Maulid Kitenge wa E-FM amvaa Mwigulu kuhusu Deni la Taifa. Maswali ni mengi kuliko majibu, kulikoni?

Maulid Kitenge wa E-FM amvaa Mwigulu kuhusu Deni la Taifa. Maswali ni mengi kuliko majibu, kulikoni?

MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu

"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Duh hili jambo ni zito sana tofauti na tunavyolichukulia watanzania... Kitenge naye sasa si watafukuzwa watangazaji wote wa E-FM au bora iingie ubia na CCM imilikiwe na Radio Uhuru ifanye kazi ya CCM
 
KITENGE ni Chawa wa January Makamba. Mwigulu hatakiwi na timu msoga by any means by 2030 kwa sababu anaweza punguza kura za January Makamba.

Kwa hiyo KITENGE ni sipika tu Redio ipo Msoga. Ok!
Wacha fixi zisizokuwa na mashiko mwache Mwigulu ajibu hizo hoja au akahamie Burundi kama alivyotuasa sisi.
 
Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 1, lakini baada ya Hando kuchukuliwa hatua sidhani kama watakuwa wanaongea tena hivyo
Hata leo asubuhi kilikuwa kimepoa na Hando hakuwepo

Hiyo clip ni ya siku nyingi kama wiki 3 hivi
Aaah, sawa mkuu..!
 
2022 tuliishauri SERIKALI iwawajibishe mawaziri vilaza haikusikia.

2023 tutaiwajibisha Serikali Kwa ubovu wa mawaziri iliyoteua yenyewe.
 
Ni ngumu sana kuigiza zezeta hasa kama ukiwa na akili timamu, unaona jambo la ajabu mbele yako, ila unalazimishwa kuamini kila kitu kiko sawa, unasema sawa, lakini tena ukilitazama mara nyingine unaona halipo sawa...

Aah wapi, iko siku utaropoka tu!.
 
Eurocentric Point of View
Kiongozi this is Africa specifically Kusini mwa Jangwa la Sahara
Akili yako ijikite hapo kwanza
Utanielewa
Tusiendekeze basi eti kwa sababu ya hizo syndrome!
 
MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu

"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Tayari wasiojulikana watamuandama
 
Huyo fisi maji alisema hakuna mtz ataegongewa mlango kudaiwa deni la taifa..
 
MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu

"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Huyu Maulid Kitenge vipi, deni halijafika hata nusu trillion USD povu linamtoka kihivyo. Tanzama deni la taifa kubwa duniani la Amerika ambalo zaidi ya nusu ya deni hilo imetumika kugharimia utengenezaji wa silaha za maangamizi na vita mbali mbali duniani.

 
Uchumi wa nchi hauwezi kuwa himilivu kwa kuandamwa na madeni, kuna clip nimemsikia ndugai akilalama tunatumia trilioni 10 kulipa hayo madeni........hii maana yake ni kwamba kiasi kikubwa cha pesa za makusanyo ya kodi kinaenda kulipa madeni badala ya kuendesha bajeti ya nchi.........kwa hiyo ili ujaze naksi ya bajeti inabidi utegemee misaada ya wafadhili au ukope tena na tena. Kwa hiyo hii inakujengea urahibu wa madeni (debt dependency syndrome) ambapo itabidi uendelee kukopa hadi pale makusanyo yako hayatakua chochote mbele ya deni unalodaiwa na hapo ndo yanaweza kufuata maswala ya kupigwa mnada. Nafikiri huu ni mtego ambao mabeberu wameweka chambo nchi zetu zilizosheheni viongozi na raia wasiotumia akili kubwa kunasa ili wawanyonye wanavyotaka, labda Mungu aingilie kati.​
 
Phd holder wa michongo, hawataki kusikia hoja. Wanaliweka taifa kwenye mitihani mikubwa. Wangejiuzulu tu.
 
Back
Top Bottom