Maumivu ninayopata haijawai tokea, nisaidieni namna ya kupata nafuu

Maumivu ninayopata haijawai tokea, nisaidieni namna ya kupata nafuu

kuna maisha baada ya mapenzi acha maisha mengine yaendelee amka usilie inaumiza lakina hakuna namna mshkuru Mungu kwa vyote alivyokufanyia mpenzi wako hujui nini Mungu amekuepusha nae
 
Aiseeee!! Kuna kupenda na kupendwa kimapenzi na kupendwa kirafiki lakini MTU pekeee wa kupenda na kupendwa ni mmoja tu , aliyekuweka tumboni miezi Tisa. Hivyo basi hupaswi kuumia wala kuumizwa na mapenzi unapaswa kuumizwa na maisha .
 
Msaidie hata kumfariji basi ...
Aku atafute quinine ameze alale kwnza kila kitu kina mwisho wake ila akiona hamsahau alipize kisasi atumie whatsapp mbili alafu aigize mchezo apritend kuwa someone else then aanzishe mahusiano nayy again ajifariji mpaka mwanamke aingie kwenye 18 zake atfute mtu wa karbu sana awe wa ukwel (boy) awe akimpigia anaogea nae yy na picha apritend pia ana mahela aende nae tartibu awe mbunifu wa kuigiza mapenz vzur sana na kudekeza ila lengo akumbuke nae ni kumtenda akishampenda ana uezo wa kugundua mpk vitu vyake vya nyuma km sio msiri awe mdadisi kiana mwisho wa siku anamtenda na anamwambi ukwel roho yake itaridhika ataendelea na maisha yke na uyo girl nae ataumia kwa kufooliwa na mtu wa karbu kiana na atajutia kutoa visiri siri vyake me sijabahatika na hiyo hali ila ukinitenda ntakulipa kiaina tu mpk utoke akilin mwangu
 
Block no yake na mitandaoo ya kijamii kwa muda.kata mawasiliano nae kabisa,epuka kabisa kuonana nae,kumzungumzia,ondosha vitu vyote vya kwake ambavo vitasababisha kumkumbuka.jitahidi kuji keep busy na mazoezi kwa sana.hakika utamsahau
 
Kumbe tupo wengi tuliowah kuachwa,dawa yake Fanya maamuzi magumu, kama vile kununua kiwanja na kujenga, au biashara zitakuwa zinakuweka busy yaan hutakuwa na muda wa kumfikiria maan utakuwa unawaza hela ya ujenzi Mara bidhaa dukan zimepungua ,yaaan mawazo yako yatakuwa kipesapesa ,baada ya kussetle mwombe Mungu akupe wa ubavu wako, nilifanya hivyo baada ya kuachwa, nimefanikiwa haya maamuz kwa asilimia 60%
Njoo tumalizie hizo 40% zilizobaki bibie
 
Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.

Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .

Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.

Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.

Nipeni ushauri kwenye mawili

Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.

Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
Kiongozi huyo ni kunguru atakuumiza sana fanya hivi,block no yake then kama huna issue sana na smartphone unaweza ukaachana nayo kwa muda kaam wiki hivi ili utuluze kichwa halafu na vi2 vyake mpelekee ili asikufeate tena then usifwatilie story zake.Pole ndo mahusiano
 
Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.

Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .

Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.

Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.

Nipeni ushauri kwenye mawili

Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.

Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?

Utakuwa na kibamia tu wewe
 
Ndugu zangu mpenzi wangu ameniacha. Sijamkosea chochote ameamua tu kuondoka mbaya zaidi ananikashifu na kunipiga vijembe kwenye WhatsApp status zake.

Mwanzo nilidhani masihara lakini naona yupo serious ameondoka ameenda kwa mwingine. Nisichojua ni kwamba nimemkosea nini nilijaribu kumuuliza akanijibu vibaya akishajibu vibaya anani text tena nimsamehe mimi na yeye hatujagombana anaomba tusiwe na ugomvi.
Kwa kweli sijui kosa langu japo sometimes tulikuwa tunagombana anasema namfatilia sana simuamini. Mimi nimemkaushia japo naumia anataka kuja kwangu kuchukua vitu vyake nikitaka nivipeleke kwake au somewhere anapoweza vichukua ataki anataka avifate kwangu nikikataa anatoa lugha Kali, kwa hili pia sielewi lengo lake .

Kingine mimi nimeamua kumsahau lakini aachi kunipiga vijembe Watsapp ananichoresha kwa watu as if mimi kwake nilikuwa nothing japo tumepitia mengi mazuri.

Kiukweli inaniumiza inaniumiza kwa kuwa kaondoka wakati bado nampenda na inaniumiza zaidi hivyo vijembe vyake wakati mimi nimekaa kimya simjibu.

Nipeni ushauri kwenye mawili

Moja, nifanyeje ili nimsahau mapema ni-move on.

Pili, kama na mimi nikilipizia nitakuwa nakosea kumrusha roho pia?
Kibamia je?
 
Daaah!. Hivi wewe ni Ke au Me?

Kama ni 'Me' bila shaka utakuwa mwanaume wa Dar.

Unaogopa vijembe vya Whatsapp? Kwani inakushinda nini kumblock na mwisho wa siku hutaviona tena hivyo vijembe?

Anyway, Pole sana.
Istoshe anakuja Kama hivyo vijembe ni vyake, na kwanini anaangalia status za huyo dada? Kwanini asifute hiyo NB yake
 
Istoshe anakuja Kama hivyo vijembe ni vyake, na kwanini anaangalia status za huyo dada? Kwanini asifute hiyo NB yake
Ni ngumu sana kunielewa. Nimekutana na wengi ila kwa huyu haijawai nikuta hali kama hii.
 
Mmh, Wee nawe alikuwa anakupa nn zaidi ya papuch! angalia maisha best acha mawazo ya ajabu kama maduu mbon wako shaz tu utapata mwingne[emoji23][emoji23]
 
Kuna watu wana mioyo milaini sana, kwa jinsi ulivyoandika inaonekana ulijilegeza sana kwa hicho kigori mbaya zaidi kikakupanda kichwani wewe ukabaki unakichekea chekea tu, yani mtu ni mpenzi wako alafu anakwambia eti "unanifatilia sana"!!!!! I wish if i kudu be you .

Pole next time be a Men
 
Siwezi kumlaumu mtoa mada, nyinyi nyote mnaomkebehi hata kesho zenu hamzijui. Hujui utaangukia kwa nani, msiongee kama maisha mmeyamaliza wakati bado mnavuta pumzi.


Niliwahi kuongea hivyohivyo, nikaambiwa hujapenda ndiyo maana nikipenda nitakaa kimya mwenyewe. Mungu si Athumani, nikaja kupenda kufa kuoza. Nilipokuja kupigwa chini nilikaribia kupagawa, nili move on kwa kuhakikisha ninamsahau tu.


Hivyo Mtoa Mada kama unataka umsahau ili upige hatua mbele, inabidi uondoe kila kitu ambacho kinakufanya umkumbuke. Hivyo vitu vyake kuwa na msimamo wa kueleweka, mwambie aje kuchukua la si hivyo unaviharibu, kuvitupa au kuvigawa. Muwekee deadline kabisa kuwa serious unapomwambia, ikifika siku hiyo hajaja viondoe. Maana ndiyo vinakukumbusha kuhusu yeye, huwezi kumsahau kama vipo.
HAPA KAMA KWELI ANAMAANISHA MWACHANE ATARUDI NA KUVICHUKUA, KAMA ANAKUPIMA IMANI ATAREJEA PIA ILA ATAFANYA KILA HILA ASIVICHUKUE ANAJUA KAACHA KUMBUKUMBU.




KAMA KESHACHUKUA VITU ENDELEA SASA;
Picha zote mlizokuwa pamoja ziondoe, ubaki kama ulikuwa humjui. Pia kama una simu ndogo ya kawaida tumia hiyo, smartphone fungia kwa wiki tatu au mwezi hivi kama hiyo whatsapp usioone kama haina tija kwako zaidi ya kuchat. Ukisema ubaki nayo utajikuta umeingia huko na kusoma hivyo vijembe tu, dawa ni kukaa mbali na simu.


Muda ambao mliokuwa mkiutumia kuwa pamoja, jaribu kutafuta kitu kingine cha kufanya. Mazoezi ya viungo ndiyo yanafaa zaidi, nyakati nyingine kuwa active kwenye kazi kuliko kitu kingine. Ukiwa kwako utahitaji kupumzika kuliko kitu chochote, hutoweza kumkumbuka tena maana huo muda wa free kwako utahitaji kupumzika tu na si kufikirisha akili.


Kipindi unajaribu kumsahau, tafadhali sana usijihusishe kimahusiano na mwingine. Hata kama utamsahau usikimbilie kuanza mapenzi mapya, pumzisha moyo na akili kiupande wa mapenzi.

HUWEZI JUA MUNGU KAKUEPUSHIA NINI ALIPOKUACHA, PIGA KAZI UJIONGEZEE KIPATO
 
Back
Top Bottom