Maulid Kitenge adai kwamba watu wanaopinga kubinafsishwa kwa Bandari hawajawahi hata kufika Bandarini

Maulid Kitenge adai kwamba watu wanaopinga kubinafsishwa kwa Bandari hawajawahi hata kufika Bandarini

Huyu huwa ana visit Dubai San tangu mwak jan na huwa anajpost
 
Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini , kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika , sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai , kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua sintofahamu .

Wengine wameenda mbali sana kwamba kama ni lazima ufike sehemu unayoipinga kuuzwa , na wale wanaopinga Ushoga waliwahi kufika wapi ?

Nadhani Maulid Kitenge anapaswa kwenda Taratibu na huo Uchawa wake , huko tuendako itakuja kusababisha Sintofahamu
Habari mpya:

Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko laikojificha. akasema yeye ameambiwa akianzisha maandamano atafantuwa pango apelekwe Denmarkau Canada akapate ukimbizi. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Habari mpya:

Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko laikojificha. akasema yeye ameambiwa akianzisha maandamano atafantuwa pango apelekwe Denmarkau Canada akapate ukimbizi. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Nje ya mada
 
Huyu atakuja kupigwa pipe na wahuni siku moja we waache, safari hii watu wamechukia sana aisee
 
Muulize huyo maulidi ashawai fika bandarini au feri pale
 
Ni kweli,
Majitu yanaishi wilaya ya mwakasenge huko nyanda za juu kusini na mengine yako Kata ya mabatini huko kwenye meli moja tu ya MV Bukoba(RIP), ndio yanaongoza na hizi perepete za DPW, halafu wanahofu ya kigati cha kubebea abiria huko mji wa mang'ongo kuwa kitavalishwa vilemba vya ukoka
 
Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini , kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika , sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai , kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua sintofahamu .

Wengine wameenda mbali sana kwamba kama ni lazima ufike sehemu unayoipinga kuuzwa , na wale wanaopinga Ushoga waliwahi kufika wapi ?

Nadhani Maulid Kitenge anapaswa kwenda Taratibu na huo Uchawa wake , huko tuendako itakuja kusababisha Sintofahamu
Huyu mwandishi siku hizi amekuwa dalali wa biashara za uporaji ardhi na maliasia zetu kwa waarabu. Hawa ndiyo wapiga nzumari kuhalisha uporaji unaoendelea kwa kulipwa vijisenti huku taifa likiangamia.
 
Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini , kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika , sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai , kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua sintofahamu .

Wengine wameenda mbali sana kwamba kama ni lazima ufike sehemu unayoipinga kuuzwa , na wale wanaopinga Ushoga waliwahi kufika wapi ?

Nadhani Maulid Kitenge anapaswa kwenda Taratibu na huo Uchawa wake , huko tuendako itakuja kusababisha Sintofahamu
ni kweli kabisa kasema
 
Back
Top Bottom