Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Ndiyo tunawaona Lissu na Sultani Mbowe wanawapiga watu changa la macho, wote ni ma CCM wana mawazo Kama yako weweZanzibar tukiwaacha watajiunga na Ayatolah halafu iwe kasheshe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo tunawaona Lissu na Sultani Mbowe wanawapiga watu changa la macho, wote ni ma CCM wana mawazo Kama yako weweZanzibar tukiwaacha watajiunga na Ayatolah halafu iwe kasheshe.
Mauritius hawategemei wajomba kutoka uarabuni.Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mobility kwa siku abiria (600x2) pw mojan na mashirika mengine kama Flysafair, Air Mauritius, Kenya, Qatar na mengineyo kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka.
Nimekuja kugundua huna akili bwana mdogo, huna la kujitetea, hapo unapindisha tuu mada, hio profile picture ina maneno yanasema "open up its jesus" na kuna mtu anagonga mlango kashika bastola, hata mtoto anaelewa una maanisha nn.Kwani huyo kwenye picha ndiye mnayemuabudu?
we tu mchicha mwiba!! kazi kutafuta video za mabwabwa youtubeWewe Leo muzungu wako hayupo unatafuta mtu akukune jf, Mimi sili boga
Tanganyika inategemea akili kutoka ZanzibarMauritius hawategemei wajomba kutoka uarabuni.
usiahangaike na hili bwabwa!! mtu anashinda anaangalia video za mashoga mtandaoni unadhan anaweza kua sawa! acha na hili bwabwa utajichosha buleNimekuja kugundua huna akili bwana mdogo, huna la kujitetea, hapo unapindisha tuu mada, hio profile picture ina maneno yanasema "open up its jesus" na kuna mtu anagonga mlango kashika bastola, hata mtoto anaelewa una maanisha nn.
kiufupi hujielewi na Sidhani kama haya maongezi yanafaida kwangu, kwaheri.
Humu Hakuna anayetafuna boga usipoteze muda wa watu bure , msubiri muzungu wakowe tu mchicha mwiba!! kazi kutafuta video za mabwabwa youtube
we n bi hindu mwingine hapa jf
Akili za kuwa omba omb wa kimataifa nani anazitaka ?Tanganyika inategemea akili kutoka Zanzibar
Yaani Jesus ni jina la mungu wako tu ?na ni muzungu Si muafrika?Nimekuja kugundua huna akili bwana mdogo, huna la kujitetea, hapo unapindisha tuu mada, hio profile picture ina maneno yanasema "open up its jesus" na kuna mtu anagonga mlango kashika bastola, hata mtoto anaelewa una maanisha nn.
kiufupi hujielewi na Sidhani kama haya maongezi yanafaida kwangu, kwaheri.
bi hindu tulia tushakujua !! tunaomba usitupostie hayo mavideo yako hapa kuna watoto usituharibie jamiiHumu Hakuna anayetafuna boga usipoteze muda wa watu bure , msubiri muzungu wako
Mtu kama wewe huenda hata unataka Biashara ya Utumwa irudishwe una fikra za karne ya saba.Ndiyo tunawaona Lissu na Sultani Mbowe wanawapiga watu change la macho, wote ni ma CCM wana mawazo Kama yako wewe
Umerukwa na akili ?Hakuna anayetafuna boga ,kamsubi muzungu wako
Huo utumwa wa kuuzwa bandari na ardhi yenu bado hujauona?Mtu kama wewe huenda hata unataka Biashara ya Utumwa irudishwe una fikra za karne ya saba.
😝😝😝😝😝 Sorry mkuu simu Za kihindi hizi zinaleta shidaUmerukwa na akili ?
Mbona ninao zamani hapa kutoka kwenuMtu kama wewe huenda hata unataka Biashara ya Utumwa irudishwe una fikra za karne ya saba.
Hizo mlizo nazo Tanganyika Za kuongozwa na akili ya mwanamke mzanzibari kwani nyinyi mnazo ?Akili za kuwa omba omb wa kimataifa nani anazitaka ?
Tutawatimua tu Wajomba zako kama walivyofanya Wasomali huko Djibouti.Huo utumwa wa kuuzwa bandari na ardhi yenu bado hujauona?
Israel na kristo ni sawa na mafuta na maji havitengamani.
Hana uwezo wa kuongoza mtu yule mama yenu ndio maana watanganyika wanajifanyia wanavyotaka na hana ubavu wa kuwafanya lolote kwa sababu ya idhaifu mkubwa alionao.Hizo mlizo nazo Tanganyika Za kuongozwa na akili ya mwanamke mzanzibari kwani nyinyi mnazo ?