Maulid Kitenge wa E-FM amvaa Mwigulu kuhusu Deni la Taifa. Maswali ni mengi kuliko majibu, kulikoni?

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu

"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
Your browser is not able to display this video.
 
Kitenge naye achukuliwe hatua
 
Huyu unataka kumletea matatizo kama ulivyofanya kwa Hando? Acha upumbavu
 
MMEAMBIWA MTAKE MSITAKE LAZIMA TUKOPE KWANI TUNAKOPESHEKA
NA MWIGULU kesha toa KAULI TATA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…