Maulid Kitenge wa E-FM amvaa Mwigulu kuhusu Deni la Taifa. Maswali ni mengi kuliko majibu, kulikoni?

Maulid Kitenge wa E-FM amvaa Mwigulu kuhusu Deni la Taifa. Maswali ni mengi kuliko majibu, kulikoni?

Wewe Kitenge suburi wakugeuze kanga
Sijui lini wa Tz tutakuwa na akili za kujitegemea!
badala ya kuona unyeti wa hili na kuungana nae wewe unaandika uharo!
ndio maana watawala wanatuona mazezeta ni kutokana na watu kama wewe!
 
MAMA NCHI IMEMSHINDA MAPEMA MNO....
Mama hahusiki na makosa ya Mawaziri wake, mwenye jukumu la kutoa mchanganuo wa deni na miradi inayotekelezwa ni Waziri wa Fedha ambaye yeye ndiye anayesaini mikopo hiyo na wala sio Rais
 
Waziri wa Fedha aulizwe hivi hivi yaan!!
Be serious my colleagues and do not undermine the power of Minister
Peleka ujinga wako huko, anaulizwa Rais sembuse Waziri!

Lini utajikomboa kutoka fikra dhaifu na za kinyonge? Hujui kuwa wewe ni mwananchi na serikali hii ni yako?
 
MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu

"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Majizo anamla kichwa kama alivyomnywa supu Gelard Hando.

Mwaka kongwa huu...

Mwanzo wa ngoma ni lele
 
MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu

"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Acheni watu waseme ukweli
 
MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu

"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Huyu mbona hakusimamishwa? au ndio yale mambo ya Uislamu na Ukristo?
 
Back
Top Bottom