pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Sijui lini wa Tz tutakuwa na akili za kujitegemea!Wewe Kitenge suburi wakugeuze kanga
Wenye zero Wana kuwa na Hela sanaUnasikilizia kutoka wapi na kwa nani?
Peleka ujinga wako huko, anaulizwa Rais sembuse Waziri!Waziri wa Fedha aulizwe hivi hivi yaan!!
Be serious my colleagues and do not undermine the power of Minister
Deni limekuwa kubwa tunataka maelezo isijekuwa anakopa kwa kujinufaisha?Inamaana anaekopa hawamuoni au
Majizo anamla kichwa kama alivyomnywa supu Gelard Hando.MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu
"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
GoodMinister for people not for own power not for himself!
Acheni watu waseme ukweliMTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu
"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888
Huyu mbona hakusimamishwa? au ndio yale mambo ya Uislamu na Ukristo?MTANGAZAJI Maarufu nchini Maulid Baraka Kitenge amemtaka Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kujitokeza hadharani na kujibu hoja zinazohusu Mikopo kwani sasa Deni limefikia Trilioni 91 na walipaji ni sisi wananchi tunataka majibu
"tunazungumza na wewe Mwigulu kama taifa haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? Madelu haya maswali ni mengi kuliko majibu kulikoni? sisi ndio tunaolipa Deni la Taifa tunataka majibu" amesema Kitenge
View attachment 2466888