Maulid Kitenge wa E-FM amvaa Mwigulu kuhusu Deni la Taifa. Maswali ni mengi kuliko majibu, kulikoni?

We mwigulu sperm umekuja na huku
Tatizo la Mwigulu ni kushindwa kueleza kwa ufasaha na kuwaonesha wananchi kila shilingi ya mikopo hiyo ilikuwa ni kwa kazi gani za maendeleo. Amebaki kubabaisha tu. Mara aseme ni kwa ajili ya miradi mikubwa ya kimkakati kama JNHPP, SGR na Msalato Airport. Kwenye sherehe ya ujazaji maji ya JNHPP, Mkurugenzi mkuu wa tanesco alimwibua alisema kwamba mradi huo wa JNHPP unagharimiwa kwa asilimia 100 kwa pesa za ndani kupitia kodi zetu. Mwigulu anakopa nje ya bajeti iliyoidhinishwa na bunge la bajeti. Yaani anakopa kopa ovyo bila idhini ya wawakilishi wetu bugeni. Anakopa hata kwa shughuli za kawaida ambazo si za maendeleo zinazoonekana kwa macho. Tunakopa kwa shughuli ambazo si priority yetu.

Nchi kama Amerika wanakopa kwa ajili ya shughuli zinazoonekana hususani vita ya huko Ukraine na lazima ikubaliwe na bunge la senate. Watu wa Marekani priority yao namba wani ni vita. Sisi hatuna tangible priorities. Wakina Mwigulu wanatwanga tu.
 
Kumekucha kumekucha. Watu wanafukua makaburi tu. Sasa akiadhibiwa kitenge atabaki mussa na baby mama, kipindi kitapoa sana.
 
Haya yote ni matokeo ya kuwapa wahuni na makahaba madaraka serikalini.
 

Kasema. kitenge!!
Ye kasema alowaa qapoo
 
nchi inskopa yes,na mikopo hiyo inafanya kazi ambayo inaonekana na hiyo miundo mbinu ikimalizika kujengwa itaingiza kipato kikubwa na madeni yatalipwa
 
Waziri wa Fedha aulizwe hivi hivi yaan!!
Be serious my colleagues and do not undermine the power of Minister
Na hapa ndipo tatizo linapoanza, kuchukulia uongozi mithili ya uungu mtu.
Be it a minister or president, they all are answerable to the public; but the public has been brainwashed so much that roles have changed where by public servants can do as they please without any repercussions.
 
Hivi bwana yule si alituacha na deni limefikia 70T? Inamaana within a anum and ushekh tayari washachukua 21T???

Astaghafirurah waminqum!
 
Tayari wasiojulikana watamuandama
Wasio julikana wamchukulie hatua kitenge 😁😁😁😁 endelea kusubiri labda sio kitenge hutu ninae mjua mimi tangu enzi za ******** 1993
 
Sasa naanza kuiona Tanzania na Africa iliyokusudiwa, elimu na uzalendo wa watanzania kwa taifa lao. Kuhoji ni kutaka kujua nini kimefanyika vipi, sio tu kukokotwa Kama mambuzi na watawala, we need to challenge them ili kabla hawajafanya Jambo wafikirie Mara 2.
Shida iliyobaki Sasa ni uwepo wa machawa wengi wasiotaka watawala waulizwe..
Mungu ibariki Tz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…