Mizizi ya muhogo au mchongoma?Una ngiri.tafuta mizizi unywe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mizizi ya muhogo au mchongoma?Una ngiri.tafuta mizizi unywe
Nilishaenda mkuu, na miongoni mwa matatizo niliyokua nayo nimeshapona ikiwa na kujisikia haja ndogo mara kwa mara baada ya muda mfupi.Ni vyema ukaenda hospitali tu, hapa utakutana na matabibu Mwaka kibao ambao hawana wakijuacho.
Huu ugonjwa huwa nausikia tu ila kiukweli siujuiUna ngiri.tafuta mizizi unywe
hahaaa sambumbuukienda hosp utachomwa cndano1, ila lazima utakua unapiga punyeto sana, sasa sabuni imejaa uko, hata mimi nimeshawai kuumwa ila cndano 1 tu nkapona wacha punyeto.
Hiyo ni ngiri hiyo mkuu fanya uende hospital upate tibaNina tatzo nikiwa na hamu ya tendo la ndoa nisipofanya korodani zinauma sana, kuna kamshipa fulani hivi kinajaa yaan hata kutembea siwezi ni ugonjwa au ni kawaida kwa wanaume?
Naomba msaada korodani zangu zimesinyaa pia sitoi sperm za kutosha zinatoka nyepesi Sana harafu kidogo, msaada tafadhali.
wenda zaman hzo ila not nowupungufu wa nguvu za kiume,huwa una piga puli?
jaribu kupitia hapahttp://www.jamiiforums.com/threads/korodani-moja-kuvimba.790231/wenda zaman hzo ila not now