Maumivu ya wana Yanga kwakunyimwa goli ni nusu tu ya maumivu wanayopitia wananchi wanapoibiwa kura na CCM

Maumivu ya wana Yanga kwakunyimwa goli ni nusu tu ya maumivu wanayopitia wananchi wanapoibiwa kura na CCM

Me nashangaa RAIS wa Shirikisho la mpira Africa kua involved na clab business

Hakuna fair Play na nilichoshangaa refa kutokuenda kuchek VAR na ndo rule no 1 ya VAR
Mbona elimu ni bure ,kazi ya VAR sio kuangalia goli au sio goli hiyo ni kazi ya Goal line technology,kilichofanyika pale ni makosa na referees hawakupenda kuendelea kukosea,VAR inaangalia offside , handball, infringement baada ya goal ,kukubali kicheki goal kwa VAR ni kukubali ni goal lakini kuna shida ,ndio maana refa akafuta maamuzi yote kwa ku cross ❌ mikono hewani.Lines ndio wameiua yanga sio VAR au referees
 
Maumivu ya wana Yanga yanaweza yakawa maumivu yanayogusa wananchi wenye itikadi mbalimbali kisiasa na dini.

Kwa wale mashabiki wa Yanga ambao pia ni wanachama wa CCM napenda kuwaambia maumivu waliyonayo kwa mwamuzi kutokutenda haki ni nusu ya maumivu waliyonayo wananchi wanapoibiwa kura.

Mapungufu ya mwamuzi yanapelekea Mamelody kwenye nusu fainali wakifahamu fika kwamba haikuwa haki yao..ndicho wabunge wengi na hata Rais anavyofika madarakani kinyume cha sheria.

Tunapojadili haki tuanze kuyajadili maumivu ya kukosekana haki.......
Wamefeel pinch
 
Me nashangaa RAIS wa Shirikisho la mpira Africa kua involved na clab business

Hakuna fair Play na nilichoshangaa refa kutokuenda kuchek VAR na ndo rule no 1 ya VAR
Unashangaaa huyo ila hushangai polisi na Thiss kwa wizi wakura na kuingiza. Viongozi wasiofaa
 
Maumivu ya wana Yanga yanaweza yakawa maumivu yanayogusa wananchi wenye itikadi mbalimbali kisiasa na dini.

Kwa wale mashabiki wa Yanga ambao pia ni wanachama wa CCM napenda kuwaambia maumivu waliyonayo kwa mwamuzi kutokutenda haki ni nusu ya maumivu waliyonayo wananchi wanapoibiwa kura.

Mapungufu ya mwamuzi yanapelekea Mamelody kwenye nusu fainali wakifahamu fika kwamba haikuwa haki yao..ndicho wabunge wengi na hata Rais anavyofika madarakani kinyume cha sheria.

Tunapojadili haki tuanze kuyajadili maumivu ya kukosekana haki.......
Katiba mpya iliyoboreshwa ndiyo muarobaini wa kumaliza maumivu ya watanzania upande wa siasa.
 
Back
Top Bottom