kwanini haya mauaji yameanza kujitokeza tena kipindi hiki cha uchaguzi? Haya ni mauaji ya pili yanatokea katika mikoa hiyo ya kanda ya ziwa