Maulid Kitenge wa E-Fm huo uufanyao sasa siyo Utangazaji bali ni uswahili!

Maulid Kitenge wa E-Fm huo uufanyao sasa siyo Utangazaji bali ni uswahili!

Kwahiyo kama Mwenyezi Mungu " kaniteua " kwa kunipa nilichonacho na ambacho ninaamini Wewe huna nisirnge?
Hahaha
Majivuno huja kabla ya anguko

Siku ambayo uta acha kujihisi wewe ndo binadamu uliye sahihi kuliko wote utafika mbali sana

Ila ukiendelea hivi kuwa na prides zczo maana utakuja kuwa moja ya watu wajinga zaid duniani
 
Hahaha
Majivuno huja kabla ya anguko

Siku ambayo uta acha kujihisi wewe ndo binadamu uliye sahihi kuliko wote utafika mbali sana

Ila ukiendelea hivi kuwa na prides zczo maana utakuja kuwa moja ya watu wajinga zaid duniani

Bora Mimi mjinga nafundishika na kurekebishika je Wewe mpumbavu unarekebishika achilia mbali kufundishika tu?
 
Bora Mimi mjinga nafundishika na kurekebishika je Wewe ******** unarekebishika achilia mbali kufundishika tu?
Ndio mimi kilaza narekebishika na kufundishika

Ila wewe kilaza una jifanya ndo uko super
 
Ndio mimi ****** narekebishika na kufundishika

Ila wewe ****** una jifanya ndo uko super

Mwanaume huwa hajifanyi bali anafanya. Kumbe hata tu Kiswahili hukijui halafu unataka tena kuendeleza " Bundesliga " na Mimi utaniweza lakini? Kama vipi twende hivi hivi mdogo mdogo.
 
Mwanaume huwa hajifanyi bali anafanya. Kumbe hata tu Kiswahili hukijui halafu unataka tena kuendeleza " Bundesliga " na Mimi utaniweza lakini? Kama vipi twende hivi hivi mdogo mdogo.
Siko na bundesliga
Na kwambia tuu usijisifie ujinga

Uwa na hisi wewe ni mtoto labda una chezea simu ya baba yako

Ila now nimejua wewe ni mkubwa ila una akili za kitoto
 
Mkuu GENTAMYCINE nafuatilia sana michango yako humu.kwakweli inanielimisha na kunifurahisha sana,inanikumbusha enzi zile niko o level wakati tunasoma na kukichambua kitabu cha Song of lawino,mle kulikuwa na majigambo ya kutosha km yako mkuu,pia vitabu vya Allain Quatarman,kuna mtu alikuwa anaitwa Umsollopagas alikuwa na majigambo km haya ya kwako ya kujiamini pasipo shaka...!nna hakika hawa vijana wa kufokafoka hapa nchini km wangekufahamu na kujua uwezo wako wa kupangilia maneno kimajigambo,wangenufaika sana na ww....!BIG UP MKUU,huwa sichoki kusoma michango yako.
 
Watangazaji wa bongo ambao sio wanazi ni wachache mno..ila wengine wanajitaidi kuficha unazi wao lkn Kitenge na Shafii wameshindwa aisee
 
Bila shaka ww utakuwa mtangazaji pia katika Redio Fulani sasa imekuuma nini mpaka umuandame? Na hyo dp Yako ya Shari la ccm lazima utakuwa mtu wa Aina Fulani acha kutunga Uongo tufanye kazi wa Tanzania
Sio mara ya kwanza inaonekana anamkimbiza sana haya malalamiko ndo "po" yenyewe
 
Siku hizi nitajitahidi kuwa makini na thread zako manake nimegundua zingine unazileta ama kuwapa watu promo au kuchimbachimba kwa mambo yako binafsi! Si ni wewe ambae uliwahi kuleta thread kuulizia kuhusu Tunu Hassan?! Au ulitaka watu wafunguke kwa mapana na marefu; kwamba anamegwa na fulani ili halafu ukaanzishe mtiti endapo huyo fulani sio wewe?!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji40][emoji114][emoji114]
 
Kifupi niliacha kumsikiliza kitenge mda mrefu baada yakugundua hana jipya kwenye utangazaji na pia ana ushabiki wakijinga bila kuelewa yeye ni mwandishi na siyo msemaji wa timu flani. Ni kama yule msoma taarifa wa clouds tv
 
Kuna tatizo kwako si hivi hvi, unakuwaga una andika vitu ambavyo anaye ku sapoti almost hakuna unajisapoti ni wewe mwenyewe tuu, zaid unaishia kujibizana na watu, we mtu gani wotu woote hawa wasikuelewe!!?

Halafu una shida ya kuhisi una jua vitu wakati hujui ni hatari hiyo
Jamaa ni mtu wa idara, mzoee tu!
 
Back
Top Bottom