Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Expansion of human settlements and activities will ultimately affect the wildlife ecology.......so it is a matter of fact that the wildlife ecology in ngorongoro, where there is co-existence of wildlife and human life will be compromised in the long run, and this might have alerted the conservationist and consequent government action to try to salvage the treasured area............
Asante Mwalimu ...humu humu shule inapigwa
 
Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.

FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).

Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..

Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)

Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.

Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.

Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua

Katika hili Nampongeza sana Maulid Kitenge ,Oscar Oscar na EFM kutujuza yanayo endelea ngorongoro creater hakika inasikitisha sana tena sana! Ni lazima hatua kali na za haraka zichukuliwe kuinusuru ngorongoro! Kamawe wao kuzaliwa na kukulia ngorongoro hakuwapi uhalali wa kufanya ubharibifu kwenye hii hifadhi!

Itakuwa jambo la aibu sana kama serikali itanyamazia na kuacha yanayo endelea kwenye bonde la ngorongoro...nina hakika kabisa kama wataachwa haitachukua miaka miwili hifadhi hii itapotea kabisa!
 
Asante Mwalimu ...humu humu shule inapigwa
Mkuu hapo ni kimalikia tu kimetumika ili kuliweka hili swala katika mtazamo wa kitaalamu, kwa wale watu wanaohusika na maswala ya uhifadhi ili waweze kutoa ufafanuzi kama haiwezekani kuthibiti kukua kwa makazi na shughuli za binadamu katika hifadhi ya ngorongoro badala ya kujikita kwenye kuwahamisha masai pekee.............ladha ya eneo la hifadhi ya ngorongoro kama kivutio cha utalii ni uwepo wa wamasai na ng'ombe wao humo.
 
Mkuu hapo ni kimalikia tu kimetumika ili kuliweka hili swala katika mtazamo wa kitaalamu, kwa wale watu wanaohusika na maswala ya uhifadhi ili waweze kutoa ufafanuzi kama haiwezekani kuthibiti kukua kwa makazi na shughuli za binadamu katika hifadhi ya ngorongoro badala ya kujikita kwenye kuwahamisha masai pekee.............ladha ya eneo la hifadhi ya ngorongoro kama kivutio cha utalii ni uwepo wa wamasai na ng'ombe wao humo.
Great!!! Mwalimu

Aproach kama hizi ndo zitumike mizania na Uyunesco

Asante sana Mwalimu wa Ikolojia na jamii
 
Great!!! Mwalimu

Aproach kama hizi ndo zitumike mizania na Uyunesco

Asante sana Mwalimu wa Ikolojia na jamii
And bad still, kuwahamisha wamasai kwenye makazi yao ya asili unaweza kujikuta unaua the maasai cultural heritage ambacho nacho ni kivutio cha utalii.........kwa hiyo utaona pale ngorongoro kuna vivutio viwili vya utalii kwa mpigo.
 
And bad still, kuwahamisha wamasai kwenye makazi yao ya asili unaweza kujikuta unaua the maasai cultural heritage ambacho nacho ni kivutio cha utalii.........kwa hiyo utaona pale ngorongoro kuna vivutio viwili vya utalii kwa mpigo.
Cc Wadau wa Uhifadhi Ngorongoro na TZ kwa ujumla
 
Ngoja ukweli niuseme hapa.

1. Kuna tofauti kati ya hifadhi ya Ngorongoro na eneo la Ngorongoro crater, Ngorongoro crater ni kaeneo kadogo sana ndani ya hifadhi ya Ngorongoro. Mgogoro uliopo sasa ni kuhusu hifadhi ya Ngorongoro kiujumla wake.

2. Karibu jamii (koo) zote za kimasai zilizopo hapa dunia, eneo la asili la tamaduni, mila na matambiko ya kimasai zinajikita pale Ngorongoro. Ni sawa na wayahudi na eneo la nchi ya Israel kule mashariki ya kati. Sio jambo rahisi sana kuelewa hiyo dhana kama hutoki kwenye hizo jamii.

3. Kuendelea kuwepo kwa wamasai ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kutaiua ile hifadhi (maana idadi na shughuli zao zinazidi kuongezeka) na kuwaondoa wamasai kwenye hifadhi ya Ngorongoro kutaiua pia hiyo hifadhi (maana kutaondoa ikolojia na watunzaji wa asili, na hapo hapo kutatoa nafasi kwa shughuli zingine halali na zisizo halali kufanyika pale). Kwa kifupi sana, kwa hali ilivyo sasa hakuna namna kutaifanya hifadhi iendelee kuwepo vile vile baada ya miaka 30 ijayo. Kwanini? Kinachogombaniwa sasa sio kuilinda hifadhi ya Ngorongoro iendelee kubakia kama ilivyo bali kuitumia tu. Sio serikali wala wamasai, wote maslahi yao ni kuitumia Ngorongoro ili kuvuna.

SULUHISHO NI NINI?
Ikiwa tunataka hifadhi ya Ngorongoro iendelee kuwepo hata kwa vizazi vijavyo, basi Suluhisho kamili ni kuhakikisha shughuli zozote za kila siku za kibinadamu zinaondolewa kabisa pale Ngorongoro. Utalii upigwe marufuku (zibakie shughuli za kitafiti tu) na wamasai waondolewe kabisa mule hifadhini unless 'wamasai mahususi' wanaotakiwa kuishi kujima (kama wanyama) ili kulinda ikologia ya hifadhi.
 
Ngoja ukweli niuseme hapa.

1. Kuna tofauti kati ya hifadhi ya Ngorongoro na eneo la Ngorongoro crater, Ngorongoro crater ni kaeneo kadogo sana ndani ya hifadhi ya Ngorongoro. Mgogoro uliopo sasa ni kuhusu hifadhi ya Ngorongoro kiujumla wake.

2. Karibu jamii (koo) zote za kimasai zilizopo hapa dunia, eneo la asili la tamaduni, mila na matambiko ya kimasai zinajikita pale Ngorongoro. Ni sawa na wayahudi na eneo la nchi ya Israel kule mashariki ya kati. Sio jambo rahisi sana kuelewa hiyo dhana kama hutoki kwenye hizo jamii.

3. Kuendelea kuwepo kwa wamasai ndani ya hifadhi ya Ngorongoro kutaiua ile hifadhi (maana idadi na shughuli zao zinazidi kuongezeka) na kuwaondoa wamasai kwenye hifadhi ya Ngorongoro kutaiua pia hiyo hifadhi (maana kutaondoa ikolojia na watunzaji wa asili, na hapo hapo kutatoa nafasi kwa shughuli zingine halali na zisizo halali kufanyika pale). Kwa kifupi sana, kwa hali ilivyo sasa hakuna namna kutaifanya hifadhi iendelee kuwepo vile vile baada ya miaka 30 ijayo. Kwanini? Kinachogombaniwa sasa sio kuilinda hifadhi ya Ngorongoro iendelee kubakia kama ilivyo bali kuitumia tu. Sio serikali wala wamasai, wote maslahi yao ni kuitumia Ngorongoro ili kuvuna.

SULUHISHO NI NINI?
Ikiwa tunataka hifadhi ya Ngorongoro iendelee kuwepo hata kwa vizazi vijavyo, basi Suluhisho kamili ni kuhakikisha shughuli zozote za kila siku za kibinadamu zinaondolewa kabisa pale Ngorongoro. Utalii upigwe marufuku (zibakie shughuli za kitafiti tu) na wamasai waondolewe kabisa mule hifadhini unless 'wamasai mahususi' wanaotakiwa kuishi kujima (kama wanyama) ili kulinda ikologia ya hifadhi.
Mkuu pamoja na ENGO ya Siasa kuimuda na Kiuhifadhi umo salute mingi sana...
 
Somebode say...AirPods journalist is looking towards being District Commissioner or equivalent in this regime.

FYI my Brother Mshambuliaji, hawa ndugu zetu pale wapo kihalali na walihamishwa toka miaka 1950's kutoka Serengeti na nakukumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa na serikali imekuwa ikiheshimu Amri hiyo tangu sept 2018 (under Magu regime).

Kabla hujasema ya wanangorongoro chukua time ujifunze kwanza. Kwanza hushangai wanyamapori wanaweza vipi kuishi na binadamu bila kudhuriana? Hivi kweli hujui kwamba hiyo coexistance iliyopo kati ya wanyamapori na na ng'ombe ipo miaka mingi na ndio kitu mojawapo inayovutia watalii, (pengine huna exposure )na ni aibu kwa kijana wa jamii ya pale kula swala au pundamilia wakati mbuzi wapo..

Anyway ni hivi kama unalipwa pesa kufanya propaganda acha mara moja, japo tunasikia kuna kitengo cha Intel NCCA wanahusika kufanya installment ya malipo..(tutacomfirm baadaye)

Tafuta takwimu ujue kama kweli hii hifadhi ipo hatarini , nanakuhakikishia HAKUNA, na kama ipo inakinzana na hali iliopo.

Nakukumbusha acha mara moja hizi propaganda, Zitakuaharibia.

Pia soma > Hali ya Ngorongoro na wana-habari wanaoshinikiza wamasaai waondolewe hawajui chochote wanatumika vibaya bila kujua
Mkuu lazima muambiwe ukweli.
HAMENI NGORONGORO.
 
Wakati Magufuli anakata mamilioni ya miti na kuharibu species za wanyama na mimea alipokuwa anaestablish Nyerere dam hamkupinga mkaufyata..

Leo mnadhani kuwaondoa jamii ya kimaasai pale ndio mnahifadhi uasili bila kujua mnatengeneza tatizo..FYI ule ni mpango wa Top Anonymous to invest there..we kapuku kaa ukifikiri unatetea Taifa kumbe unatetea ulaji wa watu kwa namna nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za Magufuli wachana nazo maana tayari kashamaliza mwendo wake.

Ila ukae ukijua kuwa Ngorongoro lazima ibakie salama kwenye uhalisia wake.

Tunawajua watu kama nyinyi ndiyo mnatumiwa na maadui wa taifa kutaka kutukwamisha .
 
We ni mjinga fulani ambaye hata ni kikuuliza hili jina la Ngorongoro maana yake nini utabaki unavuja jasho tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Haijalishi mimi kutojua maana ya jina la Ngorongoro lina maana gani ila nikupe hakikisho kuwa nyinyi na kundi lenu kamwe hamtaweza kukwamisha miradi ya serikali hii ya awamu ya 6.
 
Usiandike kishabiki hali ya Ngorongoro inasikitisha,inakatisha tamaa & ina huzunisha.
Ni kweli Waasai wapo ngorongoro miaka mingi wakishi na wanyama pori na mifugo yao.Wakati huo Mamlaka inaanzishwa idadi ya watu ilikuwa 8,271 na idadi ya mifugo ilikuwa 30,000.Nyumba za wamaasai zilikuwa aina ya combi

View attachment 2109828

Leo idadi ya Maasai ni 120,000 huku idadi ya mifugo yao ikifikia zaidi ya 1,000,000 na makaazi yao yakiondoka katika uasilia na kwenda kwenye usasa.Leo hii mabati msouth yamejaa Ngorongoro.Mmaasai anajenga nyumba za kisasa hadi maghorofa yamejengwa ndani ya hifadhi mgeni akitembelea Ngorongoro anakutana na Kondoo,Mbuzi na Ng'ombe kwa wingi kuliko Simba au Nyati.

Lazima Tanzania ichukue hatua kali na madhubuti kuokoa Ngorongoro.Kumezuka NGOs nyingi tena nyingine zikiasisiwa Kenya zipo pale kwaali ya kutetea ujinga na kuona Ngorongoro inakufa.Hii vita asili yake kubwa ni Kenya ambayo inaumizwa sana na uwepo wa Ngorongoro,Serengeti na Kilimanjaro.Kenya kupitia idara yake ya ujasusi inafahamu wazi ushindani wa utalii ni vivutio na wakiangalia hizo Mbuga tatu wanaona bora waiumize walau moja ambayo ni Ngorongoro.

Hizi NGOs nyingi zinawadanganya wamaasai Ngorongoro ni mali yao,serekali haina chao sasa huu ujinga ungemalizwa na vingozi wenye maamuzi mazito ikiwemo kuirejesha Ngorongoro TANAPA na kuifanya HIFADHI kama zilivyo Manyara,Serengeti,Kilimajaro au Mikumi.Wamaasai wahamishwe wote Tanzania bado ina mapori mengi.
NGORONGORO IKABIDHIWE TANAPA!
 
Point yangu ni kwamba tupambane na Serikali ambao ndiyo wenye nguvu ya kupeleka miswada Bungeni na kutunga sheria ambazo zina athari kwetu.

Sasa hivi Serikali imeshasema kuwa wamasai hawana kibali cha kuishi Ngorongoro lakini hautaona nyuzi JF za kupinga jambo hilo badala yake utaona nyuzi za watu back kama akina Kitenge ambao hawana nguvu ya kupeleka mswada Bungeni wa kuwafukuza Wamasai Ngorongoro.Watanzania hatujawahi kumjua adui yetu.
Sijaelewa why mleta mada kamuattack maulid kitenge personally...haimake any sense..kwani yeye ndo ana maamuzi?? Ata simpo logic tu kama hali ilivyokuwa miaka 1950 sio sawa na sasa,wamasai wameongezeka pamoja na mifugo yako itabid waondoke tu kupisha hao wanyama..maana wasipofanya hivyo wanyama watakimbia hifadhi..Angalau hoja ingekuwa serikali iwalipe fidia kwa maendelezo ya kudumu waliyojenga huko kwenye hifadhi..wasiondoke bila kulipwa fidia na usumbufu.
 
Back
Top Bottom