Maulid Kitenge wa E-Fm huo uufanyao sasa siyo Utangazaji bali ni uswahili!

Maulid Kitenge wa E-Fm huo uufanyao sasa siyo Utangazaji bali ni uswahili!

Jerry Milo no 2

Huyo Jerry Milo ni huyu huyu tunayemjua au huyu ni wa Sayari nyingine? Kwakuwa umeandika kwa hasira ndiyo maana hata jina umekosea hivyo siku nyingine usiandike kama umepatwa na " mhemko ".
 
Ulichoandika, umepoteza nguvu zako Bure tu.
Kwani hakieleweki kabisa.
Maneno laki moja, unashindwa kueleweka, vipi sentensi ?
 
....nilisikiliza kipindi cha michezo E fm na kugundua Kitenge ndio km muongozaji wa wengine.

Anachosema yeye hawa wengine wanafata nyuma tu,hawajiulizi chochote!, hata jamaa akileta unazi wake kwa "jamaa wa jangwani" hawa wengine nao wanafuata tu!, matokeo yake kundi lote redioni linakua na mtazamo unaofanana!

very biased!
Sio muongozaji, anajitambulisha kama "mkuu wa kitengo"
 
Angalia Matoleo ya Form Six ya Unguja schools kisha utaona Maulidi yuko sawa
 
Nimefuatilia post zako nyingi bwana mdogo nimegundua una MAJUNGU san kama mtoto wa kike. Na kama una kazi hapo ofcn kwenu ww ni chanzo cha mifarakano. Sikupendi kweli wewe mwana Jf hewa.
 
Mtoa mada hujamtendea haki Kitenge kwa kumfananisha na vidole juu anaowasaka Makonda. Ingetosha kumkosoa tu kuliko kumdhalilisha kuwa jamaa ndiyo hivyo.
 
Mkuu acheni kuandama watu Watanzania tuna mambo ya msingi ya kufuatilia lakini muda huo wa kusema watu na kuanzisha thread mnautoa wapi? Au ww ni mtangazaji mwenzie kwenye Redio ya Jirani pale
Acheni hizo habari
Wewe umepata wapi muda wa kusoma humu na kuchangia
 
Kwahiyo kwako Wewe kuufuatilia mwenendo wa KIUTANGAZAJI wa Maulid Kitenge siyo jambo la msingi? Kwahiyo kwako Wewe jambo la msingi labda ni kwenda msalani kutoa " haja kubwa " yako au? Kuna Watu wengine huwa MNANILAZIMISHA NIWADHARAU kwa ujengaji wa HOJA zenu ambazo ni za " hovyo hovyo " kama mlivyo.

Hivi unajua IMPACT ya utangazaji wake kwa AUDIENCE bila kusahau Watu wanaotaka kuwa kama yeye? Hivi unajua kuwa huu muda nilioupoteza " kumfunda " hapa nimemjenga kiasi gani kama akifuata ushauri ukosoaji na ushauri wangu kwake?

Aliyekuambia kuwa eti ukiwa unamkosoa Mtu basi ni lazima uwe unafanya Kazi kama yake au una Wivu nae ni nani? Kwahiyo kwa mfano Watu tunavyomkosoa Rais wetu inamaanisha sisi wote huwa tunautaka huo Urais wake au tuna Wivu nae?

Namshukuru Mwenyezi Mungu sikuzaliwa " mbumbumbu " kama ulivyo Wewe na labda ni nikushauri kuwa siku nyingine ukiiona ID hii halafu unataka kujibizana nayo basi hakikisha kwanza " upstairs " umekamilika vilivyo kutokana kwamba majibu ya kuwajibu " wapuuzi " wa aina yako huwa hayako mbali.
Kumbe EFM inakamata hadi gisenyi!
 
Mtoa mada wewe beef yako ni eFm na Kitenge tu. Kila thread ni kitenge na eFm.
 
Nimefuatilia post zako nyingi bwana mdogo nimegundua una MAJUNGU san kama mtoto wa kike. Na kama una kazi hapo ofcn kwenu ww ni chanzo cha mifarakano. Sikupendi kweli wewe mwana Jf hewa.

Kwani nani aliyekuambia kuwa Mimi nakupenda? Tena nakuchukia kuliko hata ninavyowachukia MAGAIDI.
 
Mtoa mada wewe beef yako ni eFm na Kitenge tu. Kila thread ni kitenge na eFm.

Ulichokiandika hapa umenithibitishia pasipo na shaka kuwa Dishi lako la kunako Medulla Oblangata yako linahitaji kusetiwa tena upya kwani linatingishika sana.
 
Ulichokiandika hapa umenithibitishia pasipo na shaka kuwa Dishi lako la kunako Medulla Oblangata yako linahitaji kusetiwa tena upya kwani linatingishika sana.
Kuna tatizo kwako si hivi hvi, unakuwaga una andika vitu ambavyo anaye ku sapoti almost hakuna unajisapoti ni wewe mwenyewe tuu, zaid unaishia kujibizana na watu, we mtu gani wotu woote hawa wasikuelewe!!?

Halafu una shida ya kuhisi una jua vitu wakati hujui ni hatari hiyo
 
Kuna tatizo kwako si hivi hvi, unakuwaga una andika vitu ambavyo anaye ku sapoti almost hakuna unajisapoti ni wewe mwenyewe tuu, zaid unaishia kujibizana na watu, we mtu gani wotu woote hawa wasikuelewe!!?

Halafu una shida ya kuhisi una jua vitu wakati hujui ni hatari hiyo

Ningekuwa sijui kitu nisingekuwa NAJIAMINI hivi tena kwa JEURI kabisa. Mwenyezi Mungu alininyima vingine ila katika AKILI, UEREVU na MAARIFA alinijalia kwa kiwango cha juu mno na sana. Kama Wewe ni MTUPU Kichwani hivyo umekalia tu kuwaonea " kijicho " wenzio basi hilo ni suala lingine na sijui hata nikusaidiaje.
 
Ningekuwa sijui kitu nisingekuwa NAJIAMINI hivi tena kwa JEURI kabisa. Mwenyezi Mungu alininyima vingine ila katika AKILI, UEREVU na MAARIFA alinijalia kwa kiwango cha juu mno na sana. Kama Wewe ni MTUPU Kichwani hivyo umekalia tu kuwaonea " kijicho " wenzio basi hilo ni suala lingine na sijui hata nikusaidiaje.
Sijawahi kumuonea kijicho mtu ila wewe ndo huwa naona unawaonea kijicho watu unao wasema.

Ndugu yangu usijisifie kuwa kufanya vitu vya kijinga
"ignorance is not a virtue"
 
Sijawahi kumuonea kijicho mtu ila wewe ndo huwa naona unawaonea kijicho watu unao wasema.

Ndugu yangu usijisifie kuwa kufanya vitu vya kijinga
"ignorance is not a virtue"

Kwahiyo kama Mwenyezi Mungu " kaniteua " kwa kunipa nilichonacho na ambacho ninaamini Wewe huna nisirnge?
 
Back
Top Bottom