n
na baba yako pia na mama yakoIla ana pesa kumzidi baba yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na baba yako pia na mama yakoIla ana pesa kumzidi baba yako
le ni takatakaKitenge naye ni wakujadiliwa? Unamuonaga anavyokaa anapokuwa anajidai anasikiliza kwa makini🙂 Pale dishi halipo kabisa, yaani limeibwa.
Ni kweli mimi kwetu ni Kyela lakini siyo Ipinda .Yuko Ipinda anafuga nguruwe
Weeeee !!!Mnatujazia servers Tu Hapa na nyuzi zenu nyingi zisizo na kichwa wala miguu , watu wameandamana jana kupinga hili suala mkawa mnawakejeli humu
Mpuuzi kitenge kwani umepewA bei gani?Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini , kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika , sasa huku alikoenda ambako...
mnaopinga ushoga mmewahi kuwa mashoga?Yuko sahihi kabisa ,hata wewe lini ulifika bandarini
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Tayari MUNGU alishawalipia wajane waliouliwa waume zaoOle wao wanaotunga sheria zisizo za haki, watu wanaopitisha sheria za kukandamiza. Huwanyima maskini haki zao, na kuwaibia maskini wa watu wangu maslahi yao. Wajane wamekuwa nyara kwao; yatima wamekuwa mawindo yao. Je, mtafanya nini siku ya adhabu, siku dhoruba itakapowajieni kutoka mbali? Mtamkimbilia nani kuomba msaada? Mtakwenda wapi kuweka mali yenu? Litakalowabakia ni kujikunyata kati ya wafungwa na kuangamia pamoja na wanaouawa vitani. Hata hivyo, hasira ya Mwenyezi-Mungu haijatulia, bado ameunyosha mkono wake
Mungu amzidishieYupo kwenye payroll za waarabu
Kwani kuelezea kitu lazima ufike huko kilipo, hizo ndio akili za pimbi.Yuko sahihi kabisa ,hata wewe lini ulifika bandarini
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Kwani huyo naye anajua nn,hajui hata maana ya rasilimali za nchi
Ohoooooo !!!Huwezi jua labda anayo raslimali nyingine anayo wauzia waarabu na inatishiwa hiyo biashara.
Anaogopa atadaiwa hongo ya dola 50,000 aliyopewa na waarabu kama mkataba wa kishenzi utagomewa, wakati yeye na makuwadi wenzake waliwaaminisha waarabu kuwa wana uwezo wa kuhakikisha ule mkataba wa kisgenzi unakubalika.Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini , kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika , sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai , kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua sintofahamu .
Wengine wameenda mbali sana kwamba kama ni lazima ufike sehemu unayoipinga kuuzwa , na wale wanaopinga Ushoga waliwahi kufika wapi ?
Nadhani Maulid Kitenge anapaswa kwenda Taratibu na huo Uchawa wake , huko tuendako itakuja kusababisha Sintofahamu