waturudi wanalia hapa🤣Waambie waulizie shock up za harrier 2nd gen mpya sio used waje na majibu
European car siyo tatizo, ni mafundi wengi hawana uwezo ku identify matatizo halisi. Matokeo yake shida ya kawaida mtu anabomoa gari Zima.European cars ni ugonjwa wa moyo.
Iwe Range Rover, BMW au yoyote ile.
Nunua magari ya kijapan, hutasikitika na spares ziko bwerere.
Kwa style hii acha niendelee kuwa mshamba tu.Hizi gari zetu laiti zingekuwa na sensor kama European cars wengi tungekuwa tunapaki Tu na ishu kubwa inakuja pale gari inapoleta shida ukienda Kwa fundi unaweza kubadilisha spare zaidi ya 5 kumbe tatizo lipo sehemu nyingine kitu ambacho Kwa magari ya ulaya tatizo lingejulikana moja Kwa moja.
Wabongo sisi tunashindwa Tu kupiga hesabu vizuri ukiangalia huku kwenye Toyota huwa tunatumia pesa nyingi kutibu tatizo dogo Sana tena sometimes unaweza kwenda Kwa mafundi zaidi ya tano na Huko kote unapita kuachia pesa
Kwa style hii acha niendelee kuwa mshamba tu.
Toyota: Diagnosis 30K, Service and parts Tsh.200,000 (Ilala, Tandale, Sinza, Kimara,Temeke)
European: Diagnosis 150K, Service and parts 1,500,000 (Mnazi mmoja, Order online from UK, Kenya, South Africa)
Na ndio maana hizi gari zinaonekana sana daraja la Tanzanite na maeneo ya mbele mbele kule mwambao wa bahari ya hindi maana wanaoziweza wako kule.
Sasa mbona BMW ukifanya service inakupa +3,000 km! Na hii ni kwa gari zote za German.Mjapani anatusaidia sisi walala hoi kwa kweli,gari unapitisha service km 2000 ngoma bado inadunda tu,Engine oil unajiwekea tu unayotaka hakuna cha mashine kugoma wala nini,fanya ujinga huu kwenye magari ya Europe ndio utajua kuwa pombe sio chai...
Aisee usijichanganye kununua Any European cars Kama hela zenyewe nazo za kuunga. Nilinunua kwa madalali pale Biafra BMW X3 mwaka 2021. Mpaka Leo ukiacha service ya kawaida nimetumia takribani 8m ku-maintain, mara oil leakage sijui Umeme sijui nn yaan ujinga mwingi. Nilitaka niiuze ikamfie mluga luga mkoani huko gari haiuziki, Nani anataka msala?
njoo uchukue hata kwa 2.0m TZS nielekeze ulipoNiuzie mkuu. Nikupe pesa ngap?
Ni bmw ipi boss mimk naitaka serious kama unauza kwelinjoo uchukue hata kwa 2.0m TZS nielekeze ulipo
Sawa DadaUsidanganye watu kifaa cha gari kikiharibika nunua kipya funga ww unaleta ukanjanja unachongesha vifaa alaf unanunua gari mkononi unatarajia nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umaskini wako usifanye watu waone gari za euro ni mbaya peleka ujinga na umaskini huko