Umegusia minor social development na wala hukugusia economic development.
Zanzibar ina utajiri upi!?
Au ndio mlikua mnajidanganya kwasababu ya mafuta mnaweza kuendelezwa na waarabu!?
Nchi inahitaji mfumo mzuri wa sera nzuri za za utawala na uchumi.
Na hizo sera nzuri za utawala na uchumi haziji kama jamii ni illiterate.
WaZanzibari wengi ni illiterants hawana uhemko.
Mnategemea mtaendeleaje!?
Mie nimepigia mfano wa uhamiaji kati ya Zanzibar na bara,embu kuwa specific mkuu.Matajiri wa kipemba hawako bara tu wako mpaka Zimbabwe, Msumbiji, South africa, Germany, belgium , Oman , UAE wako , saudia wapo hadi India wapi.
Wanaondoka Zanzibar , nimekuambia kwa shida wanazotiwa na watawala mliowaweka.
Labda hujafika huku siku nyingi kisiwa karibu kitazama kwa mlivyojazana. hao majeshi tu na usalama wa Taifa pamoja na Polisi wenye familia ni ma laki , hujaenda kwa wazamiaji na kinamama wanaokuja na utuitiri wa watoto wanaozaa ovyo huko kwenu .
Sasa unabisha nini kama sio Mandate?
South Africa nimetolea mfano ili uelewe nachokizungumzia.
Hasa hiyo ndio Mandate yenyewe,na hiyo 63 hamkupata uhuru kamili.
Mmedai uhuru mamlaka yakaachiwa mazima kwa waarabu.
Wee acha ujinga mkuu nakuheshimu jielewe bwana.Utajiri wa Zanzibar ni akili na akhlak ambayo wengi wa Watanganyika hawana , ni wezi na walevi
Nani alikuambia wazanzibari wengi ni illiterate. Hizo Dubai , Musxcat zimejengwa na wazanzibari kwa Taarifa yako.
KWANI NYIE MNAJUA KINGEREZA?Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mbili kwa siku abiria (600x2) pamoja na mashirika mengine kama Flysafair, Air Mauritius, Turkish, Ethiopian, Air France, Kenya, Qatar na mengineyo kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka hapa Unguja tunaendekeza ufedhuli.
NB: Hapa unguja tunakwama wapi?
Mie nimepigia mfano wa uhamiaji kati ya Zanzibar na bara,embu kuwa specific mkuu.
Zanzibar huku bara mmejazana tena saanaa pia mnaona inafaa kutafuta maisha bara kuliko Zanzibar.
Hao walioko huko narudia tena mimi mwaka huu nimetoka huku kipindi cha ramadhan vyungu vya mwisho,wabara walioko huko hata milion hawafiki.
Piga sensa wapemba walioko bara ni zaidi ya milioni tatu.
Wabara walioko huko eidha ni waajiriwa wa serikali,wafanyabiashara na wafanyakazi kiasi kidogo tena wa mahoteli.
Ila hao wazamiaji ni wachache ku compare na wazanzibari wanaokuja huku.
Wee acha ujinga mkuu nakuheshimu jielewe bwana.
Yani Dubai na Muscat ijengwe na Wapemba!?
ππππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈAisee acha utani.
Unazungumzia wapemba au WAARABU walioamua kurudi kwao!?
Nikuletee mlolongo wa Dubai ilivyowekezwa na financing zake mpaka kufikia pale!?
Zanzibar mna nini ninyi jamaa!?
Badilikeni bwana mpige hatua.
Mkoloni Muingereza alitawala akigawana madaraka na nani!?Hakuna mandate yoyote wakati mkoloni ndiye mtawala anayesimamia kila kitu , kijana hufahamu. Mimi nimezaliwa kabala kupata uhuru hiyo system nimeiona huwezi kunidanganya. Sijaisoma kwenye vitabu kama wewe
Nimekuuliza NIKULETEE FINANCING YA DUBAI PROJECTS!?Naelewa hutaki kufahamu lakini ukweli ndio huo wewe endelea kulishwa matango pori
Unaweza kuta hujui hata mapato hapo Zanzibar yanapatikana vipi, watu watakuchekaZanzibar hata haihitaji utalii . Mwananchi wa kawaida hajafaidika chochote na utalii. Zanzibar unahitaji kuwa huru kutokana na ukoloni wa Tanganyika inayojiita Tanzania
Mkoloni Muingereza alitawala akigawana madaraka na nani!?
Kwanini mlivyodai uhuru hakupewa visiwa directly mamlaka walikabidhiwa waarabu!?
Huwenda ulikuwepo ila hukuwa unaelewa.
Mkuu unajisikia unachokisema!?Nyerere alifanya makusudi wasomi wa Zanzibar kuwachukuwa bara kwani aliona hakuna hana watu huko bara .
Wa Zanzibar hata milioni mbili hawafiki leo unawaongeza mpaka milioni 3.
LAKINI SIKUSHANGAI kwani wengi wenu mnaota Zanzibar usiku na mchana na kama tunakuja kuwanyonya huko kweni si mngalikwisha kutufukuza na kutupa nchi yetu ??
Unaweza kuta hujui hata mapato hapo Zanzibar yanapatikana vipi, watu watakucheka
Mkuu unajisikia unachokisema!?
Yani kipindi cha Nyerere bara hakukuwa na wasomi una uhakika!?
Nikutajie hao wasomi!?
Na sasa pia tunawaibia wasomi!?
Tanganyika hatuna roho ngumu ya ubaguzi kama ninyi,sie ni wakarimu tunakaribisha watu wengi tu.
Tunakaribisha majambazi wa kirundi sembuse wapemba!?.
Fanya sensa mzee uone TZ mlivyojazana.
Tena sensa ianzie Temeke,Kigamboni,Ilala kwa mkoa wa Dar.
Kesha ukanda wote wa Pwani hadi Tanga.
Kesha malizia mikoa mingine.
Nimekuuliza NIKULETEE FINANCING YA DUBAI PROJECTS!?
Halafu ndio tujue kama wamejenga wapemba!?
Jibu ndio au hapana mkuu.
ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈπππUnaniletea kitu ambacho nishakisoma!?Yaani mimi niliyekuwepo sikuwa ninaelewa uje uelewe wewe unayelishwa matango pori na Nyerere na CCM yake ??
hatukuomba uhuru kwa Mfalme tuliuomba kwa muingereza .
Tafadhali kasome hichi kitabu utaelewa historia yote kabla na baada ya Mapinduzi
Kwaheri Ukoloni- Kwaheri Uhuru...Dk. Harith Ghassany
ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈπππUnaniletea kitu ambacho nishakisoma!?
Huwenda maana ya mandate huelewi narudia tena.
Master colony was UK,ilikua lazima muombe uhuru kwa UK,ila aliyegawanya madaraka naye ni Oman Sultanate.
Mkuu unashindwa kuelewa nini!?
Ni sawa na South Africa tu.
South Africa walidai uhuru kwa UK vivyo hivyo.
Ila ukapitia kwa boers,boers wakawa wagumu kuachia madaraka ndio protest zilianza.
Tufanye umeshinda mkuu.
DAINI UHURU ILI MJIENDELEZE ZANZIBAR.
Waliokwenda na kuikuta nchi jangwa ndio unataka kusema ndio wame finance miradi!?Uniletee na waliojenga huko tunawajuwa ?? Yaani wewe ujuwe zaidi kuliko hao walikwenda huko na wakaikuta nchi ni jangwa ??
we jamaa hujitambui, umejaa ushabiki kuliko uwezo wa kujenga hojakwani unafikiri hayo mapato yanayopatikana huko Tanganyika ndiyo mapato halisi ??
Masikini watoto wa Mwenge
Waliokwenda na kuikuta nchi jangwa ndio unataka kusema ndio wame finance miradi!?
Kwahiyo wapemba ndio walikua wakuu wa serikali Dubai UAE na wakapanga na kuunda bajeti bungeni ya kupitisha hela ya miradi!?
Mkuu unajielewa unachoongea!?
Tufanye umeshindaππππππ