Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Maumivu ya wana Yanga yanaweza yakawa maumivu yanayogusa wananchi wenye itikadi mbalimbali kisiasa na dini.
Kwa wale mashabiki wa Yanga ambao pia ni wanachama wa CCM napenda kuwaambia maumivu waliyonayo kwa mwamuzi kutokutenda haki ni nusu ya maumivu waliyonayo wananchi wanapoibiwa kura.
Mapungufu ya mwamuzi yanapelekea Mamelody kwenye nusu fainali wakifahamu fika kwamba haikuwa haki yao..ndicho wabunge wengi na hata Rais anavyofika madarakani kinyume cha sheria.
Tunapojadili haki tuanze kuyajadili maumivu ya kukosekana haki.......
Kwa wale mashabiki wa Yanga ambao pia ni wanachama wa CCM napenda kuwaambia maumivu waliyonayo kwa mwamuzi kutokutenda haki ni nusu ya maumivu waliyonayo wananchi wanapoibiwa kura.
Mapungufu ya mwamuzi yanapelekea Mamelody kwenye nusu fainali wakifahamu fika kwamba haikuwa haki yao..ndicho wabunge wengi na hata Rais anavyofika madarakani kinyume cha sheria.
Tunapojadili haki tuanze kuyajadili maumivu ya kukosekana haki.......