Maulid Kitenge, huoni aibu kuwasaliti Watanzania wenzako? Hatimaye ukweli umefichuka

Maulid Kitenge, huoni aibu kuwasaliti Watanzania wenzako? Hatimaye ukweli umefichuka


FCEF8BBF-4B90-4C58-96C5-611DCA25EB0C.jpeg
 
 
 
 
Inasikitisha sana, waMasai nao ni watu. Hivi leo mtu aje hapa Dar es salaam asema watu wote tuhame tuhamie Dodoma, hapana tuna haribu mazingira.., mtajisikiaje?
kuna umuhimu mkubwa sana kuwasapoti wamasai, nahisi kuna maumivu makali sana wanayapitia. ajabu yake, bado wanapigia kura ccm pamoja na machungu yote haya.
 
 
Doesn't the end Justify the Means

Hata kama kitenge ni Msaliti Je kinachosemwa hakina ukweli ?

Mimi kama Mtanzania na Mwanamazingira nasema wamasai wasibaki huko na hao wanaotaka kujifurahisha wasipewe eneo, eneo libaki kwa manufaa ya Watanzania wote na walimwengu wote sio individuals (be it Wamasai au so called Royal Family)
Wewe ukiwa miongoni mwa walimwengu(kutoka afrika) unaweza faidika na rasilimali zilizoko arabuni hata kama unaitwa Abdulratif?
 
Pumbavu kabisa kwa hiyo wanaona raha wanyama wetu wakitoroshwa na kuwa caged huko dubai na ulaya?Haya majitu yanatia hasira sana!
 
Back
Top Bottom