Madwari Madwari
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 1,825
- 3,085
Mama kashauza Serengeti, Bandari zote, AIrport ya KIA, DART bado kuna mpango wa kuwaingiza katika kuiendesha SGR. Hii ya SGR ipo kwenye mchakato.Hivi mama alimuuzia mwarabu beach ipi huko Tanganyika ?? Mbona kuna wengi mnaowabaguana wengine wanasema hawataki uraisi apewe mchaga ?? huo si ubaguzi ??