Maumivu ni makali, Kwa mara nyingine Yanga wametupora tonge mdomoni kwa kumsajili Manzoki, Simba tunafeli wapi?

Maumivu ni makali, Kwa mara nyingine Yanga wametupora tonge mdomoni kwa kumsajili Manzoki, Simba tunafeli wapi?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Nguvu moja hatukatai, Lakini sasa kwa hali hii uongozi wa Simba mmeanza kutukatisha tamaa asiee, Ni kivipi deal ya Manzoki imebuma ?? ......

nimeanza kuamini hata maneno ambayo sipendi kuyaamini ya mitandaoni na vijiweni kwamba uongozi wamegeuza timu iendeshwe kibahili bahili kwa lengo la kutengeneza faida zinazoenda kudhamini miradi ya familia ya wamiliki.. Kwamba Simba kwa sasa hawataki kununua wachezaji wa gharama kwa kuhofia hawataweza kurudisha pesa ya usajili na mishahara pindi wakija kuuzwa hapo mbele, kwamba wanapenda kusajili wachezaji wa bei rahisi ili waje kuuzwa kwa faida kama Miqson, Kuna tetesi kwamba hata mishahara inapungua kwa lengo la kuongeza faida inayoenda kwenye miradi ya familia.

Nimepata taarifa iliyonipa mstuko wa moyo na kuniharibia mood yangu baada ya kupata habari dakika chache zilizopita kwamba Yanga wameweza kuinasa saini ya Manzoki kwa kutia kitita cha mlioni 466 , Hizi ni pesa ambazo naamini kabisa Simba inaweza kumudu lakini tatizo ni kwamba huenda ubahili wa kutaka faida kubwa kuliko mafanikio ya Simba ndio umeponza dili likabuma.

Maumivu ni makali sana kwakweli
 
Hata sielewi Simba tunafeli wapi na kama ni pesa kuna zile bilioni 20 na hizi bilioni 4 za mwaka huu za Mbet, sasa iwaje Simba tunapigwa kanzu na Yanga...

Yanga hawakuondoa jicho kwa Manzoki walikuwa wanaendelea kumfatilia na hatumae leo wameweza kuinasa saini yake kwa kumnunua kwa mlioni 466 ambayoo ni pesa ya kawaida kwa level tulizofikia hata simba wangeweza kuitoa.

Maumivu ni makali sana kwakweli
Tuendelee kuugua maumivu tu, hakuna namna
 
Nakubali tukonguvu moja Ila nguvu moja hii Ni sisi mashabiki hukuchini. Walio juu Ni matapeli wa Hali ya juu.
Mfano ile 20b iliishia wapi?
Karia Ni mwenzetu lakini hatusaidii kwa lolote zaidi ya kumfanyia mtoto wa Sunday ntimanyongo.
Angalia jezi zetu. Hizi jezi uki compare na zile za MABINGWA Yanga , zetu Ni toilet paper au taulo la kina dada.
Simba tunakwama wapi?
 
Sio kinyonge mzee baba sisi tupo tayari kushuka hata daraja kwani mnaumia mkiwa wapi?
sista..... hela barbara anazochezea vicoba na wewe unafaidika nazo nini? niunganishe basi deals na mimi nianze kuwa chawa hata team ikifungwa na kufanya uzembe mimi naipaisha tu..full kusifia unstoppable
 
Aliua Singida United, zamu ya Simba... Teh! Teh! Teh!
 
sista..... hela barbara anazochezea vicoba na wewe unafaidika nazo nini? niunganishe basi deals na mimi nianze kuwa chawa hata team ikifungwa na kufanya uzembe mimi naipaisha tu..full kusifia unstoppable
Tuko tofauti ktk kupokea majonzi. Tunajipooza kwa kuona hakuna tatizo,
 
Back
Top Bottom