HahahaKwahiyo kama Mwenyezi Mungu " kaniteua " kwa kunipa nilichonacho na ambacho ninaamini Wewe huna nisirnge?
Hahaha
Majivuno huja kabla ya anguko
Siku ambayo uta acha kujihisi wewe ndo binadamu uliye sahihi kuliko wote utafika mbali sana
Ila ukiendelea hivi kuwa na prides zczo maana utakuja kuwa moja ya watu wajinga zaid duniani
Ndio mimi kilaza narekebishika na kufundishikaBora Mimi mjinga nafundishika na kurekebishika je Wewe ******** unarekebishika achilia mbali kufundishika tu?
Ndio mimi ****** narekebishika na kufundishika
Ila wewe ****** una jifanya ndo uko super
Siko na bundesligaMwanaume huwa hajifanyi bali anafanya. Kumbe hata tu Kiswahili hukijui halafu unataka tena kuendeleza " Bundesliga " na Mimi utaniweza lakini? Kama vipi twende hivi hivi mdogo mdogo.
kwa hiyo wewe mkulima wa viazi unatuonea wivu?!Hicho kiredio hakifiki huku kwetu, wanasikiliza wanaume wa dar tu
Kumbe sio vile navyofikiri kisa ndo hichoAmefurahi sana Laudit Mavugo kwenda Ufaransa!
Haya lazima yatatamkwa nafikiri kitafika mpaka namtumboKaredio kenu mwisho Kimara Korogwe
Sio mara ya kwanza inaonekana anamkimbiza sana haya malalamiko ndo "po" yenyeweBila shaka ww utakuwa mtangazaji pia katika Redio Fulani sasa imekuuma nini mpaka umuandame? Na hyo dp Yako ya Shari la ccm lazima utakuwa mtu wa Aina Fulani acha kutunga Uongo tufanye kazi wa Tanzania
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji40][emoji114][emoji114]Siku hizi nitajitahidi kuwa makini na thread zako manake nimegundua zingine unazileta ama kuwapa watu promo au kuchimbachimba kwa mambo yako binafsi! Si ni wewe ambae uliwahi kuleta thread kuulizia kuhusu Tunu Hassan?! Au ulitaka watu wafunguke kwa mapana na marefu; kwamba anamegwa na fulani ili halafu ukaanzishe mtiti endapo huyo fulani sio wewe?!
Ukijiona unaijua mipaka ya redio filani ujuwe kuwa wewe ni msikilizaji mwaminifu wa redio hiyo..!!🙂B-)Karedio kenu mwisho Kimara Korogwe
Huko kwenu mnasikilizaHicho kiredio hakifiki huku kwetu, wanasikiliza wanaume wa dar tu
[emoji3][emoji3][emoji3]Mnatusakama tunaoishi Dar, lakini cha ajabu ni kwamba mkifika tu huku mnaanza kuwatafuta akina Kitenge mpige nao picha, au majengo wanayofanyia kazi msimame mpige picha
Jamaa ni mtu wa idara, mzoee tu!Kuna tatizo kwako si hivi hvi, unakuwaga una andika vitu ambavyo anaye ku sapoti almost hakuna unajisapoti ni wewe mwenyewe tuu, zaid unaishia kujibizana na watu, we mtu gani wotu woote hawa wasikuelewe!!?
Halafu una shida ya kuhisi una jua vitu wakati hujui ni hatari hiyo
Hahaha nisha msoma haina mbayaJamaa ni mtu wa idara, mzoee tu!