Mauritius wana nini Zanzibar tushindwe?

Mauritius wana nini Zanzibar tushindwe?

Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mobility kwa siku abiria (600x2) pw mojan na mashirika mengine kama Flysafair, Air Mauritius, Kenya, Qatar na mengineyo kumwaga watalii. Kwa wastani Mauritius inapokea karibia watalii milioni 3 kwa mwaka.
Mauritius hawategemei wajomba kutoka uarabuni.
 
Kwa akili zake kisoda huyo Jagina unadhan kuna cha maana anaweza kuongea??
Huyu n sawa na mtoto mwenye ulemavu wa akili kelele nyingi point za kutafuta kwa tochi
Wewe Leo muzungu wako hayupo unatafuta mtu akukune jf, Mimi sili boga
 
Kwani huyo kwenye picha ndiye mnayemuabudu?
Nimekuja kugundua huna akili bwana mdogo, huna la kujitetea, hapo unapindisha tuu mada, hio profile picture ina maneno yanasema "open up its jesus" na kuna mtu anagonga mlango kashika bastola, hata mtoto anaelewa una maanisha nn.

kiufupi hujielewi na Sidhani kama haya maongezi yanafaida kwangu, kwaheri.
 
Nimekuja kugundua huna akili bwana mdogo, huna la kujitetea, hapo unapindisha tuu mada, hio profile picture ina maneno yanasema "open up its jesus" na kuna mtu anagonga mlango kashika bastola, hata mtoto anaelewa una maanisha nn.

kiufupi hujielewi na Sidhani kama haya maongezi yanafaida kwangu, kwaheri.
usiahangaike na hili bwabwa!! mtu anashinda anaangalia video za mashoga mtandaoni unadhan anaweza kua sawa! acha na hili bwabwa utajichosha bule
 
Nimekuja kugundua huna akili bwana mdogo, huna la kujitetea, hapo unapindisha tuu mada, hio profile picture ina maneno yanasema "open up its jesus" na kuna mtu anagonga mlango kashika bastola, hata mtoto anaelewa una maanisha nn.

kiufupi hujielewi na Sidhani kama haya maongezi yanafaida kwangu, kwaheri.
Yaani Jesus ni jina la mungu wako tu ?na ni muzungu Si muafrika?
 
Back
Top Bottom