Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Maulid Kitenge, propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana-Ngorongoro hazitakuacha salama

Lazma mjue ...kua wamasai au kuwaondoa watu humo Ngorongoro basi hadhi iliyonayo itaondolewa kabisa ...someni kupitia UNESCO kuhusu Ngorongoro
 
Ngorongoro has ever since being a place of maasai and wild animal period

Sent using Jamii Forums mobile app
Lazma mjue ...kua wamasai au kuwaondoa watu humo Ngorongoro basi hadhi iliyonayo itaondolewa kabisa ...someni kupitia UNESCO kuhusu Ngorongoro
Niko UNESCO jikoni shughuli za binadamu kuzidi uwiano kati ya binadamu na wanyama zimesababisha mchakato wa UNESCO kuondoa hadhi ya Ngorongoro kwenye list yao....
 
Hoja ni kwamba, hao watu ipo siku watazidi na hiyo itasababisha wanyama kukimbia kutokana na makazi ya binadamu kukua zaidi.

Kwa mtindo wa sasa, ngorongoro miaka 50 ijayo haitakuwepo.
Bora uwepo wa mwanadamu na uhai wake kuliko mnyama,
Ni upumbavu kuthamini uhai wa mnyama kwa ajili tu ya utalii na kudharau uhai wa mwanadamu.
 
Watu wanahamishwa barabara ikijengwa, watu wanahamishwa pakigundulika ardhi Ina madini yaani nyie ni kina nani msihamishwe ???

The fact kwamba mlikuwepo hapo from 1950's haiwapi legality ya kuendelea kukaa Kama itaonekana mnaweka threat kwa wanyama pori.

As long as eneo hilo lilishatangazwa kuwa protected na sheria sioni sababu ya hao wamasai kung'ang'ania after all hakina walichojenga au wanacholima zaidi ya kufuga ng'ombe wanaonyang'anyana malisho maana wanacholazimisha ni kupata Yale mapori ambapo kwingine wanajua hawataweza kufuga kwa style Ile .

Tuwe na uchungu na taifa letu, ng'ombe wanaongezeka na familia zao zinaongezeka siku Hadi siku, better late than never.

Hii nchi tunaongozwa kwa sheria, mbona wengine wanahamishwa kupisha maslahi mapana ya Taifa?? Kwa nini wao wajione ndio wenye nchi pekee?
Kwa hiyo kwako wewe wanyama pori ni muhimu kulipo binadamu
 
Bora uwepo wa mwanadamu na uhai wake kuliko mnyama,
Ni upumbavu kuthamini uhai wa mnyama kwa ajili tu ya utalii na kudharau uhai wa mwanadamu.
Wewe kenge Dunia haiwezi kua salama na wala maisha hapa Duniani hayawezi kuwepo bila hao wanyama.

Maisha ya hapa Duniani yanategemea a complete ecosystem inayohusu viumbe vyote vya wanyama.

Kwa akili zako fupi unadhani wanyama hawana umuhimu. Umuhimu wao hauko kwenye kuwaangalia tu, tunategemeana for survival.

Mataahira kama nyie msioelewa kitu kaeni kimia
 
Wewe kenge Dunia haiwezi kua salama na wala maisha hapa Duniani hayawezi kuwepo bila hao wanyama.

Maisha ya hapa Duniani yanategemea a complete ecosystem inayohusu viumbe vyote vya wanyama.

Kwa akili zako fupi unadhani wanyama hawana umuhimu. Umuhimu wao hauko kwenye kuwaangalia tu, tunategemeana for survival.

Mataahira kama nyie msioelewa kitu kaeni kimia
 
Ni kweli waarabu washafanya yao kwa Kitenge?
Zaidin ya comment 300, 95 zinamtuhum Kitenge
kupokea ngawira/ njuruku kutoka waarabu na siri kali.

kitenge.png


kitenge1.png


kitenge3.png


kitenge5.png
 
Lazma mjue ...kua wamasai au kuwaondoa watu humo Ngorongoro basi hadhi iliyonayo itaondolewa kabisa ...someni kupitia UNESCO kuhusu Ngorongoro
Nimesoma. Imesema capacity ya Ngorongoro ni wamasai 20000 na mifugo 275000. Ikizidi hapo itakuwa overgrazing na itaathiri hadhi ya hifadhi. Pasiwe na kilimo cha kudumu. Wewe umesoma nini? Au wamasai hawajazidi 20000?

Amandla...
 
Ngorongoro Conservation Area siyo ya Wamasai pekee, ni ya Watanzania wote, na inahitaji Mjadala wa kina.
Itakuwa aibu na fedheha kubwa kwa Taifa letu kama hii World Heritage itapotea kutokana na kuogopa kelele za Wanaharakati ambao wameigeuza Ngorongoro kuwa mali ya Wamasai.
Hii ni hatari.
Serengeti nayo iwe ya Wakurya?
Ruaha iwe ya Wahehe?
Mikumi iwe ya Wakaguru?
Mazingira ya Ngorongoro ya Binadamu kuishi na Wanyamapori yanakubalika, lakini ni lazima kuwe na Ulinganifu wa Kiekolojia, 'Ecological balance'.
Majumba yanajengwa ndani ya Ngorongoro. Hii siyo sawa.
Ngorongoro ikipotea, sisi sote tutaingia katika fedheha isiyo na kipimo.
Kumtukana Maulidi Kitenge kwa kuandika kilichopo, hakuisaidii Tanzania wala Wamasai wanaoishi Ngorongoro.
Malisho yakiharibiwa, Wanaharakati hawataonekana kuwafadhili Wamasai.
Watakimbilia kusikojulikana.
Tuiokoe Ngorongoro.
 
Back
Top Bottom