Pole sana! Jikaze ndugu yangu....usimlipize wala usimjibu kitu chochote! Kweli nakwambia atakuja kwako kwa kilio na magoti..,,,dadeki hapo ndipo utamcheki na kuswepa! Mwache Mwenye Enzi Mungu afanye kazi yake!
Duuh.....Mimi in Me ila sio wa dar . sikuona aja kumblock sababu nilichukulia sio ugomvi
Tena mwanamke ukitaka kumkomesha....unauchuna unaendelea na mishe zako kama humjui vile....mbona atajipendekeza...huyu jamaa boya kweliMkuu simama kama mwanaume, mwanaume halii lii kisa mwanamke futa namba ake, songa mbele.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Vita ya kuacha /kuachwa na mpenzi haijawahi kuacha mtu salama
Yaani kaenda kwa mwingine halafu bado unapoteza muda wako kumfikiria. Achana nae tafuta cha kukufikirisha tofauti na uyo mpenzi wako na usiwe unakubal kuwa dhaifu kiasi hicho[emoji53] [emoji53].kama mwanaume asee basi bado saba[emoji35] [emoji35]Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.
Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .
Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.
Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.
Nipeni ushauri kwenye mawili
Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.
Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
Yaani kaenda kwa mwingine halafu bado unapoteza muda wako kumfikiria. Achana nae tafuta cha kukufikirisha tofauti na uyo mpenzi wako na usiwe unakubal kuwa dhaifu kiasi hicho[emoji53] [emoji53].kama mwanaume asee basi bado sana[emoji35] [emoji35]
Pole. Hio isikupe shida. Jiulize haya maswali, anakulisha, ni ndugu yako, kwani kabla ya kukutana naye ulikuwa huwezi kuishi? Simply forget about her and move. Kingine, don't jump into another relationship just for the sake. Take your time, build your relationship with God. Vizuri zaidi umpokee Yesu awe Bwana na mokozi wako. Yeye atakuwezesha kuishi maisha matakitifu na pia kukuongoza kila hatua mpaka wakati muafaka was kupata life partnerNdugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.
Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .
Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.
Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.
Nipeni ushauri kwenye mawili
Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.
Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
Bora umemfafanulia huyo mkulima. Mtoto wa mjini hawezi kuwa fala namna hii...Mimi in Me ila sio wa dar . sikuona aja kumblock sababu nilichukulia sio ugomvi
Pole mwaya