Maulid Kitenge adai kwamba watu wanaopinga kubinafsishwa kwa Bandari hawajawahi hata kufika Bandarini

Suala sio kuijua bandari suala la kwanza hiyo kanga anatakiwa kujua ni nkataba ndio tatizo.
Tatizo la pili tumefikaje hapa
tatu tunatokaje hapa
 
Atafantuwa ndiyo kiswahili gani! Taratibu. Kauli bado Iko pale pale, "labda mambo yaharinike sana" sasa endelea kuangalia wewe mwenyewe mambo yamefika wapi, yakifikua kuharibika sana unapogia mstari.
 
Watu wakikupuuza jwa kumwambia huna akili utasema unatukanwa, kama angalau ulimaliza darasa la saba kwa kusima vizuri unawezaje kuwana fikra kwamba kwa vile mtu anakaa huko ulipopataja basi issue ya bandari haimuhusu.
 
Kumbe jamaa ana IQ ndogo hivi, sasa watZ milioni 60 wote twende bandarini ili tupinge kuuzwa kwa nchi? Waseme tu kwa uwazi, mkataba ni wa miaka mingapi?
 
hoji kwanza elimu yake,maisha yake na ufinyu wa akili yake.kwa yeye kupinga jambo mpaka ufike sehemu husika na huu ndo ufinyu wa akili yake.anachokijua yeye ni mpira tu na uchawa basi mengine awaachie wenye akili timamu ambao ni wajuzi wa haya mambo.
 
Kitenge ungekaa tu kimya usitirike, tunakujua vyema. Kaa kimya kwani huna tija kwa Nchi.
 
Huna hoja, unaanza kuhororoja, kupayuka na kubweka bila mpango.

Piga uwa, bandari ni ya DP World kuiendesha. Wizi ukome.

Wewe ushawahi kuiona bandari toka kuzaliwa? Kwenu kuna bandari gani?
Kwanini unabwabwaja hovyo kama umekunywa supu ya utombo yenye inzi wengi?
Sasa hapo umeandika nini? wewe unajua bandari ipi? jifunze kukaa kimya kuficha upumbavu!
 
Kwanini unabwabwaja hovyo kama umekunywa supu ya utombo yenye inzi wengi?
Sasa hapo umeandika nini? wewe unajua bandari ipi? jifunze kukaa kimya kuficha upumbavu!
Kama ulikuwa huelewi nimezaliwa na kulkulia bandarini.

Wewe labda unaijuwa bandari ya dimbwi la kunyweshea kondoo wenzako.

Punguani wahed.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Wewe kahaba mzee umekosa hoja unaporomosha matusi. Udini tu unakusumbua. Umekazana kuwaita watu wanaopinga ni mashoga kwa vile wewe unatembea na vijana wadogo na unawapa tigo na wakilewa wanasema jinsi wanavyokuingilia kinyume cha maumbile ndiyo maana neno ushoga halikutoki akilini mwako. Kahaba mzee na choko lililo kubuhu.
 
Huna hoja, unaanza kuhororoja, kupayuka na kubweka bila mpango.

Piga uwa, bandari ni ya DP World kuiendesha. Wizi ukome.

Wewe ushawahi kuiona bandari toka kuzaliwa? Kwenu kuna bandari gani?
Hivi wewe unatetea nini ?
 
Duu hao vibenten nao hawana siri kuja kumtangaza bibi wa watu na hela yake wanakula.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…