Maulid Kitenge adai kwamba watu wanaopinga kubinafsishwa kwa Bandari hawajawahi hata kufika Bandarini

The grass always seems greener on the other side of the fence. Many politicians promise green, green grass by blending niceties with delusion and by using alluring confidence tricks. They voice attractive tales and tell things, people like to hear. But the post-factual grassland often appears to be parched and barren.
 
Tayari MUNGU alishawalipia wajane waliouliwa waume zao
 
Mwacheni Kitenge atetee mate wake,kila mtu ana chawa wake huyo naye ni chawa
 
Anaogopa atadaiwa hongo ya dola 50,000 aliyopewa na waarabu kama mkataba wa kishenzi utagomewa, wakati yeye na makuwadi wenzake waliwaaminisha waarabu kuwa wana uwezo wa kuhakikisha ule mkataba wa kisgenzi unakubalika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…