Maulid Kitenge adai kwamba watu wanaopinga kubinafsishwa kwa Bandari hawajawahi hata kufika Bandarini

Maulid Kitenge adai kwamba watu wanaopinga kubinafsishwa kwa Bandari hawajawahi hata kufika Bandarini

Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini , kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika , sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai , kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua sintofahamu .

Wengine wameenda mbali sana kwamba kama ni lazima ufike sehemu unayoipinga kuuzwa , na wale wanaopinga Ushoga waliwahi kufika wapi ?

Nadhani Maulid Kitenge anapaswa kwenda Taratibu na huo Uchawa wake , huko tuendako itakuja kusababisha Sintofahamu
Suala sio kuijua bandari suala la kwanza hiyo kanga anatakiwa kujua ni nkataba ndio tatizo.
Tatizo la pili tumefikaje hapa
tatu tunatokaje hapa
 
Habari mpya:

Tena ajabu sana, chadema wamemtumia kijana anaejulika kwa ushoga anaitwa Soka, ndiyo eti aanzishe maandamano ya kupinga bandari isiendeshwe na Waislam. Cheza na intelijensia ya Tanzania,

mwenyewe hakuwepo akabambwa huko huko laikojificha. akasema yeye ameambiwa akianzisha maandamano atafantuwa pango apelekwe Denmarkau Canada akapate ukimbizi. Akawataja na wengine wote aliowarubuni.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Atafantuwa ndiyo kiswahili gani! Taratibu. Kauli bado Iko pale pale, "labda mambo yaharinike sana" sasa endelea kuangalia wewe mwenyewe mambo yamefika wapi, yakifikua kuharibika sana unapogia mstari.
 
Ni kweli,
Majitu yanaishi wilaya ya mwakasenge huko nyanda za juu kusini na mengine yako Kata ya mabatini huko kwenye meli moja tu ya MV Bukoba(RIP), ndio yanaongoza na hizi perepete za DPW, halafu wanahofu ya kigati cha kubebea abiria huko mji wa mang'ongo kuwa kitavalishwa vilemba vya ukoka
Watu wakikupuuza jwa kumwambia huna akili utasema unatukanwa, kama angalau ulimaliza darasa la saba kwa kusima vizuri unawezaje kuwana fikra kwamba kwa vile mtu anakaa huko ulipopataja basi issue ya bandari haimuhusu.
 
Kumbe jamaa ana IQ ndogo hivi, sasa watZ milioni 60 wote twende bandarini ili tupinge kuuzwa kwa nchi? Waseme tu kwa uwazi, mkataba ni wa miaka mingapi?
 
Bado haijafahamika hasa alikuwa analenga nini , kama kutetea uuzwaji wa Bandari yeye ni mtetezi mkubwa sana na anafahamika , sasa huku alikoenda ambako ni kushambulia Wanaopinga Bandari zetu kuuzwa kwa Wadubai , kwa kudai kwamba wapingaji walipaswa kuwa wale tu waliowahi kufika bandarini kutazua sintofahamu .

Wengine wameenda mbali sana kwamba kama ni lazima ufike sehemu unayoipinga kuuzwa , na wale wanaopinga Ushoga waliwahi kufika wapi ?

Nadhani Maulid Kitenge anapaswa kwenda Taratibu na huo Uchawa wake , huko tuendako itakuja kusababisha Sintofahamu
hoji kwanza elimu yake,maisha yake na ufinyu wa akili yake.kwa yeye kupinga jambo mpaka ufike sehemu husika na huu ndo ufinyu wa akili yake.anachokijua yeye ni mpira tu na uchawa basi mengine awaachie wenye akili timamu ambao ni wajuzi wa haya mambo.
 
Kitenge ungekaa tu kimya usitirike, tunakujua vyema. Kaa kimya kwani huna tija kwa Nchi.
 
Huna hoja, unaanza kuhororoja, kupayuka na kubweka bila mpango.

Piga uwa, bandari ni ya DP World kuiendesha. Wizi ukome.

Wewe ushawahi kuiona bandari toka kuzaliwa? Kwenu kuna bandari gani?
Kwanini unabwabwaja hovyo kama umekunywa supu ya utombo yenye inzi wengi?
Sasa hapo umeandika nini? wewe unajua bandari ipi? jifunze kukaa kimya kuficha upumbavu!
 
Kwanini unabwabwaja hovyo kama umekunywa supu ya utombo yenye inzi wengi?
Sasa hapo umeandika nini? wewe unajua bandari ipi? jifunze kukaa kimya kuficha upumbavu!
Kama ulikuwa huelewi nimezaliwa na kulkulia bandarini.

Wewe labda unaijuwa bandari ya dimbwi la kunyweshea kondoo wenzako.

Punguani wahed.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Nisipotoshe nini wewe? Unachokisoma hukielewi au unajitia uhayawani?

Kuna ambao washasema hapahapa JF hawataki Waarabu. Wengine wanasema Wazanzibari wameuza bandari.


Mpaka mbwa wa fadhila mmoja akiyekuwa ananyea debe, alipokuwa kwenye tamasha la kishetani (la ngono) huko Sweden akabwatuka chuki zake za kibaguzi. Wahenga wanasema mwana wa haramu hajifichi, hata ukimtia kwenye chupa atanyoosha kidole.

Kama hayo yote huyatoshi kuna makundi mawili yametayarishwa, moja la mashoga na wasagajji , limekamatwa juzi likiongozwa na shoga moja lililokubuhu linaloitwa Deus Soka.

Na kundi lingine la mitabmndoa, liliwahi kushikwa kabla ya chaguzi za nyuma naloblumeibuliwa linaingia jwenye mutandao libapayuka hovyo. Sasa nambie maana hayo yote ni nini?

Kama guelewi yote hayo utakuwa ni miongoni mwao.
. Washenzi wanatumika kuleta nachafuko kwa ushetani wa tamaa za mali za walizolelewa nazo

Usitusemeshe mengi tafadhali.


Mkataba na Dubai una tatizo lipi?
Wewe kahaba mzee umekosa hoja unaporomosha matusi. Udini tu unakusumbua. Umekazana kuwaita watu wanaopinga ni mashoga kwa vile wewe unatembea na vijana wadogo na unawapa tigo na wakilewa wanasema jinsi wanavyokuingilia kinyume cha maumbile ndiyo maana neno ushoga halikutoki akilini mwako. Kahaba mzee na choko lililo kubuhu.
 
Huna hoja, unaanza kuhororoja, kupayuka na kubweka bila mpango.

Piga uwa, bandari ni ya DP World kuiendesha. Wizi ukome.

Wewe ushawahi kuiona bandari toka kuzaliwa? Kwenu kuna bandari gani?
Hivi wewe unatetea nini ?
 
Wewe kahaba mzee umekosa hoja unaporomosha matusi. Udini tu unakusumbua. Umekazana kuwaita watu wanaopinga ni mashoga kwa vile wewe unatembea na vijana wadogo na unawapa tigo na wakilewa wanasema jinsi wanavyokuingilia kinyume cha maumbile ndiyo maana neno ushoga halikutoki akilini mwako. Kahaba mzee na choko lililo kubuhu.
Duu hao vibenten nao hawana siri kuja kumtangaza bibi wa watu na hela yake wanakula.
 
Back
Top Bottom