GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Sijasema mimi ni FOLLOWER wako!! Watu si huwa mnaanzisha threads hapa jamvini? Na mkianzisha lengo lenu si ni kwamba wengine tusome? Sasa sisi wengine tukisoma huwa hatusahau mada wala jina la mleta mada hata kama muda umepita!
Na huwezi kuacha kumkumbuka Mtu ambaye ama HUMPENDI au UNAMPENDA hata siku moja. Jifunze Psychology utaligundua hili na unaweza ukawa FOLLOWER wa Mtu kwa mabaya au mazuri yake. Kwa mfano unaweza ukaamua tu umfollow ili uwe unampinga uridhike tu au ukaamua umfollow ili tu uwe unaelimika kwa madini yake adimu. Kwa ufafanuzi huu nadhani kidogo nitakuwa nimekutoa " tongo tongo " ya Kifikra.