Maulid Kitenge, huoni aibu kuwasaliti Watanzania wenzako? Hatimaye ukweli umefichuka

Na yeye Maulid si anajifanyaga mwarab koko....hivi hawa watu hawajuwi historia ya waarab na watu weusi kweli au ni kule kujidharau tu.
 
Waanzishe na kampeni ya kuwaondoa wakazi wa Dar es Saalaam kwa kuwa wamekuwa wengi kiasi cha kutishia ekolojia ya bahari ya Hindi, mikoko na matumbawe.
 

Naona wamehamia kwa Eric Shigongo, hivi hamuoni aibu?!
 
 
bora uwape wawekezaji hayo maeneo kuliko wamasai wanayoyaharibu. mwekezaji atayattunza, ila masai asiyejenga hata choo wala hana pa kuzika, unamwachaje? fukuzia mbali kabisa. kuna faida zaidi kwa nchi mwekezaji akipewa badala ya hao masai wasiojielewa.
 
 
Wawekezaji au wauwaji wa simba na tembo?
 
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…