Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamii ipi imemnyang’anya Mwanaume haki ya kua na Wake wengi🤷♀️🤷♀️Sio kwamba jamii imemjengea mwanamke huo mtazamo, hii ni nature tokea dunia imeanza mpaka leo hii kuanzia kwenye vitabu vya dini mpaka kwenye history za kiafrika polygamy ndo utaratibu, hivyo jamii imemnyanganya mwanaume haki ya kuwa na wake wengi na matokeo yake ndo haya uliyoyaandika.
Haki tunyimwe sisi nyie ndo mnalalamika
Watu wameshakuwa sugu mambo ni bambam. Hakuna tena kulia
[/QUOT
Yaaan wala hatulii tenaaa...mwendo ni kimya kimyaa no kelele😂😂😂
Asante kwa kulitambua hilo"Jamii imekuwa ikihubiri kuwa mwanaume anahaki ya kuchepuka"
"Imekuwepo kampeni kuwa mwanamke anayevumilia mwanaume wake kuwa na michepuko ni mke anayefaa na kwani hujena familia,
Kwa haya sikubaliani nawe kwani wenye hofu ya Mungu hatuwezi kushabikia haya wala kusema kuwa ni haki ya mwanaume kuchepuka
Hao wanaofanya kampeni au hiyo jamii unayoisema labda ni secret society lakini hawapo hadharani na mabango au hiyo kampeni unayosema
Mwanamke aheshimiwe kama mama na mzazi pia Ana heshima yake kwenye jamii na anaemdharau na kuchepuka eti ni haki yake basi atakuwa ana laana huyo
poleTunakula tu popcorn.
Tunawashukuru pia kwa kutufanya tuwe hivi.
nature ya wapi?Nature.
Kwahiyo Demi wewe ni sugu bandida kabisa[emoji23]Tunakula tu popcorn.
Tunawashukuru pia kwa kutufanya tuwe hivi.
Sina maumivu yoyote mkuu.pole
Mumeo anafaidi sana[emoji23]Hata nikufumanie kitandani, Kesho yake nakuwa kawaida as if nothing happened.
Unadhani nitaendelea Kuwepo hapo?Mumeo anafaidi sana[emoji23]
Aha nimekupata, wanaume sisi ni ving'ang'anizi....[emoji23] Ndo maana mapenzi yanatutesa....Unadhani nitaendelea Kuwepo hapo?
ila uwezo wako kihisia ni % kama ngapi?Sina maumivu yoyote mkuu.
Napenda kwa moyo wangu wote. Mahali kwenye mapenzi hisia ni 100%.ila uwezo wako kihisia ni % kama ngapi?
Huwezi ukamfumania mumeo alafu ukajisikia amani moyoni kama uko vzuri kihisia. Tatizo mnaficha maumivuNapenda kwa moyo wangu wote. Mahali kwenye mapenzi hisia ni 100%.
Penzi likifa najipa nafasi nyingine ya kupenda. Nina mapenzi tele tele