Kitenge naye achukuliwe hatuaMTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu
"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Minister for people not for own power not for himself!Waziri wa Fedha aulizwe hivi hivi yaan!!
Be serious my colleagues and do not undermine the power of Minister
Huyu unataka kumletea matatizo kama ulivyofanya kwa Hando? Acha upumbavuMTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu
"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Kikawaida ni lazima tuanze na chambo anaetumwa, itifaki ni lazima izingatiwe.Inamaana anaekopa hawamuoni au
Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 1, lakini baada ya Hando kuchukuliwa hatua sidhani kama watakuwa wanaongea tena hivyoHiki ni kipindi kilichoruka hewani siku gani?
Ujumbe umefikaKikawaida ni lazima tuanze na chambo anaetumwa, itifaki ni lazima izingatiwe.
MMEAMBIWA MTAKE MSITAKE LAZIMA TUKOPE KWANI TUNAKOPESHEKAMTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu
"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
KITENGE ni Chawa wa January Makamba. Mwigulu hatakiwi na timu msoga by any means by 2030 kwa sababu anaweza punguza kura za January Makamba.we kitenge suburi wakugeuze kanga
Wanabalance storyKitenge naye achukuliwe hatua
Absolutely🙏🙏It feels a little coordinated. Inawezekana mama anaandaa mazingira ya kumla kichwa Madelu na wengine wengi ndani ya baraza.